Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakia hukohuko huku kwetu hutapaweza.Huku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wakuu?
CHADEMA hizi hoja zichukueni ziwekeni kwenye mikakati yenu ya kuondoa adha kwa wananchi.Tukimbikilie wapi Sasa Sisi kondoo wa kimasikini baada ya Zizi letu la Halotel kubomoka?
Chadema usiitegemee Kuna ishu nyingi za kitaifa wamekaa kimya wanasubiri Hadi mwenyekiti wao atokeCHADEMA hizi hoja zichukueni ziwekeni kwenye mikakati yenu ya kuondoa adha kwa wananchi.
Serikali jukumu kubwa ililonalo ni kuleta tija kwa wananchi na siyo kujibaraguza na matamko wasiyoyatekeleza
Nao wameshabadilisha unapata mb 600 na dkk 35Ttcl ila kifurushinchako jiunge kupitia tpesa hutajuta
[emoji28][emoji28]Tukimbikilie wapi Sasa Sisi kondoo wa kimasikini baada ya Zizi letu la Halotel kubomoka?
Ndo maana Jana nlikuwa na inshu muhimu night , nkasema nitumie night bundle nimalize mifumo yote nkajikuta usingiz mzito, kumbe nlijiepusha na mengi bla kujua!.Jamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160
Nimenyoosha mikono, iam done
Ohoooo!!!Chadema usiitegemee Kuna ishu nyingi za kitaifa wamekaa kimya wanasubiri Hadi mwenyekiti wao atoke
Forex sio mchezo.[emoji23][emoji23]
Wanachukua wanaweka waaa.. hi nchi inadharau sana hii bando imekuwa Kama mchezo wa forex linapanda linashuka!
Yani uende motoni kabisa?Hamieni ttcl kumenoga! 1000 unapew 1.2 gb wiki
Haya ni upatu..😂Forex sio mchezo.
Kifurushi washabadili mb 600 na dkk 35Hamieni ttcl kumenoga! 1000 unapew 1.2 gb wiki
Hii nchi inadekeza Sana watu yaani buku hero upate bando ya 10 gb? Afu wameweka 5gb bado watu wanalalamika?Jamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160
Nimenyoosha mikono, iam done
Motoni!? Mb 600 kwa jero!?Yani uende motoni kabisa?
Haki ya mungu!?? [emoji3064]Kifurushi washabadili mb 600 na dkk 35