Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wameshika Kwenye Viungo Nyeti😂😂
Wanachukua wanaweka waaa.. hi nchi inadharau sana hii bando imekuwa Kama mchezo wa forex linapanda linashuka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshika Kwenye Viungo Nyeti😂😂
Wanachukua wanaweka waaa.. hi nchi inadharau sana hii bando imekuwa Kama mchezo wa forex linapanda linashuka!
Colluding.Mitandao yote sasa hivi ni pasua kichwa! Na hakuna wakututetea
Hata mimi wamenishika aiseeWameshika Kwenye Viungo Nyeti
😄😄😄 Unaweza kudhani aliyeandika hapa Ni Bonge la kibopa Yuko bize kichizi na Maisha, kumbe anashinda zake JF kutuliza zake wenge.Hii nchi inadekeza Sana watu yaani buku hero upate bando ya 10 gb? Afu wameweka 5gb bado watu wanalalamika?
Aisee tozo ni muhimu sana ndio maana watu hawafanyi Kazi wanashinda mitandaoni kutukana Serikali na kulaumu
Hahaha..Jamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160
Nimenyoosha mikono, iam done
Mkuu na hawa wameshazingua pia. Bando wamelishusha had MB 600Hamieni ttcl kumenoga! 1000 unapew 1.2 gb wiki
Tayari wamenitumia and asubuhiHaki ya mungu!?? [emoji3064]
Hahaha..
Tozo juu ya Tozo!
Mi-5 tena!
Tajiri hawezi kushindwa mitandaoni huyo si ajabu hata vocha anaungaunga😄😄😄 Unaweza kudhani aliyeandika hapa Ni Bonge la kibopa Yuko bize kichizi na Maisha, kumbe anashinda zake JF kutuliza zake wenge.
Kuna mtandao mmoja nilikua natumia on average vocha ya sh. 12,000 kwa wiki Ila walivyopandisha sijaweka hata sh.1 mpk sasa.Ka elfu 50 kangu kwa mwezi hawatakaona tena.Hasara watakayoipata hawataamini
Si unajua tena motivational speakers mkuu.Tajiri hawezi kushindwa mitandaoni huyo si ajabu hata vocha anaungaunga
akuna kitu kama hicho now unapata mb 600Hamieni ttcl kumenoga! 1000 unapew 1.2 gb wiki
Si amefungua nchi?Internet kwasasa ni anasa.
Haihitaji kuwa kibopa,ndio maana serikali ilizuia kunywa pombe asubuhi mfanye kazi,na hapa Serikali iweke Kodi kubwa.huku watu wamekuwa mazezeta wanashinda mitandaoni kulaumu na kutukana badala ya kufanya Kazi.😄😄😄 Unaweza kudhani aliyeandika hapa Ni Bonge la kibopa Yuko bize kichizi na Maisha, kumbe anashinda zake JF kutuliza zake wenge.