Jimmy MUsa
JF-Expert Member
- Oct 14, 2020
- 235
- 170
Ttcl cooperation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukibadili line inabaki ya chuo ila mbona line ya chuo halotel haina cha zaidi.Ninatumia line ya chuo, Sasa nilipigiwa simu na texts kutoka halo kwamba niende kubadilisha wanipe line ya 4G. yenye data Gb4. Sijafanya hivyo kwa makusudi kuhofia kupoteza line ya chuo yenye bundle nafuu.
Hii nchi inahitaji moyo mgumu usiokata tamaa la sivyo utaugua sononaHuku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wakuu?
Kipo ila kimebadilishwa mb 1024 hadi 600
Shida limtandao lao halina nguvuTTCL NAKO MAMBO NI[emoji3063][emoji3063][emoji3063][emoji3063]View attachment 1979619
Muwe mnasoma thread yote pale juu kabla ya kukoment
Natamani niwapigie simu niwatukane.na hizo gb 1 ukiingia telegram na Instagram masaa tu zimeisha.Kutoka MB 1024 hadi MB 600 kwa buku[emoji2297]View attachment 1979530
Mama anatubamiza kimya kimya.Na hatuna tena mtu wa kupindua maamuzi, saivi kila kinachowekwa kinadumu.
Kutoka MB 1024 hadi MB 600 kwa buku[emoji2297]View attachment 1979530
[emoji1][emoji1]Njoo voda 150gb kwa 120,000 kwa mwezi
Daah..nimeumia sana mkuuJamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160
Nimenyoosha mikono, iam done
Wateja hatuna mtetezi. Serikali na mitandao lao moja kutunyonga tu wanyonge!!!Na hatuna tena mtu wa kupindua maamuzi, saivi kila kinachowekwa kinadumu.