PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
we upo wapi mkuu?Poleni sana na bakini huko huko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we upo wapi mkuu?Poleni sana na bakini huko huko...
Ttcl nao wamepunguza from 1.2gb to 600 mb.
Kwa 1000
Hapana pa kupumulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamezngua parefu aniHuku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wamezngua parefuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1] Unaweza kudhani aliyeandika hapa Ni Bonge la kibopa Yuko bize kichizi na Maisha, kumbe anashinda zake JF kutuliza zake wenge.
Labda tpesa ya huko ChattleNo ukijiunga kupitia tpesa inakuja 1.2gb .. by the way maybe labda kwako haiji.
Nimefuta telegram kwenye ma ex ya buza. Maana 1 gb ya wiki mimi huwa natumia kwa siku,sasa mb600 zitanisaidia nini? Napunguza matumizi ya intaneti kwa kufuta au kupunguza kuingia baadhi ya appNatamani niwapigie simu niwatukane.na hizo gb 1 ukiingia telegram na Instagram masaa tu zimeisha.
Nafikiria kuacha kutumia mitandao nirudi tu enzi za kupiga na kupokea.
Amini halotel mbona wanaleta uchoko.Huku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wakuu?
Kumiliki smart phone gharama Sanaa.Nimefuta telegram kwenye ma ex ya buza. Maana 1 gb ya wiki mimi huwa natumia kwa siku,sasa mb600 zitanisaidia nini? Napunguza matumizi ya intaneti kwa kufuta au kupunguza kuingia baadhi ya app
Na mute baadhi ya whatsapp status za kijingajinga.insta naingia kwa machale kuchungulia kisha nasepa.
Nitaweza tu kumudu mb 600 kwa siku.
HALOTEL wameanza ukorooofiiiiiiiiAmini halotel mbona wanaleta uchoko.
Si amefungua nchi?
.
Kwani bado mnatawaliwa kidikteta?
Mimi nipo zangu Zantel.Hallotel ya hovyo sana.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nisimekeje sasa wakati Mimi Sio kitabu,gazeti Wala sio daftari?Toa code, someka
Voda wanatoa 1gb kwa 1000😂😂Huku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wakuu?
dah ila lazima ununue ya 50 k si ndo hivyo? dada mamamamameeeee