Tushaurini sisi wateja wa Halotel tuhamie mtandao gani?

Tushaurini sisi wateja wa Halotel tuhamie mtandao gani?

Si amefungua nchi?
.
Kwani bado mnatawaliwa kidikteta?

Aiseee hakuna rais dikteta atakuja kutokea TZ zaidi ya JIWE.......JIWE alikuwa hafai kwa kuchovya wala kwa kulumangia......Wanasiasa wenye ndoto ya kuwa rais washajifunza kilichomtokea JIWE ,hauwezi kufanya matakataka yote yale halafu uendelee kuEXIST hata vitabu vya dini wameandika Mungu aliwapeperusha MIJOKA mikubwa ambayo aliona itahatarisha maisha ya wanadamu.
 
Haihitaji kuwa kibopa,ndio maana serikali ilizuia kunywa pombe asubuhi mfanye kazi,na hapa Serikali iweke Kodi kubwa.huku watu wamekuwa mazezeta wanashinda mitandaoni kulaumu na kutukana badala ya kufanya Kazi.

Kwani Kodi si wanapata mkuu tena wenyewe wanafurahia kabisa wanasema zimeongezeka kuliko kipindi cha nyuma
 
TCRA waangalie jinsi makampuni ya simu wanavyochaji ,inaonekana rating hazipo sawa ,dakika moja ya 60seconds kwa makampuni ya simu haipo hivyo itakuwa around 45seconds na 1MB ambayo ni 1024Kb kwa kampuni za simu 1MB itakuwa ni 512Kb ,yaani ukinunua 350MB inaweza kuisha muda huo huo ndani ya dakika 5 bila kutumia internet.

Nilitumiwa message ya OFA yako kwamba pata 1.1GB kwa 1500 ,nikanunua ,kumbe ni wapuuzi sana ,wametoa 500MB za internet halafu 600MB ni social media(Facebook,Insta na whatsapp),ningejua kwamba ni 500MB za net na mitakataka yao 600MB nisingenunua.....Mimi nifungue Facebook au instagram ya nini mpaka unipe 600MB?
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Unaweza kudhani aliyeandika hapa Ni Bonge la kibopa Yuko bize kichizi na Maisha, kumbe anashinda zake JF kutuliza zake wenge.
Kakinga Fulani kalofa kanashinda kwenye thread ya kijinga ya kupambanisha miji.
 
Nilitumiwa message ya OFA yako kwamba pata 1.1GB kwa 1500 ,nikanunua ,kumbe ni wapuuzi sana ,wametoa 500MB za internet halafu 600MB ni social media(Facebook,Insta na whatsapp),ningejua kwamba ni 500MB za net na mitakataka yao 600MB nisingenunua.....Mimi nifungue Facebook au instagram ya nini mpaka unipe 600MB?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole Sana mkuu!
 
hawa mbwa daya yao ni ndogo
9094AF8F-0E5F-49EC-AC72-59333849F092.jpg

36257F6E-350F-4E8D-B084-6BEB29BD1781.jpg


tunatakiwa tushushe matumizi kama mgomo yaani,matokeo tutayaona.
 
Back
Top Bottom