Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mkusanyiko wa videos zake zooote hadi zile za insta live na vi clip anavyo post kiujumla ndio inafikia hiyo 100MHizo 100ml mbona sizioni naona 3,125,798 tu au kuna Youtube nyingine??
Huu ni u teenager unakupagawishaWasafi for life!
Halafu na hili niliweke sawa hapaHayo ni mahesabu ya views ambapo nina imani anavuta kwa %. Hizo kwa ujumla zitakuwa chini ya Wasafi yeye atapokea kulingana na mkataba wake
😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kiberenge lol, ila cc bhana aaah
😂😂😂😂 Ngoja nijifanye sioni Kama una sura ya holiday...Sawa kuanzia Leo wewe ni mr.handsome😍Usinichambe na wewe kihivyo sasa ndio najua mi sura mbaya sasa nikijiita handsome najifariji nisije jinyonga bure..🤣 we niite tu handsome yaishe jikaze tu uniitee hakuna namna..!
Mbona ndogo kulinganisha na garama anazoingia kutengeneza video..Estimated to 55+ millions
Hyo ni YouTube tuu, huko itune na apple ndo wanapiga pesa ndefu balaa kule ukipata view 100K we ni millionaire , wimbo wa sukari tuu umeongoza kununuliwa ITune sjui ni Oman huko, bado matangazo aliyo nayo , na pia kapiga show nyingi Sana , na bado yupo ana show nyingi Sana , juzi kapiga hela ndefu za Simba uwanjani, kiufupi katoboa hata kama label inapiga parefuKwa hizo views 100M+,kaingiza milioni 67+Tshs.
Ndoivo kwani kaajiriwa YouTube, ata YouTube wasipowalipa wataendelea kupost tu, kwani YouTube ni kwa ajili ya kusambaza content.Mbona ndogo kulinganisha na garama anazoingia kutengeneza video..
Fanya hesabu vizuri huyo kakosea views elfu ni 0.5 usd, zuchu wanasema ana million 100 kwenye akaunti yake, ko ni usd 500 kweli?Duuuh Mikelele yote ya MISUKULE yake kumbe analamba 500USD tu?
Ndio niniNdoivo kwani kaajiriwa YouTube, ata YouTube wasipowalipa wataendelea kupost tu, kwani YouTube ni kwa ajili ya kusambaza content.
Sawa kama hujaelewa.Ndio nini
YouTube ni platform kama instagram ilivyo sema tu wameamua kuboost creators kwa kuwapa chochote kitu lakini sio lazima ndio maaana unaweza usimonetize channel yako kama hutaki kupokea hivyo vidollar vya YouTubeNdio nini
Mwalimu wa nuclear physics udsmni nani huyu?
Mkuu mtwende pamoja hiviMimi sijabadili kwenda madafu, nimebadili kwenda USD.
Kama views 1000 ni 0.5USD, je views 100M itakuwa USD ngapi?
Asante kwa kunisaidia aseeNi 50K USD Mkuu
Mbona ndogo kulinganisha na garama anazoingia kutengeneza video..