KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Thank you Mrs barakoa..😜😂😂😂😂 Ngoja nijifanye sioni Kama una sura ya holiday...Sawa kuanzia Leo wewe ni mr.handsome😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you Mrs barakoa..😜😂😂😂😂 Ngoja nijifanye sioni Kama una sura ya holiday...Sawa kuanzia Leo wewe ni mr.handsome😍
I ain't petty nigga, we buy the whole thangKama waisibii ni maji basi, I'm like Atlantic
I got them motherfvckers flyin' across the Atlantic
I know Pablo, Noriega The real Noriega, he owe me a hundred favors!
Mkuu tunaomba urudi kwenye cheo chako aisee...Huyu nae, utasema sijui maana ya forum sasa au? Okay anyways endelea na ujuaji wako Shabiki wa Zuchu
No wonder hujaona hata hiyo statement yako ya Sisi kama jamii forums imefutwa [emoji23][emoji23]
Yani mkusanyiko wa videos zake zooote hadi zile za insta live na vi clip anavyo post kiujumla ndio inafikia hiyo 100M
Usihesabie Hizo video unazoziona zenye views 2M ambazo ziko public zimezidiwa na video ya amberruty ambayo iko privacy....
That is just one source of income...Mbona ndogo kulinganisha na garama anazoingia kutengeneza video..
Fanya hesabu vizuri huyo kakosea views elfu ni 0.5 usd, zuchu wanasema ana million 100 kwenye akaunti yake, ko ni usd 500 kweli?
unaposema msaanii wa kike una maana gani?Zuchu amefikisha views million 100 kwenye mtandao wa YouTube ikiwa ni miezi 9 tu tangu aingie rasmi kwenye muziki.
Mpaka sasa hakuna msanii wa kike Africa Mashariki na Kati aliyeweza kufikia hizi number.
Hii ni hatua kubwa kwenye muziki wetu kwa ujumla kuona msanii mpya kabisa tena wa kike anaweza kuja na akafanya mambo makubwa kiasi hiki.
Ukifanya projection kibiashara unaweza ona wapi anaelekea huyu queen mpya wa bongofleva.
Sisi tunampongeza na tunamtakia kila la heri hazidi kutusua.
Hata waliomwita "muimba taarab" leo wanacheza nyimbo zake.
View attachment 1693208
I ain't petty nigga, we buy the whole thang
See most of my niggas really still deal cocaine...
Bora umemuwekea maana ana chuki mpaka hajitambui.
Nimestaafu nimewaachia vijana, siku hizi napita juu juu tuMkuu tunaomba urudi kwenye cheo chako aisee...
Zimehesabiwa Ni video za mziki tu.Yani mkusanyiko wa videos zake zooote hadi zile za insta live na vi clip anavyo post kiujumla ndio inafikia hiyo 100M
Usihesabie Hizo video unazoziona zenye views 2M ambazo ziko public zimezidiwa na video ya amberruty ambayo iko privacy....
Hakuna hesabu kama hizo, You tube hawalipi hela bali Wanaoweka Matangazo ndio wanakulipa kadri tangazo litakavyoangaliwa na anayetazama Video yako.Estimated to 55+ millions
Na mi ndio najuaga hivyo sasa nilipokutana na hii mpya imenibidi nisizi tu labda pengine huu ni utaratibu mpya ulioweka karibuniHakuna hesabu kama hizo, You tube hawalipi hela bali Wanaoweka Matangazo ndio wanakulipa kadri tangazo litakavyoangaliwa na anayetazama Video yako.
Na kuna hesabu zake kama Mtazamaji wako kaangalia tangazo lote mpaka mwisho au ilipofika tu 'skip ad' aka skip?.
anaweza Mtu kuwa na Views laki moja lakini Matangazo yameangaliwa yote ili hali Mwingine ana 1m Views lakini Masela wame 'skip ad' Matangazo yote....huyo wa Laki atafaidika kuliko huyo wa 1m.
Ila kuwa na Views nyingi na nafasi ya kupata inakuwa juu.
Ngoja niende youtube nione huyo zuchu hua anaimba nyimbo gani.Zuchu amefikisha views million 100 kwenye mtandao wa YouTube ikiwa ni miezi 9 tu tangu aingie rasmi kwenye muziki.
Mpaka sasa hakuna msanii wa kike Africa Mashariki na Kati aliyeweza kufikia hizi number.
Hii ni hatua kubwa kwenye muziki wetu kwa ujumla kuona msanii mpya kabisa tena wa kike anaweza kuja na akafanya mambo makubwa kiasi hiki.
Ukifanya projection kibiashara unaweza ona wapi anaelekea huyu queen mpya wa bongofleva.
Sisi tunampongeza na tunamtakia kila la heri hazidi kutusua.
Hata waliomwita "muimba taarab" leo wanacheza nyimbo zake.
View attachment 1693208
mi simuelewagi kabisaZuchu amefikisha views million 100 kwenye mtandao wa YouTube ikiwa ni miezi 9 tu tangu aingie rasmi kwenye muziki.
Mpaka sasa hakuna msanii wa kike Africa Mashariki na Kati aliyeweza kufikia hizi number.
Hii ni hatua kubwa kwenye muziki wetu kwa ujumla kuona msanii mpya kabisa tena wa kike anaweza kuja na akafanya mambo makubwa kiasi hiki.
Ukifanya projection kibiashara unaweza ona wapi anaelekea huyu queen mpya wa bongofleva.
Sisi tunampongeza na tunamtakia kila la heri hazidi kutusua.
Hata waliomwita "muimba taarab" leo wanacheza nyimbo zake.
View attachment 1693208
Naomba link hiyo ya kuchomwa sindanoTatizo anaweka content zingine anachomwa sindano , mara anaoga , ingekuwa ni content ya mziki tuu hapo Sawa ,post zingine za Kula mapapai tabata barakuda ,
Naomba link hiyo ya kuchomwa sindano
Acha majungu, huko ni kujikera tuShangilieni wan ccm wenzake..
"Wapinzaniiii watetereke mamaaa"2020
Nikikumbuka Huyo kauli sitaki hata kumuona