Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
pole mkuu mkuu...mm nikigusa tu mzigo unaonyesha .. Mpaka naona kama MB zitaniisha Muda huu ..Labda tu imeamua kuwa na bifu na wewe
Mobdro inasifiwa sana humu ndani lakini kwangu ni shida nimetumia mitandao kama tigo na halotel ambayo huku niliko inaonyesha H+ lakini ukiangalia game inagandaganda tatizo nini!
Inawezekana eneo uliopo network ni tatizo japo unapata h+, halotel wanayo hio h+ muda mwing lakini kwenye kustream stack zinakuepo kidogo.Tecno h6
Ni apps kama apps nyingine, sema zinakua recomend na producer mwenyewe. Kuzitoa root simu yako.Tunaponunua smart phone.,tumekuwa tukikuta baadhi ya Appl ziko installed kwenye sim.,Nyingi na baadhi yetu nikiwemo mm.,huwa sizioni umuhimu wake katika matumizi yake mfano
Hangout
Learning hub
Nytimes
Game hub
Businnes week
ChartOn
PlayNewsstand
Readers hub
Peel smart remote
Google play music
Google text to speech engine
Drop box
Hivi vitu nn matumizi yake.,maaana huwa naona zinajaza cim tu.,na huwezi kuziondoa ktk sim..
Hii kuroot ndio nataka kuijua ... Hii Embu Mnoambie kwenye Hauwei P6 .Ni apps kama apps nyingine, sema zinakua recomend na producer mwenyewe. Kuzitoa root simu yako.
Mkuu cjakuelewa hapa kdogo4.7 app nzuri sana. Kwa mtu mwenye data za kuunga unga.
Kuhusu app ya feedly au?Mkuu cjakuelewa hapa kdogo
Hustler tv [emoji725] ni kibokoUkitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Mkuu Maelezo zaid kuhusu ufanyaj kaz wa hii kituZachavier.
No App ya ku Extract file .
Hii ilitimiza ndoto zangu za kucheza Games mbili ambazo sikuwa kudhani ningeweza kuzicheza kupitia Simu.
GTA ..(all Cities) na Call of Duty Team Strike ..Zote zikiwa ni Free .
Kuhusu hiyo kwa mwenye mb za kuunga ungaKuhusu app ya feedly au?
Mkuu tufundishe na ss kuhack mbpole mkuu mkuu...mm nikigusa tu mzigo unaonyesha .. Mpaka naona kama MB zitaniisha Muda huu ..
na Leo kuna Vipindi vizuri kweli kwnye baadhi ya Chaniel ..
Hahaha natamani Nifundishwe namna ya kuhack MB ziwe free[emoji2] [emoji1] [emoji3]
Hii channel mbona siioni ipo sehemu gani?Hustler tv [emoji725] ni kiboko
Imefutwa!!!Hii channel mbona siioni ipo sehemu gani?
Imefutwa!!!
Linamo teh teh teh hamna hiyo chanell jamaa alikuwa anazingua.....Hii channel mbona siioni ipo sehemu gani?
Update kingroot tatizo litakwisha.Wakuu msaada wenu tafadhali,nimeroot cm YANGU cku mbili zilizo pita BT now inaleta ujumbe kuwa unfortunately kingroot user has stopped!!! wakati huo nikichek kwa rootchecker in sema successful rooted
Nifanyeje wadau