Ku dukua mawasiliano ya mtu kisherio nikosa la jinai.mimi nataka kujua ni App gani ambayo unaweza kuhack simu ya mwingine, yani hyo App iwe inakupa info zote za huyo uliyeisett no. yake
itakuwa ulikuwa unabonyeza matangazo.Mkuu mbna wananisumbua sana kudownload
Je simu yako iko rooted?Nimefata izo hatua zote lkn bado imekataaa htc one m7
Haya niambie root nzur kwa simu yangu htc one m7Je simu yako iko rooted?
Tafuta thred ya kuroot utaipata humu jf au ingia Google kwa msaada na maelezo zaidi.Haya niambie root nzur kwa simu yangu htc one m7
Nimeipenda sana Hii player sanaaaa Sasa ina tofuti Gani Na poweramp mbona naona hii ndo the best au kuna tofauti ganiitakuwa ulikuwa unabonyeza matangazo.
ukibonyeza hapo pa blue.. watakupeleka hapa
Download jet Audio Music Player Plus Patched(onhax apk
then bonyeza download now
all the best
PoaTafuta thred ya kuroot utaipata humu jf au ingia Google kwa msaada na maelezo zaidi.
Poweramp is the best mkuu.ukiweka base inakuwa base kweli hata kwa earphone za 1500 tu waweza jiona upo kwenye club moja newyork cityNimeipenda sana Hii player sanaaaa Sasa ina tofuti Gani Na poweramp mbona naona hii ndo the best au kuna tofauti gani
Mobile tracker from www.mobile-tracker-free.commimi nataka kujua ni App gani ambayo unaweza kuhack simu ya mwingine, yani hyo App iwe inakupa info zote za huyo uliyeisett no. yake
ngoja niicheckMobile tracker from www.mobile-tracker-free.com
Maana wengine kwenye ulimwengu wa digital ni shida kidogo
Kuroot sim kidogo npo nyuma mkuu
Hii lucky patcher noma sana maana nachakachua gemu nanunua kila kitu mpaka linaboa kucheza mana nashinda mimi tuuu hahah
Ukifungua lacky patcher utaona hiyo game yako then click hiyo game itashuka menu then utaona imendikwa menu of patchers unaclick hapo halaf utaona support flani hapo ngoja nikuekee picMsaada mkuu, namm nataka kuchakachua game la score hero ila nashindwa