Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Fuata huo mtiririko mkuu thn ikimaliza itakuja launch hapo unakua umemaliza kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuata huo mtiririko mkuu thn ikimaliza itakuja launch hapo unakua umemaliza kazi
Fuata huo mtiririko mkuu thn ikimaliza itakuja launch hapo unakua umemaliza kazi
Weka pichaWakuu heshima kwenu,.katika simu yangu LG769 20h nikiingia setting chini kabisa ABOUT PHONE inaonesha alama ya hii. ! rangi ya bluu)inaashiria nini.
Fuata huo mtiririko mkuu thn ikimaliza itakuja launch hapo unakua umemaliza kazi
Fuata huo mtiririko mkuu thn ikimaliza itakuja launch hapo unakua umemaliza kazi
Weka picha
Kiongozi nenda google andika busybox.apk kisha search. Au dawnload app inaitea aptoide kusha tafuta busybox kupitia hiyo aptoide.WADAU MSAADA WA JINSI YA KUI INSTALL BUSY BOX kwangu inazingua na inanambia bila hii luckpatcher yangu haifanyi kazi vizur
sema inapendeza ungeistest na jet audio then ukaleta feedbackPoweramp is the best mkuu.ukiweka base inakuwa base kweli hata kwa earphone za 1500 tu waweza jiona upo kwenye club moja newyork city
Nishatumia hiyo mkuu.jet audio inanoga kwenye pc sio simusema inapendeza ungeistest na jet audio then ukaleta feedback
Poa mkuu enjoyShukrani mkuu nimefanikiwa
Nimejaribu kufungua kalibia chanel zote. Sijaona za xUkitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Hustler tv mbona tafuta sana bado kuiona naipataje hiyo kiongozi?Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Unaipataje mobdro? Nimeitafuta mobdro kwenye playstore na sijaiona.Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana