Betason
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 352
- 585
picture grid builder...ipo play storeFacetune hii app ni nzuri sana kwa kuedit picha na ina future nyingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picture grid builder...ipo play storeFacetune hii app ni nzuri sana kwa kuedit picha na ina future nyingi sana.
Huawei y330unatumia simu gan coz mm simu yangu sina app yoyote lakin naweza kuhide app.
Huawei y330
Duh! Hicho kitu sijawahi kuexprience lakin ninavyojua km deck ina usb port ndo utaweza kuangalia kwa kutumia flash, na hizo video lazima ziwe kwenye format ya AVINaombeni msaada nawezaje kuona video za kwenye simu kupitia deck ya dvd
mkuu vault haiwezi ku hide apps on home screen...yenyewe ina hide files,msgs contacts na videosDownload vault hii pia ni nzuri
Zipo launcher zina hiyo option mfano L launcher nk....wakuu naomba app nzuri ya kuficha apps nyingine zisionekane kwene home screen
Deki nyingi za dvd hasa singsang hazichez mp4. Hivyo itakulazimu u convert kutoka mp4 to AVI au MPEG kisha kama ni memory iweke kwenye card reader, au kama una flash itakuwa vizuri zaidi.Naombeni msaada nawezaje kuona video za kwenye simu kupitia deck ya dvd
Hahaha ukiipata nishtue.Naomba kujua App inayosaidia mtu akitaka ku save profile picture yako ya whatsapp igome...
Kama.....??mhhh nimejifunza meng
Asante mkuu kwa maelezo yako ngoja nifanye kama ulivyo nielekezaDeki nyingi za dvd hasa singsang hazichez mp4. Hivyo itakulazimu u convert kutoka mp4 to AVI au MPEG kisha kama ni memory iweke kwenye card reader, au kama una flash itakuwa vizuri zaidi.
NB: kama una king'amuzi cha azam au baadhi flat screen waweza angalia video za kudawnload bila shida kwa kutumia usb port zilizo kwenye kifaa husika.
Jaribu kui uninstall kisha install tens kisha urudiNaombeni msaada simu imetaka update nimeupdate baada ya kumaliza nikifungua Instagram inaniandikia unfortunately Instagram stop ndani ya sekunde 3 tu baada ya kufungua.
Mkuu nimeshafanya hivyo lakini tatizo liko palepaleJaribu kui uninstall kisha install tens kisha urudi
Sawa subiri kidogo waje wataalamu zaidi maana bado wapo kwenye mabasi ya mwendo kasi sasa hivi wanashuka maana nauli imeanza.Mkuu nimeshafanya hivyo lakini tatizo liko palepale
Jaribu Kuiclear Cache & Data Then Uifungue Tena.Naombeni msaada simu imetaka update nimeupdate baada ya kumaliza nikifungua Instagram inaniandikia unfortunately Instagram stop ndani ya sekunde 3 tu baada ya kufungua.