Hustler tv [emoji725] ni kiboko
Mkuu hustler tv inapatikana kwenye sehem gani ya mobdro??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hustler tv [emoji725] ni kiboko
Mkuu hii kitu ipo cracked naitumia mwanzo mwishoLakini mkuu hiyo si inalipiwa au umeifanyaje mpaka ifanye kazi mana mi nilikua nayo ila inatoa siku kadhaa then inakuwa normal mpaka u upgrade
Mbon bila root inafaa tumia aptoide
Acha kabisa kaka yaani full raha nimeweka iptv zangu nakula raha tuuu.two in one.application nimezidownload kwenye simu then nika send through xender apk nimeweka apk zote zilizokuwa kwa simu yangu.ningefurahu zaidi kam mobdro ingekubalii.
Mkuu, naomba unipe link.Kwa Upande Wa Security Avast Kwangu Ni Bora, Inakuwezesha Kuipata Simu Kma Imeibiwa Au Kupotea Kwa Kutumia App Yake Ya Anti- Theft. Ina Automatic Scan Unaset Kila Siku Muda Flan Inascan Simu Na Kukupa Repot Kma Kuna Tatizo/App Inayoweza Iathiri Simu Inakwambia. Kwa Upande Wa Music Kuna Music match Hii Inakuwezesha Kuplay Music Huku Ikidisplay Lycis Za Nyimbo Unayoplay, Pia Ina Music ID Inayokuwezesha Kuitambua Nyimbo Usiyoijua Ila Unaisikia May Be Unaitaka Labda Inapgwa Radion Ila Aujui Kaimba Nani Na Unaipenda Unaweka Music I'd Inakwambia Jina La Wimbo Na Muimbaj Hapo Hapo Inakupa Options Ya Kuudownload Huo Wimbo. Ina Option Ya Kucreat Card Via Lycis Inayodisplay Pindi Unapoplay Music. Kuna Tunein Radio Inakuwezesha Kusikiliza Radio Maeneo Ambayo Radio Ya Kawaida Aikamati Inazo Local Radio Zotee Pia Ina Radio Za Nje Kibao Na Zinazopga Miziki Ya Taratibu Ya Zamani Kuanzia Miaka Ya 80 Kuja Juu. Kuna App Nyingi Nzur Sanaa.
Njia pekee kwasasa iliyopo ni kwa kutumia Pc. Kama upo tayari nikupe link yenye maelekezo.Mimi naomba unisaidie jinsi ya kuroot tecno w4 bila kutumia kompyuta, maana nimejaribu kutumia king root inaishia Kama inavoonekana kwenye picha apa chini, imekuwa apo kwa mda wa masaa mawili aisee!!!!!!!???
Njia pekee ya kuroot baadhi ya simu zenye marshamallow ni kwa kutumia pc.Hata mimi napata hilo tatizo mkuu nahisi bado hamna version ya kingroot inayo faa kwa android 6.0
HatareeeMOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
App ganiNjia pekee ya kuroot baadhi ya simu zenye marshamallow ni kwa kutumia pc.
Link Ya Kitu Gani?Mkuu, naomba unipe link.
Hata Nova app laucher ipp ukitumia waweza sema unatumia mashmallowarrow lunch iko powa sana
Tafuta Nova laucherMkuu angalia screenshots za y6 yangu
View attachment 346565View attachment 346566View attachment 346567View attachment 346568View attachment 346569
App ambayo inaweza kukusaidia endapo simu imeibiwa(Kulingana na maelezo uliyotoa katika comment yako niliyo quote).Link Ya Kitu Gani?
Avast Anti-Theft - Android Apps on Google Play SIMU INAVYOKUA NZUR, NA YENYWE UFANISI WAKE HUWA BORA ZAIDI.App ambayo inaweza kukusaidia endapo simu imeibiwa(Kulingana na maelezo uliyotoa katika comment yako niliyo quote).
Samahani kwa usumbufu Mkuu.
Basi fanya kutupia link mkuu mana mi niliyonayo ipo limitedMkuu hii kitu ipo cracked naitumia mwanzo mwisho
Hii launcher ni nzuri Sana. Kiukweli nimeipendaTafuta Nova laucher