nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
YapHiyo towelroot nayo ni hivyo hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapHiyo towelroot nayo ni hivyo hivyo?
Ngono sio kitu kizuriHivi ngono ndo nini
Iyo game iko modded? Hutakiwi kucheza pia data ikiwa on watakushikaEbwane Mbona hizi game zinakataa Nikita kubadilisha gari simu yangu IPO rooted lakini inazingua![]()
Kuna kinguser na super userKwa wale wataalamu wa simu Naomba mnisaidie. Kila ninaporoot simu yangu, ikifika 70% Ina fail. Sijajua tatizo ni nini. Msaada wenu tafadhari. Natumia Samsung S5 SM_G900F
Hizo zote si naweza root bila komputa?Kuna kinguser na super user
Kingroot sishauri
Tumia framaroot au njia yyte ya chainfire huyu jamaa ndo mkali wa kucheza na Samsung
King user na super user sio apps za kurootHizo zote si naweza root bila komputa?
Hiyo file manager inaitwa Es file xplorer kazi yake nikusoma internal storage na sd card storage na mengine mengi.Hii ya kukusanya Icon zote katika page moja ni app gani
Nilitumia kingroot but ikaniondolea privacy yangu ya lock nilizoziweka kwa kutumia app nyinginezo sio za kuja na simu.Ilibidi ni unroot tu.Je,kuna another alternative.Kuna kinguser na super user
Kingroot sishauri
Tumia framaroot au njia yyte ya chainfire huyu jamaa ndo mkali wa kucheza na Samsung
Ndio mana nashauri kutotumia kingrootNilitumia kingroot but ikaniondolea privacy yangu ya lock nilizoziweka kwa kutumia app nyinginezo sio za kuja na simu.Ilibidi ni unroot tu.Je,kuna another alternative.
Mimi natumia Huawei sijui kama hiyo uliyopendekeza inafaa pia kwa simu kama yangu.Ndio mana nashauri kutotumia kingroot
Tumia apps za chainfire kama unatumia samsung
CF-Root Download
Kwaajili ya s5
Kingroot sio nzur kabisa haikupi super su otherwise hadi uje kuhama kutoka kinguser to super su via super sume app
Huawei tumia towel rootMimi natumia Huawei sijui kama hiyo uliyopendekeza inafaa pia kwa simu kama yangu.
Hiyo Bootloader sijui labda unaweza kunielekeza ili niangalieHuawei tumia towel root
Bootloader yako iko unlocked?
Jaribu kutumia root app nyingine maana kinroot inazonguaga kwa baadhi ya samsung, jaribu siper SUKwa wale wataalamu wa simu Naomba mnisaidie. Kila ninaporoot simu yangu, ikifika 70% Ina fail. Sijajua tatizo ni nini. Msaada wenu tafadhari. Natumia Samsung S5 SM_G900F
Ipo kiongozi mbona mi nshaidownload?Mkuu sijaelewa hapa apps kama hii watawekaje playstore acha kupotosha jamii kuonekana uko makini tuwekee link
Huu ni wizi. Sio jambo jema wenzio wametoa jasho ku develop app halafu wanaweka sehemu wanauza, ww unataka utumie bure. Lau mtandaoni ingekuwa ni kariakoo wewe na wenzako mnaoiba mgeshachomwa moto. Tujifunze kuwa waadilifu sio tunafurahia watu wanavotobolewa majipu wakati sisi wenyewe sio waadilifu. Tujitathmini.Blackmart kwa rooted Android. Hiii app inakusaidia kupata app zooote za play store zinazouzwa bure. Haipatikani Google play. I search kwenye search engines