Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungefafanua niipoteze kivipi?Haijatoweka ila inakuzwaaa mana sasa imeamia whatsapp ila dhamira ni ile ile labda ww ndio unataka kuipotezA
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Naona dhana ya huu uzi sasa imeshatoweka.
Tafadhali niunge 0715 038 840Haijatoweka ila inakuzwaaa mana sasa imeamia whatsapp ila dhamira ni ile ile labda ww ndio unataka kuipotezA
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Ndio hasa ninacho shangaa mimi, mada imeanzia hapa na miaka nenda rudi kumbukumbu itakuwa hapa. Watakuja watumiaji wapya, wataukuta huu mjadala kama wewe ulie ukuta na kuhamishia whatsapp,Sasa mnaenda kujifichabwhatsupp for what?mada iko hapa...kila kitu kimalizwe hapa...achenu ubinafsi.
Habari lengo la kufanya hv ni kuwa update on time syo kila mtu anaingia jf wakati wote hata hvo mada zitakuwa Zn atumwa kotekote mkuuNdio hasa ninacho shangaa mimi, mada imeanzia hapa na miaka nenda rudi kumbukumbu itakuwa hapa. Watakuja watumiaji wapya, wataukuta huu mjadala kama wewe ulie ukuta na kuhamishia whatsapp,
Mambo mengi yaliyo/yanayo jadiliwa hutumika kama marejeo.
Mfano tafuta mada za 2010,2011 nk utazikuta sasa wewe unaesema mimi nataka kuuwa hii thread kwa msingi upi labda!
Ww Aupati Uptdate On Time? Umefollow Unachotaka Kupata Uptdate On Time? Notifactions Umeweka On? Kma Whatsapp Unapata Uptdate, Hata Even Hapa Unapata Uptdate!!Habari lengo la kufanya hv ni kuwa update on time syo kila mtu anaingia jf wakati wote hata hvo mada zitakuwa Zn atumwa kotekote mkuu
Kma Umeiroot, Download Adaway Apk. Instal, Then Iactvate.Msaada wanajamvi simu yangu ina matangazo/adds mengi mpaka kero yaan kila baada ya dakika inatokea je hakuna app inayoweza kuignore moja kwa moja?
Mkuu hapo unatakiwa u root simu, then install app inaitwa Adaway. Na hakikisha unaiweka iwe ActiveMsaada wanajamvi simu yangu ina matangazo/adds mengi mpaka kero yaan kila baada ya dakika inatokea je hakuna app inayoweza kuignore moja kwa moja?
Vp kama cjairoot? Na hyo adaway naidownload play store?Kma Umeiroot, Download Adaway Apk. Instal, Then Iactvate.
Msaada zaidi nawezaje kuroot? Natumia Tecno j8 kama kuna tips niwekeen niifate maana hz ads zinazingua sanaMkuu hapo unatakiwa u root simu, then install app inaitwa Adaway. Na hakikisha unaiweka iwe Active
Kwa asilimia kubwa ita block hizo Ads.
K͙u͙m͙b͙e͙ u͙n͙a͙ t͙i͙g͙o͙ m͙k͙u͙u͙!Mniunge 0653325710
Kama Aujairoot Simu Adaway Aitakubal.Vp kama cjairoot? Na hyo adaway naidownload play store?
Naomba unisaidie tips za kuroot simu au hakuna ads blocker ambayo haiitaji kurootKama Aujairoot Simu Adaway Aitakubal.
Soma Hapa, https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/17753544Naomba unisaidie tips za kuroot simu au hakuna ads blocker ambayo haiitaji kuroot