Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supersport haipo zpo skysport na biensport wanaonesha had EPLNimedownload modobro wadau kwa kwl no mzur but nkisearch chanel za bongo cion na superspot pia nisaisien wadau
Za kibongo zipo hapaNimedownload modobro wadau kwa kwl no mzur but nkisearch chanel za bongo cion na superspot pia nisaisien wadau
Una root kwa app gani?Greetings wataalamu. Msàada kwa tuta. Natumia simu yenye Chinese installed programs. Kama mnavuojua zinabore mbaya. Najaribu ku-root Huawei 7Ascend Mate sipati ushirikiano. Ni kwamba haiko tayari kuwa rooted...
Add me please 0713853451nashauri tu create group la whatsaapp kuhusu hii thread ili iwe active zaidi
Inawezekana endapo utabadilisha simu yako ya 3G na ukanunua 4G[emoji3]Naomba kujua kama kuna uwezo wa ku update 3G to 4G
Mmnh hii ishu haiwezekani mkuu.Naomba kujua kama kuna uwezo wa ku update 3G to 4G
Poa poa MkuuMmnh hii ishu haiwezekani mkuu.
Ila Nickname yako aiseee imenikumbusha msosi wa home.
mkuu hamna tofauti... Ila kwa experience yangu instagram+ ni stable kuliko OGInsta... nmezitumia zoteWazee kuna tofauti kati ya insta+ na ogista?
Mm kwangu insta+ ina stop stop sana kila baada ya 5secmkuu hamna tofauti... Ila kwa experience yangu instagram+ ni stable kuliko OGInsta... nmezitumia zote
Mi kwangu ilikua inafNya simu inakua nzito na Ku stack sana nikaitoa japokua nilikua naipendMm kwangu insta+ ina stop stop sana kila baada ya 5sec
Kuikomboa simu yako kutoka ktk vifungo vga kudumu vya watengenezaji ili uweze kuitumia kwa uhuru wa 100%Rooted ndio nn jamani maana naona tuu, uwe rooted? Msaada
Kama umeroot haina shidanatumia tecno j8 nataka niweke laucher ya iPhone vp haitoleta matatizo?