Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 560
- 281
Muwakilishi wa Elon mbona aliweka wazi kuwa gharama kwa Tanzania zitakua tofauti kulingana na uchumi husika maana kuna mtu aliuliza kuwa je Tanzania itamudu €50 per month yeye akarespond hivyo..
Pia mh.Nape pia alilitolea ufafanuzi kuwa walishaleta proposal mezani wakapewa list ya Documents za kuleta ili waanze kutoa huduma
Pia mh.Nape pia alilitolea ufafanuzi kuwa walishaleta proposal mezani wakapewa list ya Documents za kuleta ili waanze kutoa huduma