Tusichokijua kuhusu Starlink

Tusichokijua kuhusu Starlink

Muwakilishi wa Elon mbona aliweka wazi kuwa gharama kwa Tanzania zitakua tofauti kulingana na uchumi husika maana kuna mtu aliuliza kuwa je Tanzania itamudu €50 per month yeye akarespond hivyo..
Pia mh.Nape pia alilitolea ufafanuzi kuwa walishaleta proposal mezani wakapewa list ya Documents za kuleta ili waanze kutoa huduma
 
Muwakilishi wa Elon mbona aliweka wazi kuwa gharama kwa Tanzania zitakua tofauti kulingana na uchumi husika maana kuna mtu aliuliza kuwa je Tanzania itamudu €50 per month yeye akarespond hivyo..
Pia mh.Nape pia alilitolea ufafanuzi kuwa walishaleta proposal mezani wakapewa list ya Documents za kuleta ili waanze kutoa huduma
Hii itakuwa nzuri ndo maana nikasema bei za Tanzania halisia, tusubiri tuonee
 
Screenshot_20230222-191638.png
 
Mkuu mada za maendeleo kama hizi kupata wachangiaji ni ngumu kidogo utakuta wako kwenye MMU huko, anyway mitandao ya simu TIGO, VODA, AIRTEL, Halotel hawa jamaa linapokuja swala la kumnyonya raia wa kawaida usijekushangaa wakaungana huenda wanahofia kuzidiwa kihuduma na starlink baishara zao za wizi zikafa kifo cha mende.
Binafsi Sina uelewa sana na hii starlink..lakini I wish ije ili pawe na competition na hawa watwana wetu akina voda, tigo, na Airtel....Kwa maana ni mateso matupu..labda wakipata mpinzani wanaweza kuboresha huduma
 
Speedtest kati ya 5G na Starlink

Starlink lazima itakuwa speed zaidi huwezi fananisha na throughput yake na 5G ambayo sehemu kubwa kwa Afrika sasa ni NSA 5G...ambayo bado infra yake ni ya 4G
 

Hii kitu lazima nitakuja kuimiliki, ni moja ya vitu kwenye bucket list yangu kwa 2023 hadi 2024, Mungu saidia...

Na huo ndio utakuwa mwisho wa kutegemea internet kimeo za hawa mabeberu wasiotaka kubadilika, DSTV na mavifurushi yao yasiyo na contents mpya...

Itakuwa ni mwendo wa VPN + IPTV
 
Hii kitu lazima nitakuja kuimiliki, ni moja ya vitu kwenye bucket list yangu kwa 2023 hadi 2024, Mungu saidia...

Na huo ndio utakuwa mwisho wa kutegemea internet kimeo za hawa mabeberu wasiotaka kubadilika, DSTV na mavifurushi yao yasiyo na contents mpya...

Itakuwa ni mwendo wa VPN + IPTV
Ata ukipata fiber sio mbaya...
 
Habari,

Watu wengi hapa Tanzania tunasubiri kwa hamu ujio wa Starlink ila ni wachache wanaojua matumizi yake ni yakoje pamoja na bei zake.

Ningependa kuzungumzia zaid vitu ambavyo tushavijua kupitia watumiaji wa Nigeria,
  • Starlink inauzwa $578.93 hivi ni vifaa peke kwa Tanzania ni sawa na 1,351,942./= na utalipia kwa account ya Dollar sijui kwetu itakuaje maana kwa Nigeria card zao za ndani hazikubali.
  • Pia Starlink wanakupa 30 days free trial kama hutopata huduma upendavyo unauwezo wa kurudisha na kulipwa pesa yako yote.
  • Starlink sio unlimited ila iko limited kwa kiwango kikubwa tofauti na provider wengine, Una kiwango cha kutumia internet cha 1terabyte kwa mda wa asubuhi mpka jioni na Jioni mpka asubuhi hautokuwa na limitation yeyote, Ukifanikiwa kumaliza 1 terabyte speed itapungua ila utakuwa na uwezo wa kununua 1Gb kwa $0.25 ambayo ni sawa na tsh 584.75.
Haya ni machache ambayo tunayajua kwa sasa na kama kuna zaidi unaweza kushare, Je, tutegemee yepi kutoka kwa Starlink ikifika Tanzania?
Kabla ya yote tupe maana ya Starlink ni nini hiyo? Inahusika na nini?
 
Back
Top Bottom