TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Kwa wafujaji wa bongo! Mtu ata download mpaka mchwa huko poroni mikumiNani anaweza tumia terrabyte of data in a day?
Labda makampuni makubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wafujaji wa bongo! Mtu ata download mpaka mchwa huko poroni mikumiNani anaweza tumia terrabyte of data in a day?
Labda makampuni makubwa sana.
Mkuu Asante sana kawaida tu. Nitaendelea kuwaletea post na nyuzi nyingi zaidi zilizoshehen nondo na madini za kutosha. Kinachotakiwa ukae tu mkao wa kula.Post bora sana ya muda wote hii![emoji122][emoji122][emoji122]
Cheka balaaKwa wafujaji wa bongo! Mtu ata download mpaka mchwa huko poroni mikumi
NDIOStarlink ipo Rwanda?
Kwaiyo mnape nape amekubaliView attachment 2520834naona washakuwa tayar...
Tuangalie sasa bei zao asilia kwa watanzania.
Wabongo wahuni sana![emoji1787][emoji1787]Cheka balaa
Hebu tujuze zaidi. Hao starlink wanatoa hufuma zingine za mwasiliano kama simu sms au ni internet tu.Habari,
Watu wengi hapa Tanzania tunasubiri kwa hamu ujio wa Starlink ila ni wachache wanaojua matumizi yake ni yakoje pamoja na bei zake.
Ningependa kuzungumzia zaid vitu ambavyo tushavijua kupitia watumiaji wa Nigeria,
Haya ni machache ambayo tunayajua kwa sasa na kama kuna zaidi unaweza kushare, Je, tutegemee yepi kutoka kwa Starlink ikifika Tanzania?
- Starlink inauzwa $578.93 hivi ni vifaa peke kwa Tanzania ni sawa na 1,351,942./= na utalipia kwa account ya Dollar sijui kwetu itakuaje maana kwa Nigeria card zao za ndani hazikubali.
- Pia Starlink wanakupa 30 days free trial kama hutopata huduma upendavyo unauwezo wa kurudisha na kulipwa pesa yako yote.
- Starlink sio unlimited ila iko limited kwa kiwango kikubwa tofauti na provider wengine, Una kiwango cha kutumia internet cha 1terabyte kwa mda wa asubuhi mpka jioni na Jioni mpka asubuhi hautokuwa na limitation yeyote, Ukifanikiwa kumaliza 1 terabyte speed itapungua ila utakuwa na uwezo wa kununua 1Gb kwa $0.25 ambayo ni sawa na tsh 584.75.
Rwanda wale si kama mbele wazungu kasoro rangi.Tusubiri Rwanda inafanya kaz
Mzee una run machine gani kumaliza 1000Gb, hata nikiangalia HD movies kila siku for 2 hours simalizi 50Gb kwa mweziIn a month mtu anaweza kumaliza.....
Mpka sasa simu yangu inasoma Gb 167 zilotumika na hapo sikai home kutwa kwenye box inasoma 137 gb na hapo pia sio full day na kuna ps hapo kuna kama 150 gb. Sijaendelea kwengine ila ningekuwa heavy user basi unamaliza.Mzee una run machine gani kumaliza 1000Gb, hata nikiangalia HD movies kila siku for 2 hours simalizi 50Gb kwa mwezi
Bongo ni aibu tupu, selfishness na ujinga wa viongozi wetu vinaua kila kituMpaka sasa Elon Musk kapigwa kanzu na tobo haelewi mpira umepitaje pitaje. Kapigwa kihunzi kimoja tu cha kufungua ofisi hapa bongo yupo chali.
#bureaucracy #wahunisiowatu #utajuahujui #huwekutoboa #10% #kitulizekwanza #tibuamshono