Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Ni kweli hata mimi nnachokitaka ndio ushindani kwani saa hizi mitandao ya simu yote kwa pamoja wanashirikiana kuwa na ukiritimba kwenye kusambaza mbs hata kama sio starlink yeyote tu aje awa changamshe hawa waliopo kwani wameridhika 1gb kwa buku tatu si wizi huu.Binafsi Sina uelewa sana na hii starlink..lakini I wish ije ili pawe na competition na hawa watwana wetu akina voda, tigo, na Airtel....Kwa maana ni mateso matupu..labda wakipata mpinzani wanaweza kuboresha huduma
Wale wazee wa CHAPUTA wanaikataI doubt that, kwa activity gani hasa?
Hujajua tu Kuna fulsa hapo....by the way mm sometimes huwaga na endaga kuzurula kwenye forum mbali mbali Africa na ulaya....Kule utapata maarifa...Raia wa kawaida hana uwezo wa kutumia Starlink.
1 GB kwa Tshs 584.75Ukifanikiwa kumaliza 1 terabyte speed itapungua ila utakuwa na uwezo wa kununua 1Gb kwa $0.25 ambayo ni sawa na tsh 584.75.
Hii ni fursa kwa wanaoelewa kukumbatia fursa,Hujajua tu Kuna fulsa hapo....by the way mm sometimes huwaga na endaga kuzurula kwenye forum mbali mbali Africa na ulaya....Kule utapata maarifa...
Before watu kuanzisha nyuzi humu Jf kuhusu starlink nilipanga nianzishe thread ila nilitingwa na majumumu sikuweza kuandika Kwa utulivu...
Kuna mdau mmoja aliuliza ukisha fanyiwa installation Kuna uwezekano ukawa nyumbani let say ubungo alaf still ukaendelea kutumia ukiwa mbagala au mkuranga???
Tumsaidie kumjibu huyo mdau kwenye swali lake? Hapo juu
Upo sahihi kwa asilimia 100 na 90Mkuu mada za maendeleo kama hizi kupata wachangiaji ni ngumu kidogo utakuta wako kwenye MMU huko, anyway mitandao ya simu TIGO, VODA, AIRTEL, Halotel hawa jamaa linapokuja swala la kumnyonya raia wa kawaida usijekushangaa wakaungana huenda wanahofia kuzidiwa kihuduma na starlink baishara zao za wizi zikafa kifo cha mende.
Starlink ipo Rwanda?View attachment 2528434
Ila Rwanda huwa wako fasta sana, mambo mengi ya maendeleo hasa tech kabla hayajafika tz au kenya yanaanzia rwanda
Zamani mbona.Starlink ipo Rwanda?
Basi waje huku au Nape anawawekea kauzibe?Zamani mbona.
Hata wewe utahamia Starlink?Mitandao ya simu yatapunguza gharama zao pindi pale watanzania wengi watahamia kwenye Unlimited plans, majumbani na makazin hapo ndo wataona traffic kwao imepungua.
Wamesema lini wanakuja huku?View attachment 2517083
Na hawa pia wanakuja kushindana na starlink hapa pengine Starlink nae atapunguza bei au atapigwa bao.
Kwa hio unasemaje wasije?Nani anaweza tumia terrabyte of data in a day?
Labda makampuni makubwa sana.
Nakazia waje tutachangaSisi tumekubaliana mtaani kwetu tutachanga n kununua. Waje tu
Sawa na unlimited maana asubuhi mpaka Jioni huwezi kumaliza 1 TBUshaambia Hio ni limit ya asubuhi mpaka jioni mkuu
Nani kakwambia?Raia wa kawaida hana uwezo wa kutumia Starlink.
Sio kweliKwa bei hii ni Watanzania wachache sana wataweza kujiunga na Starlink.
Kwanza kulingana na ukiritimba na uzuzuta wa sera zetu za kikodi tena za kilimbukeni gharama hazitokia sawa na huko nigeria, trust me and thank me laterHabari,
Watu wengi hapa Tanzania tunasubiri kwa hamu ujio wa Starlink ila ni wachache wanaojua matumizi yake ni yakoje pamoja na bei zake.
Ningependa kuzungumzia zaid vitu ambavyo tushavijua kupitia watumiaji wa Nigeria,
Haya ni machache ambayo tunayajua kwa sasa na kama kuna zaidi unaweza kushare, Je, tutegemee yepi kutoka kwa Starlink ikifika Tanzania?
- Starlink inauzwa $578.93 hivi ni vifaa peke kwa Tanzania ni sawa na 1,351,942./= na utalipia kwa account ya Dollar sijui kwetu itakuaje maana kwa Nigeria card zao za ndani hazikubali.
- Pia Starlink wanakupa 30 days free trial kama hutopata huduma upendavyo unauwezo wa kurudisha na kulipwa pesa yako yote.
- Starlink sio unlimited ila iko limited kwa kiwango kikubwa tofauti na provider wengine, Una kiwango cha kutumia internet cha 1terabyte kwa mda wa asubuhi mpka jioni na Jioni mpka asubuhi hautokuwa na limitation yeyote, Ukifanikiwa kumaliza 1 terabyte speed itapungua ila utakuwa na uwezo wa kununua 1Gb kwa $0.25 ambayo ni sawa na tsh 584.75.
Tusubiri Rwanda inafanya kazNi kweli kabisa ila hadi hao starlink waingie kwenye soko la tz ni lazima main players wa sasa VODA, TIGO na wengineo ambao ni wabia wa TCRA waridhie hizo chenga chenga kuna kitu nyuma ya pazia documents gani we unadhani zinaweza kuzuia maendeleo.
Labda kwa njia hii! Ila si vinginevyo kwa jinsi ninavyojua hawa wa bongo wa kodi itakua ni huduma ghali sana kuliko huu utupolo tunaosambazianaStarlink wawauzie provider wetu in bulks, and then wao waone jinsi gani sisi tutapata huduma nafuu, na kasi ya kuridhisha, ugonjwa wetu mkubwa ni speed, Internet imara isiyokatakata, na affordability!