Tusichokijua kuhusu Starlink

Post bora sana ya muda wote hii![emoji122][emoji122][emoji122]
Mkuu Asante sana kawaida tu. Nitaendelea kuwaletea post na nyuzi nyingi zaidi zilizoshehen nondo na madini za kutosha. Kinachotakiwa ukae tu mkao wa kula.

Sauh'waaah?!
 
Hebu tujuze zaidi. Hao starlink wanatoa hufuma zingine za mwasiliano kama simu sms au ni internet tu.
 
Ili serikali iruhusu ni lazima ijue itafaidikaje
 
Mpaka sasa Elon Musk kapigwa kanzu na tobo haelewi mpira umepitaje pitaje. Kapigwa kihunzi kimoja tu cha kufungua ofisi hapa bongo yupo chali.
#bureaucracy #wahunisiowatu #utajuahujui #huwekutoboa #10% #kitulizekwanza #tibuamshono
 
Mzee una run machine gani kumaliza 1000Gb, hata nikiangalia HD movies kila siku for 2 hours simalizi 50Gb kwa mwezi
Mpka sasa simu yangu inasoma Gb 167 zilotumika na hapo sikai home kutwa kwenye box inasoma 137 gb na hapo pia sio full day na kuna ps hapo kuna kama 150 gb. Sijaendelea kwengine ila ningekuwa heavy user basi unamaliza.
 

Attachments

  • Screenshot_20230517-172404.png
    42.7 KB · Views: 6
Mpaka sasa Elon Musk kapigwa kanzu na tobo haelewi mpira umepitaje pitaje. Kapigwa kihunzi kimoja tu cha kufungua ofisi hapa bongo yupo chali.
#bureaucracy #wahunisiowatu #utajuahujui #huwekutoboa #10% #kitulizekwanza #tibuamshono
Bongo ni aibu tupu, selfishness na ujinga wa viongozi wetu vinaua kila kitu
 
Hiyo dollar 578 unanunua kifaa gani specifically, na ukishanunua kifaa husika bando ni kiasi gani?
 
Kwa Marekan wana package ya Rv ambayo haitaji location ya mtu ila hupati kipao mbele kma nyengine so ata speed yako inaweza kuwa mbaya. Na package ya home huwezi kuhama hama nayo ukiweka kwako ndo hapo hapo. Ntalifatilia zaid hili kuona uhakisia wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…