Tusichokijua wabara ni kwamba-Wazenji na Watanganyika ni watu tofauti sana

Tusichokijua wabara ni kwamba-Wazenji na Watanganyika ni watu tofauti sana

hivi ulichoandika unakijua au ulikurupuka tu usingizini? coz ulicho andika ni sawa na hadithi ya bibi na babu! Zanzibar kwanza

Hakuna ulichosndika cha kujitetea unachopinga zaidi ya kuthibitisha kwa matusi ya kijinga ukidhani unajitetea kumbe unazidi haribu.
 
Wengi watashangaa sana nilichoandika ila kwa analyst wazuri watakubalina nami.Wabara hatujui haya.Wazanzibar kwa ujumla wao hawafanani sana na watanganyika kifikra.Values wanazochare na bara ni kidogo sana.

Kuna Aspect za dini ,na mahusiano ya kibiashara na baadhi ya vitu wazenj wanajifunza bara ndivyo vitufanyavyo tuendelee jion akuwa tupo ktk boat moja.Hao viongozi wa serikali wanaotoka zenj wamjifunza mengi sana kwa miaka mingi sana.Ndio leo tunaojidanganya kuwa tupo pamoja ktk hii safari ya muungano.Hatap hivyo hao jamaa wamejifunza tuu kuishi nasi ila bado ktk uhasilia wana "Wanbanwa na hili koti " ila ndipo ulipo urembo.NI kama kufuata asali huku nyuki wakikundunga mishale.


Hawa viongozi wa kizenj tulio nao hawana msaada ktk kuleta umoja , na wapo very well detached na watu wao kuhusu ukweli wa muungano, na wapo nao pamoja sana ktk kushangaa muungano na maelezo mengine kwanini Zanzibar ni failed Society.

Kwa hali halisi Watu wa bara wana fikra tofauti sana na mitazamo isiyokaribina kabisa kuhusu maisha na maendeleo ya taifa.

Fikra za watanzania ktk makubaliano mengi ya muungano na maendeleo ya Taifa si moja na wenzao wa Zenj hata kama ziliandalia pamoja.Kwani mud awa mipango wazenj wengi hujifunza kufikiri km wabara ila hawapati concept moja nao .Ndio maana wakirudi kwao na kusahihishwa na wenzao (ambao pia walipaswa eleweshwa makubaliano yalifikiwa vipi) basi hawa viongozi huishia jitetea kwa hayo waaminio wazenj.

Ingewezekana wabara wakawapa wazenj hata masaa 5 ya wao kufany amambo yao halafu Bara wakaaangalia basi watu wa bara wasingekaa waweze funga midomo tena kwa kubaki wazi.Na kuendelea kupanga mambo na wawakilishi wao bado kutaendelea washangaza wabara matokeo yanavyokuwa tofauti kwa wenzao kulalamika kwamba walichkubaliana ktk mipango sicho walichokuwa wakitaka.

Kwa ujumla tupo tofauti sana.....na wenzetu wa visiwani....na ziku zinapokwenda bara hawawezi pick up tena na ilipoachwa zenj ichukue njia yake.Zenj ibatabi kuwa visiwa vya "YASIYOTEGEMEWA".

Mkuu hata kama una jazba basi pitia uliyoyaandika kabla ya kuposti au fanya editing kama unaogopa kupotea uzi wako. Huu uzi umekuwa ukikatika kiaina lakini angalau tumefahamu kuwa watu wa pande mbili hizi ni tofauti.

Ni kweli kabisa kuwa tuko tofauti lakini hili la kufikiria kuwa tofauti yenyewe imeletwa na kuwa mmoja ameendelea zaidi kuliko mwengine na kuwa huyo aliyeko nyuma hafundishiki ni fikira potofu kabisa,tena ni potofu kabisa.

Si kusudi langu kukuthibitishis uhalisia wa mambo kuwa yupi ameendelea zaidi lakini nataka nikufahamishe kuwa hiyo unayoona wewe kuwa ni jumuia ya yasiyotegemewa, si chengine bali ni ile ile tofauti tuliyonayo. Pengine hayo unayoyaona wewe ni maendeleo kwa watu wa visiwani wanaona sio maendeleo kwao. Na maadam umekubali kuwa tuko tofauti huwezi hata siku moja kuwa sawa na mtu wa kisiwani kifikra na kimuono.
 
Zenji ni Kama wapo Huru tofauti na Tz Bara kumbuka ZNZ wana baraza la mawaziri baraza la wakilishi na Hakuna Mwakilishi toka bara ananusa humo Pia wana wimbo wao wa Taifa Bendera Yao vikosi vya SMZ nk yaani Maana yake ni Kwamba cha ZNZ ni cha ZNZ tu lakini cha TZ Bara ni cha wote Wabunge wa Zenji wanaingia Dodoma mjengoni kwenye Vikao vya Bajeti za Wizara ambazo si za Muungano na huchukua posho pasipo kujali chochote huku wizara ya muungano ikipata Bajeti kubwa lakini imeshindwa kuondoa kero za muungano sijui pesa hizo zinafanya nini? Kwa ujumla Zenji ni Wajanja kwa Wabara kwani wanafaidi matunda ya muungano huku wakilalamika kwa kwenda mbele Kumbuka Umeme chakula na Mgao wa Fedha toka Hazina vinatoka Bara lakini huyu Bara hapumui amekaliwa kooni kila Dk lawama za kero za muungano Ukichunguza kiundani Wabunge wa Tz Bara wanatawala Majimbo makubwa huku wabunge wa Zenji wakiwakilisha majimbo yenye Km za mraba ndogo sana matokeo yake ni Kuwa na wabunge wengi ktk eneo dogo huku Eneo kubwa likiwa na wabunge wachache .siku ikitokea Miujiza Zenji ikajitenga ujue Tz Bara itakuwa Tajiri ndani ya mda mfupi sana kwani mgao wa fedha toka Hazina utabaki Bara Umeme na chakula watalipia kwa Dola huku wakitambulika Kama Raia wa Nchi jirani watalipia Viza na Vibali vya kuishi na kufanya kazi Tz Bara .a.k.a Tanganyika ingawa jina hili Tanzania ni jina lenye asili ya Bara na lilitoka Bara hivyo ni jina Bara kule Visiwani jina lake ni Zanzibar na huku Bara ni Tanzania tu kumbuka huku kuna visiwa Kama Mafia ukerewe ukara nk lakini panaitwa Tz bara ki Ukweli Zenji ni wajanja mbele ya Bara Ndio Maana wao ni million 1.5 tu lakini wakaungana na watu million 43 na kuwalalamikia Miaka 50 sasa huku wakifaidi matunda ya muungano

Ni msururu mrefu wa hasara za muungano kwa upande wa Bara lakini mengine yana ufafanuzi:
Umeme ni biashara ambayo upande wa Bara umeilazimisha katika harakati zake za kuona wanaimiliki Zanzibar.
-Chakula nayo ni biashara ya soko la uhakika la bidhaa za wakulima wa Bara. Unapoweka kodi kubwa na vizingiti chungu nzima juu ya uagizaji wa chakula nje ya Tanzania unakusudia nini? Hebu jiulize hii biashara ya chakula iliyonawiri inaendeshwa vipi wakati Zanzibar hawana kitu wanachouza Bara? Ni one way trafic ya pesa, inaingia Bara lakini hairejei Zanzibar. Swali la kujiuliza fedha wanaitowa wapi na watashindwaje kuagiza chakula kutoka nje iwapo hakuna vikwazo?
-Suwala la Wabunge ni mchezo mchafu wa Bara kuhakikisha wanaikamata Zanzibar,kwani kama ulivyoeleza kuna haja gani ya wabunge kutoka Zanzibar kuwemo kwenye majadiliano ya wizara zisizo za muungano? Kuthibitisha hili ni kule kwa viogozi wa Bara kukataa serikali yao ya Tanganyika kwa kisingizio cha gharama wakati gharama ingeepukwa kwa kuwa na serikali tatu tofauti.

Binaadamu siku zote hupenda kuwa huru hata kama atakuwa shidani hivyo Zanzibar inahitaji kuwa huru na sio kwamba wanajaribu lakini wana uhakika wakiwa huru ni muda mchache watapiga maendeleo na kurudisha hadhi yake ya Zamani kabla ya kutawaliwa na CCM.
 
Mtoto tegemezi asieisha kulalamika siku zote si mjanja, na uhai wake huwa mashakani sana mwenzie atakapoondoka kabisa na kwenda nchi ya mbali au kufariki, au kuamua mpatia kila chake huyu mtoto asiyeona kuwa nae anastahili kusimama na kusaidia wengine badala ya kulilia kuogezewa msaada hta kam mwenzie anajinyika kula ili yeye ale.
Labda mfano wakoungekuwa kwa mtoto anayeonewa choyo na kaka yake ambaye anazuia jitihada za mtoto huyo katika maendeleo yake. Huyu kaka anaogopa aibu itakayomkuta iwapo hatokuwa kiwazo kwa mdogo wake. Hivyo kama utakuwa na mtoto utaona fahari awepo nyumbani akisubiri chakula ulichomchagulia au itakuwa fahari kwako kumwachia ajitegemee ili chumo unalochuma ule kwa raha? Hivi sasa ukisikia watu wanakufa kwa njaa basi ni Tanganyika na ukisikia Japani katowa mchele wa msaada basi ni huko. Sasa hii dhana ya kuwashibisha Wazanzibari inatoka wapi?

Tanganyika(Tan-Azania) wameshikwa na sense ya guilty iliyokuwa induced by Zenj na nia njema ya watanzania, kwa kutaka wapa kila kitu Zenj ili waridhike na kuacha manung`uniko kumbe kadiri wanavyojitahidi waridhisha wenzao ndivyo wanavyozidi kujifunza tamani makubwa zaidi na kuona waliyopewa hayawatoshi.Ni ktk kutotambua na kuwaelewa wenzao wazenj ndipo Tan Zania ilivyojikuta inawaharibu kabisa wazenj, muungano huu umewaharibu kabisa wazenj, watu ambao wasingekuwepo km Muungano usingekuwepo.
Hivyo unafikiri muungwana ananunuliwa? Nini lengo lenu na quilty hiyo ni ya nini? Wazanzibari hawajalalamika kutaka posho au misaada kutoka kwenu lakini watalalamika kwa haki iliyoambatana na huu ulzimishwaji na kubwa kulalamika kuwa wanataka wawe huru waslishwe makombo bali wale kwa nguvu zao au wafe njaa kwa hiari zao. Hili gumu jamani upande wenu?


Wazenj kwa jinis walivyo, na ukubwa visiwa ni wazi matajiri wachache km si mmoja anaweza inunua Zenj, hata leo ikiwa na thamani ya mafuta yake.Zenj inaweza shikiliwa na vitu vidogo sana vinavyofuta njaa ktk siku wanzoziona kwa macho.Ukiwasikia wakililia misaada ya sultan, basi ujue hata bara wakiweza provide chakula kwa kila raia mfululizo bila kuwaambia kinalipwa vipi , wala kuwaachiahisia kuwa kuna mwingine anakula zaidi hata km wao wanashiba,amani iakuwepo.
Hii ni kusadikika! suwala la nani wa kuombwa na nani wa kuinunua Zanzibar isiwe tatizo kwenu kwani kabla ya kufanya hila Zanzibar ilijitegemea na ilikuwa na uamuzi wake nani wa kumuomba na nani awe bwana wao. Hivyo kuomba na kufanywa kuchukuwa amri lina tofauti iwapo Bwana anaepigiwa magoti na kuombwa anakuwa mzungu au mwarabu? Hebu angalia kwa makini utaona kuwa hayo unayoyafikiria kwa Zanzibar yako tayari kwa upande wako lakini Bwana zako wewe ni wazungu na Wamarekani au sivyo?

NI kichekesho sana Zenj bado wanajadili kuchukua kuku za nchi gani badala ya kufuga kuku wa kutosha na kuzidi kiasi cha kuuza nje.Pengine kuku wangekuwa ni viumbe pekee wanaoweza fugwa kwa wingi sana kwani hawahitajia sana eneo kubwa na mabaki ya uchafu na kinyesi yanaweza rutubisha zana visiwani kuliko ng`ombe ,mbuzi na wanyama wengine.
Kichekesho hichi pengine ni sawa na zile habari za jana kuwa Tanzania inanunua nyama na maziwa kutoka nje wakati vitu hivyo vipo vya kutosha hapa Tanzania. Si nyie mnaokimbilia shoprite kununua vitu vya nje? Ni uhuru wa kuamuwa kwani hakuna anaekatazwa kufuga kuku na kama watakuwepo wa kutosha hao walioagizwa watadorora.

Kwa raia mmoja mmoja huwezi watambua wazanzibara hadi utakapokaa nao halafu ukawasikia wakifungua mdomo kuongelea jambo lolote linalohusu utamaduni tofauti na wao, elimu tofauti na ya kwao, dini tofauti na dini kuu, siasa, michezo na mengine, Wazenj hadi tamasha la Filamnu bado halijawa lao, wazenj hata akina bi kidude bado hawajawa mashujaa wao, wazenj hata historia yao ya kweli si yao, wazenj hata wao wenyewe kuwapa sifa kwa lile uonalo wamefanya vyema unaweza ambulia majibu ya kukushangaza.
Msingi wa mjadala huu ni utofauti kati yetu, hivyo unafikiri nani anaejitambuwa na kukubali utamaduni wake atakuwa tayari kuondoshewa? Mbona hatukubali utamaduni wa ushuga hapa kwetu? Na hiyo ya umoja wao katika kutowa mawazo yao ni kuonyesha kuwa wao si watu wa kuburuzwa na inapolazimika kukaa kimya kuacha mwenye nguvu afanye atakavyo basi na iwe hivyo lakini kitu unafiki eti kupewa sifa kwa jambo ambalo toka na mwanzo halitakiwi si utamaduni wa Zanzibar.Wazanzibari wanajuwa nini wanataka.

Kwa ujumla si wenzetu.Sheria watumiazo kuwahukumu bara ukizitumia kwao unaambia unafanya uonevu....


Naam kwani sheria zinafuatana na tabia za watu, pengine sheria inafaa kwa Bara lakini kwa Zanzibar haifai kwani haihitajiki
 
Wakati tumemsikia Rais Mugabe Leo anaukataa ukoloni kwa nguvu zote Wenzetu Zenji wanatamani kurejesha Koloni la kiarabu ! Ebu jiulize ni kisiwa gani Barani Afrika ni Tajiri kuzidi Mataifa mengine humu Afrika?na Kama kuna mafuta Baharini Pemba ! iweje mafuta yasipatikane Baharini Tz Bara ?kumbuka Bara Bahari imetoka Tanga hadi Mtwara na Kama Uganda mafuta yamepatikana Ziwani iweje Tz bara yasipatikane wakati Bara inaongoza Duniani kwa idadi kubwa ya maziwa mengi na mito mingi na mbuga za wanyama !chezea Tz bara wewe

Mkoloni ni mkolonitu awe mwarabu au mwafrika.Zanzibar inataka kuwa huru kuchaguwa mkoloni gani anawafaa kama nyinyi mlivyochagua mkoloni wa Kimarekani. Sasa nyie wenyewe mnatawaliwa na bado mnataka kuendelea kututawala?
 
Mtoto mlalamishi akiumwa anataka attention ya kila mtu ndani, ila wengine wakiumwa yeye kujitua ni taabu sana.Ila ndipo serikali yetu haikutaka jenga taasis za kiserikali na kijamii ambazo zingeweza wawachanga wazenj na wengine ili watu kujuana na kuweza pata tafsiri moja ktk jambo moja ingekuwa tumefika mbali sana.Otherwise jamaa hawa watakuwa na majibu version mbili siku zote, na hata wakiwa na version moja hakutataelewana km tunavyotofautiana ktk kiswahili.

Kiswahili chao maneno mengine ni matusi kweli, na ya kwetu mengine kwa ni matusi, yanayoudhi kuliko tafsiri yake kwa kiswahili chao.Kwa vile tuu yameongewa na mbara.

Km ilivyo zinaa kwa mzenj, si mbaya km Mbara kuoa Mzenj.....tupo dunia tofauti sana.Mzenji kujikatia pori kibaha si dhambi km Mbara kununua ardhi na kuindeleza kwa kujenga shule Zenj.

Tutabaki tofauti sana

Kwani Kiswahili ni lugha yako wewe? Ni lugha ya kujifunza baada ya kufika mjini sasa hayo maneno ya matusi inakuwa tabu wazee kukufundisha!
Kila mtu ana maamuzi yake na mnakubali kuwauzia Wazenji kwa vile wanachojenga ni vitu vya maana, maghorof, miji n.k lakini mbara akinunua ardhi Zanzibar anakimbilia kujenga baa na magesti vitu vya kihuni, nani anataka kunajisiwa ardhi yake?
 
Acha hizo ! Kama kuna mapungufu basi ni huko zenji ndipo kumejaa uovu ubaguzi wa kidini maadili Hakuna mpaka wageni wanamwagiwa acid .mbona Wizara ya muungano inapewa pesa kumaliza kero za muungano lakini kero hazimaliziki?usijifanye mwema kutukana wakati huko kumejaa vioja kule uk na ulaya Wazenji wako busy wanazoa Used Radio Tv Ac nk mitaani na kuja kugeuza huku Dampo kwa kuwauzia kwa bei kubwa wakati wanaviokota bure kwenye majarara ulaya
Kuhusu maovu nafikiri ni tone katika ziwa kwa maovu huko Bara. Kila uovu huko uko lakini cha msingi kwanini hamtuachii na mkaunda serikali ya Tanganyika ili tukae meza moja tukijadiliana kuangalia kipim tunakubaliana kipi hatukubaliani?
 
Ndio maana akina Ponda wanatake advantage. Wanatoka huko kwao Burundi au Rwanda wanakuja kuwakonfuse Wazenji zaidi.He deserverd a shot at a right place.

Mzanzibari anajuwa analolitaka si sawa na ndugu zetu msojuwa hasa mnataka nini, kuacha kututawala,au kuendelea kushikilia ukoloni wenu.
 
Haha..naweza kuruhusu unitukane matusi yote ili kuthibitisha zaid wewe ni nani,tena sitokureport kwa mods au niwaombe wanipige mimi ban ili umalizie kabisa ku prove a apoint.

Mboja hujaandika chochote kingine cha kuonyesha hata unajielewa kidogo km si kuelewa kinachoongelewa hapa.

Wala si nia yangu kuwaita nyie wapuuzi km unavyoniita mimi, ila nasema kwa sauti kubwa na msisitizo kuwa TUPO TOFAUTI SANA NAVYI KTK FIKRA NA CIVILIZATIONS.hakuna project iliyofanikiwa zenj, labda malaria amabyo nayo ina walakini pamoja udogo wa zenj na umbali w abahari amabo kuua mbu mbu wote kutachukua muda sana magari na makonten, meli kuleta mbu tena.Complains zenu tuu zimewachosha sana watu wasio na maneno na kuondoka huku wakiwaacha mkibishana na kupeana ushindi.


Tupo tofauti sana, sisi tukisema kulia nyie mnasikia kushoto, sisi tukikubalina kuwa tutafanya m1,2 3, nyie mnaafiki mkifikiri 3,2,1.Tutachukua sana muda kuweza fanya calibrations .For thr time being mipango yote na kazi zote ni bure tuu...zitaishia km vitu vya kuwaweka busy tuu na wengine wale na angalau mara mojamoja mjisikia kuna maisha ktk upande huo.

Ndio maana baba wa taifa laikosa neno bor ala kusema ili asikosee haki za binadamu kwa kusema ingekuwa ni uwezo wake ..Angekisukuma hicho kisiwa huko huko Baharini kabisa..........mbali kabisa .Mimi ninaongezea mbai kabisa ili kilio chenu tusikisikie..nisisikie mkilia huku mkimtaja yeyote wa bara awaokoe...ili tusijisikie kuwa tunawaacha tuliodhani kuwa ni ndugu zetu.Sidhani km kuna ukombozi wa Zenj wa Mara ya tatu.Kuanzia wa wamisisonary kuwanunua kwa sadaka ya waumini wa Ulaya, na uwaweka huru, bado mkarudi ktk utumwa kwa kujiweka wakfu, Nyerere akawapa ukombozi wa kimwili, kisiasa bado mkaukana kwa vile utumwa wa roho na fikra mliouwekea Wakfu huwa hautoki bila mhusika kukiri na kutoa sadaka.

Nicholas kwani una kigugumizi cha kuandika au jazba zikikupanda mikono hutetemeka. Wakati mwengine tunashindwa hata kuungaunga maandishi yako.
Tena umzuri kuonyesha tofauti zetu, sasa umekuja na tofauti za utumwa wa kimawazo! naam wewe ni mtumwa wa kimawazo kivyako sasa ulitegemea Wazanzibari wawe watumwa sawa nawewe? La kila mmoja ana utumwa wake kiama Mzanzibari unahisi anafikira za utumwa wa kiarabu wako ni utumwa wa fikira za kizungu hivyo sote ni watumwa!
 
Safari yangu ya mwisho Zenj ..ilikuwa huzuni sana kwa Taifa na hatima ya Tanganyika kuwa Jirani na hivi visiwa..nilitamani hata viuzwe a kubebwa ,ila haikuwa rahisi.NIkatamani umma wa watanganyika uyaone haya.NIlituma post nyingi sana , na nyingi zilijibiwa kwa matusi, kejeli, bans ,kuitwa mdini etc.


Zenj hakuna wazee wala vijana, wasomi au wavuvi, hakuna wa kubadili mwingine zaidi ya kumwongezea Jazba na sumu zingine.Wamasai hata wa a vijijini kabisa wamekuwa mifano bora ya maendeleo kule visiwani.Wazenj wamekeuwa very serious kuwafanyia hujuma tena mbaya sana,badal ya kujifunza kwao na kuweza pambana kiufanisi na kibishara ili waweze jiiimarisha.

Wazenj karibu wote vijijini wanaongea vitu vya kufikirika ,wana maaadui wa watu wengine, wana maelezo ya tofautis aa kuhusu afankio ya wengine .Hata wengine wakienda kwao kushirikiana nao mbinu walizozitumia hadi kufanikiwa, wazenj masikini watajaribu kuwa walimu wa walimu wao.Watataka wao wanafunzi wasikilizwe na pengine kuwa walimu tena kw aubishi mkubwa sana.Mwisho wa siku wazenj wanatoka tupu na furaha zao kuwa wamewashinda walimu wao.Na elimu yao ya akina Ponda type ndio superior, na iliyostahili tawala dunia..."...Then the light goes off...time to bed in Zenj..and its Mid-night in the farmlands of Zenj"

Ala kumbe una kisa kimekutokea? Pole sana MNicholas lakini pengine kosa lako ni kujifanya mjuwaji na kufikiri kuwa Wazenji ni mbumbumbu eti kwa kuwaona hawafungi tai.
Mtazamo wako wa kujihisi kuwa ni bora wakati humu ndani unathibitisha kuwa wewe huna cha kumfundisha Mzanzibari bali yeye amekuwa akielimika kabla ya hata wewe hujatoka mikoani kuja mjini.
Ni ukweli usiopingika kuwa Wazanzibari hawataki mtu kuja na kujilabu kuwa yeye ni nani na ana nini isipokuwa wanajali vitendo na tabia ya mtu na iwapo ni tishio kwao hawana msalie mtume!
 
Hao ni watu wa kupokea misaada kazi hawafanyi wasubiri waarabu walete container za tende. Tazama mashamba ya karafuu yote yamekua mapori. Kwa kupiga domo hawajambo. Acha wamtukane mamba kabla hawajavuka mto
 
Nicholas kwani una kigugumizi cha kuandika au jazba zikikupanda mikono hutetemeka. Wakati mwengine tunashindwa hata kuungaunga maandishi yako.
Tena umzuri kuonyesha tofauti zetu, sasa umekuja na tofauti za utumwa wa kimawazo! naam wewe ni mtumwa wa kimawazo kivyako sasa ulitegemea Wazanzibari wawe watumwa sawa nawewe? La kila mmoja ana utumwa wake kiama Mzanzibari unahisi anafikira za utumwa wa kiarabu wako ni utumwa wa fikira za kizungu hivyo sote ni watumwa!

Pengine ninacho...go to the point.Hata ningekuwa mtumwa inakusaidiaje kujaribu tetea kuwa wazenj hatutofautiani nao kwa kisasi cha kutufanya tusifikie maamuzi sawa, hata km tunakubaliana ktk mipango.

Wewe ndio mwenye chuki ndio maan hujui nini unatetea hapa
 
Kwani Kiswahili ni lugha yako wewe? Ni lugha ya kujifunza baada ya kufika mjini sasa hayo maneno ya matusi inakuwa tabu wazee kukufundisha!
Kila mtu ana maamuzi yake na mnakubali kuwauzia Wazenji kwa vile wanachojenga ni vitu vya maana, maghorof, miji n.k lakini mbara akinunua ardhi Zanzibar anakimbilia kujenga baa na magesti vitu vya kihuni, nani anataka kunajisiwa ardhi yake?

Nani kakuambia bara hawajengi magorofa?Mbona Zenj hamjengi kwenu hayo magorofa?Sasa wabara waliopo zenj mmewaruhusu wajenge?Ndio maana wanafanya bishara inayokuwa kwa sana(Kialuri) na kilauri kinatakiw ajengwa beach kwa majengo yasiyo ya kudumu.Wazenj ndicho walichochagua,wabara wasipewe makazi ya kudumu.

Huo unajisi umewahi jiuliza mnavyonajisi bara kwa uchafu, uzinzi ktk masoko na maduka mnayofungua..uzazi usio wa mpango ili kodi za wabara zitumike kuwatibu na kuwasomesha.

Nani kakuambia kiswahili kina mwenyewe?hata Zenj kwenyewe kiswahili utata..lahaja ngapi zipo kule..?wengine wanaongea km wanaharisha, wengine wanaongea vyema hata kwa sigezo vya zenj tuu achilia kiswahili cha standard cha bakita.Kiswahili kuasisiwa pwani na kujengwa pwani huku zenj ikiwa na ncahngo hakumaanishi ndipo usahihi ulipo tena.Dunia imeendelea utaalamu na nyanja za maisha zimeingiza vitu ambavyo hata wazenj hawawezi tena imagine ni vitu gani.Yaani ni kma waota ndoto wengi wasiowai panda ndege wanavyoota ndege yenye sifa za gari.
 
Ala kumbe una kisa kimekutokea? Pole sana MNicholas lakini pengine kosa lako ni kujifanya mjuwaji na kufikiri kuwa Wazenji ni mbumbumbu eti kwa kuwaona hawafungi tai.
Mtazamo wako wa kujihisi kuwa ni bora wakati humu ndani unathibitisha kuwa wewe huna cha kumfundisha Mzanzibari bali yeye amekuwa akielimika kabla ya hata wewe hujatoka mikoani kuja mjini.
Ni ukweli usiopingika kuwa Wazanzibari hawataki mtu kuja na kujilabu kuwa yeye ni nani na ana nini isipokuwa wanajali vitendo na tabia ya mtu na iwapo ni tishio kwao hawana msalie mtume!

Nani kaongelea Tai hapa..Hayo ndio ninayosema tonatofautiana sana na wazenj..kwako unaleta taabu zako ktk kuchagua uendelee vaa jezi za timu za UK, kanzu, visuruali vifupi km vya kike au Kanzu, au Suti wavaazo wastaarabu.

HUwezi kuwa mstaaarabu ukavaa kanzu bila ch..upi ndani na makobazi ktk professional world.HUwezi chamba na vimaji vya kopo, ukashika mavi halafu ukadanganya watu kuwa mikono yako itakuwa safi kwa vimaji kidogo bila sabuni maalumu kwa chooni.

Kwa ujumla mpo nyuma sana..ndio maana mimi siwapi mikono type yako bila sababu, na nikiwapa au kupita ktk mahofiri yenu najiepusha sana shika makomeo.So many times nimekuta inanuka mavi.itakuweje magonjwa ya kinyesi...ndio maana mijini watu wanatumia maji safi, wanakula vitu kwa tahadhari bado wanapata magonjwa.
Zenj hakuna si tuu kuelimika hata ustaaabu uliopo ni wa karne 7..na masifa na fikra mgando mnajdangnaya kuwa mnawafundisha bara ustaarabu.Jamii ya leo watu wapo very dyanamic..jamii yenye watu wengi walio flexible na wenye kuchambua mambo haraka, ndio wanaostaarabika na baadaye kuendesha ustaarabu na si ustaarabu kuwageuza.
 
Naam kwani sheria zinafuatana na tabia za watu, pengine sheria inafaa kwa Bara lakini kwa Zanzibar haifai kwani haihitajiki

Unatia huruma kwa ile hujui utendalo.Unazidi ithibitisha sana...hakuna sheria za Bara Zenj, Shseria za Muungano zimepitishwa kwa Ndioooooo na MaCCM na waliberali wa CUF kwa asilimia zaiid ya mia ..sijui wanapata wapi hizo asilimia ktk kura.

Unanithibitisha kwa jinsi unavyo behave+ kwa jinsi unavyokubaliana nami kuw atupo tofauti na Zenj..wabunge wenu wanapitisha sheria halafu wakirudi pembeni wanakwenda tenda km vile hawakujua walichokuwa akifanya, au walielewa tofauti.
 
............................
Ngekewa hata hizo tai unazodhani kuwa watau wanacheka wazenji ..ni kwa vile hata wakizivaa huwa wanavaa hovyo km jinsi mnavyokuwa hovyo ktk kanzu,, ktk jezi za Timnu za UK....makamu wa rais wote , mwinyi hata na JK walichukua sana muda kuwa nadhifu..Utashagaa hata JK kwa mika yote kukaa nje bado miaka ya mwanzo ya urais wake kila aliweza ona ni kwanini alikuwa akipendelea Vitenge juu ...

pamoja na kwamba wachina siku hizi wameleta kit kamili kwa mtu kwena kuvaa tuu ila usikose mtazama sana Vuai, na wengine kuna siku wakitoka utajua anayewachagulia nguo alikuwa ana udhuru..
 
Mkoloni ni mkolonitu awe mwarabu au mwafrika.Zanzibar inataka kuwa huru kuchaguwa mkoloni gani anawafaa kama nyinyi mlivyochagua mkoloni wa Kimarekani. Sasa nyie wenyewe mnatawaliwa na bado mnataka kuendelea kututawala?

Haha bara wanachagua Partner na si Mkoloni...ni CCM tuu wanapenda fanya bishara km ya mkulim ana mchuuzi ktk ile mikoa yenye wabunge wajinga ambao miaka yote wanaona rumbesa wanakenua kuwa kwao vyakula vingi.Halafu baada ya kuvuta watu wanaanza kula mizizi ili waishi.
 
Acha hizo ! Kama kuna mapungufu basi ni huko zenji ndipo kumejaa uovu ubaguzi wa kidini maadili Hakuna mpaka wageni wanamwagiwa acid .mbona Wizara ya muungano inapewa pesa kumaliza kero za muungano lakini kero hazimaliziki?usijifanye mwema kutukana wakati huko kumejaa vioja kule uk na ulaya Wazenji wako busy wanazoa Used Radio Tv Ac nk mitaani na kuja kugeuza huku Dampo kwa kuwauzia kwa bei kubwa wakati wanaviokota bure kwenye majarara ulaya

Mkuu kuhusu vifaa used hata mie nawaunga mkono kwani ni bora used ulaya kuliko mpya ya china!Wanaotuletea uchafu wa China walaaniwe kabisa kwa kutuongezea umaskini

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom