Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Wewe unayo documento inayoonyesha kuwa amepewa hadhi ya msaka ukimbizi wa kisiasa?

Sina kwa sababu mimi sio Lema. Nasikiliza tu anachosema.
Ila kwa faida yako, hamna category ya Mkimbizi wa Kiuchumi. Kwa maneno mengine mtu hauwezi kuomba ukimbizi wa kiuchumi.

Amandla...
 
Sina kwa sababu mimi sio Lema. Nasikiliza tu anachosema.
Ila kwa faida yako, hamna category ya Mkimbizi wa Kiuchumi. Kwa maneno mengine mtu hauwezi kuomba ukimbizi wa kiuchumi.

Amandla...
Hakuna criteria ya kupata ukimbizi wa kiuchumi? Unataka kusema kama kuna ukame Zimbabwe , wazimbabwe hawawezi kwenda SA kutafuta chakula? Vipi hawa watu wanaozamia meli kila siku kwenda ulaya unawaitaje?
 
Hakuna criteria ya kupata ukimbizi wa kiuchumi? Unataka kusema kama kuna ukame Zimbabwe , wazimbabwe hawawezi kwenda SA kutafuta chakula? Vipi hawa watu wanaozamia meli kila siku kwenda ulaya unawaitaje?
Wazimbabwe hawawezi kuomba hifadhi ya ukimbizi Afrika ya Kusini kwa kigezo kuwa kuna ukame Zimbabwe. Hao wanaozamia meli kila siku hawawezi kuomba hifadhi ulaya kwa kigezo cha kuwa wanakimbia hali mbaya ya kiuchumi. Ndio maana watanzania wanaojilipua Ulaya wanasema kuwa wanatoka Burundi, Kongo au Somalia ambako hali ya kisiasa ni tete na hivyo kuhatarisha maisha yao. Wasiotaka kuwapokea ndio wanawaita kuwa ni wakambizi wa kiuchumi na hivyo hawastahili kupokewa.

Amandla...
 
Wazimbabwe hawawezi kuomba hifadhi ya ukimbizi Afrika ya Kusini kwa kigezo kuwa kuna ukame Zimbabwe. Hao wanaozamia meli kila siku hawawezi kuomba hifadhi ulaya kwa kigezo cha kuwa wanakimbia hali mbaya ya kiuchumi. Ndio maana watanzania wanaojilipua Ulaya wanasema kuwa wanatoka Burundi, Kongo au Somalia ambako hali ya kisiasa ni tete na hivyo kuhatarisha maisha yao. Wasiotaka kuwapokea ndio wanawaita kuwa ni wakambizi wa kiuchumi na hivyo hawastahili kupokewa.

Amandla...
Pole sana mkuu. Maana unaishi kwa kukariri,sio vita tu inayozalisha wakimbizi,hata majanga kama njaa,ukame na mafuriko yanaweza kuzalisha wakimbizi
 
Pole sana mkuu. Maana unaishi kwa kukariri,sio vita tu inayozalisha wakimbizi,hata majanga kama njaa,ukame na mafuriko yanaweza kuzalisha wakimbizi

Pole wewe.

Niambie umesikia wapi wakimbizi wamepokelewa Canada ( na nchi nyingine za magharibi) kwa sababu tu nchi yao ina njaa, ukame au mafuriko. Wakimbizi wa masuala haya huwa wanasaidiwa wakiwa nchini mwao. Hawaitwi wakimbizi bali IDPs ( Internally Displaced Persons), hawaitwi Economic Refugees. Na wale wanaokimbilia nchi za jirani kwa sababu ya majanga kama hayo wanarudishwa au huwa wanarudi kwao mara hali inapobadilika ( mvua kunyesha, chakula kupatikana na mafuriko kuondoka).

Amandla...
 
Pole wewe.

Niambie umesikia wapi wakimbizi wamepokelewa Canada ( na nchi nyingine za magharibi) kwa sababu tu nchi yao ina njaa, ukame au mafuriko. Wakimbizi wa masuala haya huwa wanasaidiwa wakiwa nchini mwao. Hawaitwi wakimbizi bali IDPs ( Internally Displaced Persons), hawaitwi Economic Refugees. Na wale wanaokimbilia nchi za jirani kwa sababu ya majanga kama hayo wanarudishwa au huwa wanarudi kwao mara hali inapobadilika ( mvua kunyesha, chakula kupatikana na mafuriko kuondoka).

Amandla...
Asylum seeker anaweza kuwa ni mtu ambaye amekimbia persecution or any danger. Internally displaced persons ni wale wanaohama toka mji mmoja kwenda mji mwingine ndani ya taifa moja. International displaced persons toka nchi moja kwenda mataifa mbalimbali. Green pasture anayotafuta Lema ni moja ya masuala yanagoweza kumpatia mtu asylum,sababu inakubalika.
 
Kwa nini unaliza ni watanzania gani?
Kajifunze kuandika Kwanza maana maccm wote vilaza

wengine ndiyo hivyo wanaPHd za maganda ya korosho ila kuongea kingereza hawawezi,wengine hawawezi kuapa,wengine wanavyeti feki nk
 
Kajifunze kuandika Kwanza maana maccm wote vilaza

wengine ndiyo hivyo wanaPHd za maganda ya korosho ila kuongea kingereza hawawezi,wengine hawawezi kuapa,wengine wanavyeti feki nk
Hujaelewa? Au umekosa hoja?
 
Anayechafua nchi ni dikiteta magufuli, kapokonya ushindi wapinzani wengi, lkn bado hajaridhika na roho zao pia anataka kuwapokonya.
Hii ndio mbaya sana,kutaka damu za wapinzani.
Mungu asimame na waja wake
 
Mkuu, asante sana kwa maelezo yako yakinifu. Umefafanua vema. Mao hakutaka China ya kuwekewa vikwazo kidogo, uchumi wa nchini unaporomoko kutoka 12% mpaka 2% tena kwa muda mfupi. Na hii inaonyesha unaelewa China historia yake kwa kuangalia mbele tu badala ya kuangalia Historia ya China kwa pande zote, mbele kulia nyuma na kushoto. Usisome historia ya nchi kama herufi a ba che de e.....!

Mkuu, ninaposema Tanzania TUJITEGEMEE kweli kweli ni pamoja na kutojenga uchumi wetu wa nchi kwenye misingi ya 'mpira wa povu la sabuni'. Msingi ambao ukija upepo wa vumbi mpira unapotea. Ni katika mazingira haya Wachina wanalazimika kurejea kiana misingi ya Mao! Na kweli lazima wareje ili watoke hapo walipo kwama.

Mkuu, ni katika muktadha huo tunaitumia historia ya China kwa manufaa; yaani tusirudie makosa waliyofanya.

Mkuu, ninatarajia tutaelewana katika hili.
Umenena vema.

Mahali ambapo panahitaji umakini wa hali ya juu, ni nini unafanya na kwa namna gani oli uujenge uchumi wako katika misingi imara na kwa namna iliyo thabiti.

Nina mashaka kama sisi tumeyazingatia hayo. Ukiwa dhaifu, strenght yako ya kwanza ya mafanikio ni umoja wenu. Na mahali pa kwanza ambapo ninaamini awamu hii kuna kasoro ni kutokuzingatia nguvu ya umoja.

Unity, cohesiveness and involution ostensibly have been played down. Such elements are built upon true reverence of human rights, true equipollence, true democracy, liberation of verbalization, which at any quantification are treaded by rulers. We are building our country on dust which unequivocally will not distribute the desired outcome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom