Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Siku na wewe ‘ukizalishwa’ kuwa mkimbizi, ndo utaelewa! Labda huwezi kukimbilia Canada, lakini kuna kitu utakikimbia, na utakimbilia mahali kabla ya 2025!
Ila nitaweka wazi,kuwa nimekimbia sababu gani.
 
Mauaji mliyoyafanya wakati wa uchaguzi Zanzibar , Tarime na kwingineko, kufunga watu kwenye viroba kuteka na kupoteza watu sio kuchafua nchi we Pimbi ?
 
Unafahamamu alipo huyo uliyemjibu wewe mpumbavu?
Kwa akili zako fupi unafikiria kila unayejibizana naye hapa yupo Tanzania?
Kuwa yupo DRC au Malawi sio ishu,ishu ni namna alivyofika huko,labda ameolewa na mzungu.
 
Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.

Tungesikia UN wametoa ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu hapa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna UN wapo kimya,sisi wenyewe tunaoishi hapa Tz ni mashuhuda.

Jambo la msingi tunatakiwa kufahamu kuwa kuna aina nyingi za wakimbizi. Wakimbizi wa kiuchumi pia wapo. Hawa ni wale hukimbia nchi zao kusaka matonge baada ya line za kuingiza kipato kukata kamba.

Nchi kama Kanada ni nchi ambayo hupokea wageni wa namna mbalimbali,hasa wakimbizi wa kiuchumi,ndio maana ukienda Kanada utakuta Wahindi walioenda kusaka tonge ni wengi tu.

Kwa ujumla tunafanya vibaya sana kuichafua nchi yetu kuwa kuna mkimbizi wa kisiasa ametusua kwenda Kanada wakati tunajua amesoma alama za nyakati na kujua Ubunge umekata hivyo anatakiwa akatafute mkate na siagi Kanada. Nchi hii haitawaliwi kiimla wala kwa mkono wa chuma. Tuache kukurupuka na kuzalisha uongo mchana kweupe.

Wa kulaumiwa ni yule anayesababisha watu kwenda ukimbizini.

Kwani kuna anayependa kuwa mkimbizi?

Kama ndivyo mbona nzi wa kijani ndiyo pekee waliomkomalia Lema bila kuwaona jiwe au waajiriwa wake wajulikanao kama wasiojulikana?
 
Samahani kwa kugusa maslahi ya bwana wako. Maana baada ya kukuacha bongo kaenda Kanada kufanya vibarua vya kulima pamba.
Mpuuzi katika ubora wako. Tafuta kazi ya kufanya. Kukaa hapa kusema Lema analima pamba haitakufanya uboreshe maisha yako ufikie walau 0.000001% ya maisha yake
 
Mwakajana Trump kaiwekea mbinyo kidogo tu China, ukuaji wa uchumi ukaanguka mpaka 2% kwa mwaka. Na projections ni kuwa utabakia katika tarakimu hiyo au chini zaidi kwa muda usiopungua miaka 10.
Mkuu, asante sana kwa maelezo yako yakinifu. Umefafanua vema. Mao hakutaka China ya kuwekewa vikwazo kidogo, uchumi wa nchini unaporomoko kutoka 12% mpaka 2% tena kwa muda mfupi. Na hii inaonyesha unaelewa China historia yake kwa kuangalia mbele tu badala ya kuangalia Historia ya China kwa pande zote, mbele kulia nyuma na kushoto. Usisome historia ya nchi kama herufi a ba che de e.....!

Mkuu, ninaposema Tanzania TUJITEGEMEE kweli kweli ni pamoja na kutojenga uchumi wetu wa nchi kwenye misingi ya 'mpira wa povu la sabuni'. Msingi ambao ukija upepo wa vumbi mpira unapotea. Ni katika mazingira haya Wachina wanalazimika kurejea kiana misingi ya Mao! Na kweli lazima wareje ili watoke hapo walipo kwama.

Mkuu, ni katika muktadha huo tunaitumia historia ya China kwa manufaa; yaani tusirudie makosa waliyofanya.

Mkuu, ninatarajia tutaelewana katika hili.
 
Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.

Tungesikia UN wametoa ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu hapa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna UN wapo kimya,sisi wenyewe tunaoishi hapa Tz ni mashuhuda.

Jambo la msingi tunatakiwa kufahamu kuwa kuna aina nyingi za wakimbizi. Wakimbizi wa kiuchumi pia wapo. Hawa ni wale hukimbia nchi zao kusaka matonge baada ya line za kuingiza kipato kukata kamba.

Nchi kama Kanada ni nchi ambayo hupokea wageni wa namna mbalimbali,hasa wakimbizi wa kiuchumi,ndio maana ukienda Kanada utakuta Wahindi walioenda kusaka tonge ni wengi tu.

Kwa ujumla tunafanya vibaya sana kuichafua nchi yetu kuwa kuna mkimbizi wa kisiasa ametusua kwenda Kanada wakati tunajua amesoma alama za nyakati na kujua Ubunge umekata hivyo anatakiwa akatafute mkate na siagi Kanada. Nchi hii haitawaliwi kiimla wala kwa mkono wa chuma. Tuache kukurupuka na kuzalisha uongo mchana kweupe.

Cha msingi hapo ni kuwa Canada wamempokea kwa msingi gani. Kama wamempa hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa atabakia kuwa hivyo hata tuseme nini. Kwa maneno mengine Canada imekubali maelezo yake kuwa uhai wake unatishiwa nchini kwake kwa sababu ya msimamo wake wa kisiasa. Badala ya kulalama tunatakiwa na sisi tuchunguze malalamiko yake na tuwahakikishie wengine wote ambao wana mitizamo kama yake kuwa serikali yao itahakikisha kuwa hawadhuriki kwa namna yeyote kutokana na misimamo yao.

Amandla...
 
Cha msingi hapo ni kuwa Canada wamempokea kwa msingi gani. Kama wamempa hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa atabakia kuwa hivyo hata tuseme nini. Kwa maneno mengine Canada imekubali maelezo yake kuwa uhai wake unatishiwa nchini kwake kwa sababu ya msimamo wake wa kisiasa. Badala ya kulalama tunatakiwa na sisi tuchunguze malalamiko yake na tuwahakikishie wengine wote ambao wana mitizamo kama yake kuwa serikali yao itahakikisha kuwa hawadhuriki kwa namna yeyote kutokana na misimamo yao.

Amandla...
Wewe unayo documento inayoonyesha kuwa amepewa hadhi ya msaka ukimbizi wa kisiasa?
 
Back
Top Bottom