Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Tusiichafue Tanzania yetu kwa kumbatiza Lema ukimbizi wa kisiasa

Mkuu

Ni ajabu sana haya majamaa ya propaganda tangu wiki imeanza yanakuja na ma-thread ya hovyo kweli yanadhani sisi watoto

Haya ma-pombe guys ni bure kabisa yaani!
Yaani muichafue Tanzania yetu tukae kimya? Nani kawazuia kwenda ughaibuni kwa njia za kawaida? Mnalazimisha ukimbizi.
 
Wewe ni certified mpuuzi maana badala ya kuhangaika na maisha yako unahangaika na maisha ya waume za watu. Huu ni udaku wa kiwango ya PhD
Samahani kwa kugusa maslahi ya bwana wako. Maana baada ya kukuacha bongo kaenda Kanada kufanya vibarua vya kulima pamba.
 
Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.

Tungesikia UN wametoa ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu hapa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna UN wapo kimya,sisi wenyewe tunaoishi hapa Tz ni mashuhuda.

Jambo la msingi tunatakiwa kufahamu kuwa kuna aina nyingi za wakimbizi. Wakimbizi wa kiuchumi pia wapo. Hawa ni wale hukimbia nchi zao kusaka matonge baada ya line za kuingiza kipato kukata kamba.

Nchi kama Kanada ni nchi ambayo hupokea wageni wa namna mbalimbali,hasa wakimbizi wa kiuchumi,ndio maana ukienda Kanada utakuta Wahindi walioenda kusaka tonge ni wengi tu.

Kwa ujumla tunafanya vibaya sana kuichafua nchi yetu kuwa kuna mkimbizi wa kisiasa ametusua kwenda Kanada wakati tunajua amesoma alama za nyakati na kujua Ubunge umekata hivyo anatakiwa akatafute mkate na siagi Kanada. Nchi hii haitawaliwi kiimla wala kwa mkono wa chuma. Tuache kukurupuka na kuzalisha uongo mchana kweupe.
Unaishi pango gani kiasi kwamba hata ile report ya UN Human Rights hukuipata, ile ya Human Rights Watch hukuipata, hata ile ya Amnesty International huijui?

Tafuta hizo report, halafu uje ulete kitu cha maana kuliko huu uchafu uliouweka hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaishi pango gani kiasi kwamba hata ile report ya UN Human Rights hukuipata, ile ya Human Rights Watch hukuipata, hata ile ya Amnesty International huijui?

Tafuta hizo report, halafu uje ulete kitu cha maana kuliko huu uchafu uliouweka hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walituma wajumbe au tume?
 
Unaishi pango gani kiasi kwamba hata ile report ya UN Human Rights hukuipata, ile ya Human Rights Watch hukuipata, hata ile ya Amnesty International huijui?

Tafuta hizo report, halafu uje ulete kitu cha maana kuliko huu uchafu uliouweka hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walituma wajumbe au tume?
 
Jibu hoja husika kamanda.
Umeleta takataka, hakuna hoja.

Kama hujui kama kuna kauli rasmi ya UN Human Rights, sasa wewe ni mtu hata wa kusema unaweza kuleta hoja inayohusu ukiukwaji wa haki za raia zinazopelekea baadhi kuwa wakimbizi?

Uwezo wako wewe unaishia kusoma tu na kujifunza toka kwa wengine, huna uwezo wa kuleta hoja, ndiyo maana umeleta hii takataka isiyo na kichwa wala miguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeleta takataka, hakuna hoja.

Kama hujui kama kuna kauli rasmi ya UN Human Rights, sasa wewe ni mtu hata wa kusema unaweza kuleta hoja inayohusu ukiukwaji wa haki za raia zinazopelekea baadhi kuwa wakimbizi?

Uwezo wako wewe unaishia kusoma tu na kujifunza toka kwa wengine, huna uwezo wa kuleta hoja, ndiyo maana umeleta hii takataka isiyo na kichwa wala miguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimbizi wa kisiasa vs wa kiuchumi!
 
Asylum inatolewa na jaji? Kwa hii statement we shit person.
Wewe mjinga kweli. Kama hujui waulize walio na ufahamu.

Canada ili kupata hadhi ya ukimbizi ni lazima ithibitishwe na jaji wa mahakama kuwa kuna uhalisia wa malalamiko yako kuwa kuna hatari ya usalama wa maisha yako huko utokako. Kwa msingi huo, ina maana wakili wa Lema amewasilisha uthibitisho usio na shaka kuwa kubakia kwake Tanzania, maisha yake yangekuwa hatarini, ndiyo maana amepewa hadhi ya ukimbizi wa kisiasa ndani ya muda mfupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.

Tungesikia UN wametoa ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu hapa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna UN wapo kimya,sisi wenyewe tunaoishi hapa Tz ni mashuhuda.

Jambo la msingi tunatakiwa kufahamu kuwa kuna aina nyingi za wakimbizi. Wakimbizi wa kiuchumi pia wapo. Hawa ni wale hukimbia nchi zao kusaka matonge baada ya line za kuingiza kipato kukata kamba.

Nchi kama Kanada ni nchi ambayo hupokea wageni wa namna mbalimbali,hasa wakimbizi wa kiuchumi,ndio maana ukienda Kanada utakuta Wahindi walioenda kusaka tonge ni wengi tu.

Kwa ujumla tunafanya vibaya sana kuichafua nchi yetu kuwa kuna mkimbizi wa kisiasa ametusua kwenda Kanada wakati tunajua amesoma alama za nyakati na kujua Ubunge umekata hivyo anatakiwa akatafute mkate na siagi Kanada. Nchi hii haitawaliwi kiimla wala kwa mkono wa chuma. Tuache kukurupuka na kuzalisha uongo mchana kweupe.
Godbless Lema ni mkimbizi wa kisiasa na tayari UN wametoa tamko la kulaani yaliyotokea chini ya utawala wa Magufuli. Magufuli ameharibu nchi hii na huo ndo ukweli utake usitake.
 
Nimefuatilia historia ya China. Ilipita kwenye kipindi cha masimango huku baadhi ya wachina wakishiriki usimangaji huo. Kilikuwa kipindi kigumu sana.Lakini walitokea wa China wapenda nchi yao na wachukia masimango, kwa dhati kabisa, waliamua "kumvalisha kila mchina aliyeonekana kuwa paka kengele". Baada ya wale "wachina paka sugu" kuvalishwa kengere, China ikarudisha heshima yake na masimango yakaisha.

Bahati mbaya Tanzania tumeanza kushuhudia baadhi ya watanzania kuonekana kama " paka" na wanajinasibu kwa ama kushiriki kutusimanga watanzania ama kushangilia masimango dhidi yetu na nchi yetu kwa ujumla. Bahati nzuri watanzania wengi sana wako tayari kwa ari, mori, na munkari " kuwavalisha kengele" watanzania hawa wanaofanya bidii kujigeuza "paka"! Nina hakika watanzania hawa wenye munkari hawata chambua cha " paka sugu" ama "paka mchekea", "paka" wote watavishwa kengele! Na hapo Watanzania watakomesha kabisa masimango dhidi yao na nchi yao.
Mnaoitolea mfano China, hamjui chochote kuhusu China.

China ya Mao haikuwafikisha wachina mahali popote. Ndipo China wakasalimu amri kwa sera za Ulaya Magharibi na America. Makampuni ya America na Ulaya yakaenda kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ukaanza kukua mpaka kufikia 12% kwa mwaka.

Makampuni makubwa yaliyopo China siyo ya Wachina, ni makampuni ya nchi za Ulaya na America. Uwekezaji wa nje nchini china unafikia dola bilioni 80 kwa mwaka.

Mwakajana Trump kaiwekea mbinyo kidogo tu China, ukuaji wa uchumi ukaanguka mpaka 2% kwa mwaka. Na projections ni kuwa utabakia katika tarakimu hiyo au chini zaidi kwa muda usiopungua miaka 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Un huwa inatuma wajumbe kuchunguza. Sio kwa kusikia tu, acha kukurupuka.
Wewe huenda una uwendawazimu wa aina fulani. UN Human Rights wametoa kauli rasmi, wewe unaongelea habari ya wajumbe. Wewe ndiyo huwa unawapa mwongozo namna ya kupata taarifa?

Reasoning or your IQ must be minimum low.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha utoto dogo.
MATAGA mnasumbua sana, mnaleta kelele nyingi sana humu, lakini hamna vifua vya kusikia ukweli.

Anaechafua nchi hii ni Hutu boy.

Anae chafua nchi hii MaCCM na njaa zao
Kutekeleza kila ujinga wanaotumwa na Hutu boy.

Hutu boy anatuletea mambo ya kwao alikozaliwa kule Mugufi Burundi.
Kuteka, kutesa, kuua. Huku ni kuichafua nchi.
 
Uone aibu,ulieleta thread,umepewa facts tupu,uje uanzishe nyingine sasa
 
Kasemaje? Tumefikia hatua ya kuwa nchi ya kuzalisha wakimbizi!
Siku na wewe ‘ukizalishwa’ kuwa mkimbizi, ndo utaelewa! Labda huwezi kukimbilia Canada, lakini kuna kitu utakikimbia, na utakimbilia mahali kabla ya 2025!
 
Jibu hoja husika kamanda.
Wewe ndio huna hoja.
Ukweli ni kwamba lema kapewa hifadhi Kama mkimbizi wa kisiasa na serikali ya kanada na sio mkimbizi wa kiuchumi Kama ulivyoposti
Kama inakuuma Sana peleka hoja zako kwa serikali ya kanada ili wamnyang'anye
Kuna watu sijui vichwani kwenu kuna urojo na sio ubongo
 
Back
Top Bottom