Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wivu wa kike tu huu. Wewe mbona ni mkimbiI unaishi mabibo bwawa la mavi hatusemi kitu. Au huko unakoishi unajiona siyo mkimbizi? Tofauti yako na Lema ni kwamba Lema anaishi sehemu nzuri nje ya nchi we unaishi machokoroni nchini mwakoNajua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema....