Ufufue1Mfano mfu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufufue1Mfano mfu.
Kwa hiyo hujui hata alichosema na unasema UN hawajasema kitu?Kasemaje? Tumefikia hatua ya kuwa nchi ya kuzalisha wakimbizi!
Wewe unajua kusoma Kiingereza jwa ufahamu?Sijaona aliposema tunazalisha wakimbizi, na huenda alitazama shilingi upande mmoja.
Jibu hoja husika kamanda.Kwani akiwa mkimbizi wa kisiasa tatizo lipo wapi nyie si mchape kazi
Wewe umeona wakimbizi au vurugu zilizozaa wakimbizi kwa macho yako?Wewe unajua kusoma Kiingereza jwa ufahamu?
Tusije kubishana na mtu asiyejua kusoma Kiingereza kuhusu habari iliyoandikwa Kiingereza.
Atajuaje ilhali ana akili za kuvukia barabara tu?Una uhakika UN wako kimya?
Unamfahamu Michele Bachelet ni nani na kasema nini kuhusu haki za binadamu Tanzania?
Kwani uongo?Acha utoto dogo.
Kashfa hazisaidii kamanda.Atajuaje ilhali ana akili za kuvukia barabara tu?
Nijibu hoja gani?Jibu hoja husika kamanda.
Sasa unanionesha hata Kiswahili hujui kusoma kwa ufahamu.Wewe umeona wakimbizi au vurugu zilizozaa wakimbizi kwa macho yako?
Acha kujichetua,wewe umeshuhudia kwa macho yako watu wakiminywa haki zao na kuwa wakimbizi?Sasa unanionesha hata Kiswahili hujui kusoma kwa ufahamu.
Si Kiingereza tu.
Kushuhudia kwa macho ndiyo kipimo chako?Acha kujichetua,wewe umeshuhudia kwa macho yako watu wakiminywa haki zao na kuwa wakimbizi?
Nchi inawajinga hii sijawahi ona eti hatutawaliwi kwa mkono wa chuma mpaka usikie lema kachapwa 16 bullets Kama Lissu ndio utaamini au bado utasema kajipiga mwenyewe jana bagonza kasema anahofia usalama wake je nayeye muongo ? Kiufupi tuko chini ya utawala wa kidicteta kumbuka hata wale vijana walionufaika na chama Cha NAZI hawakuamini kwamba Hitler ni dikteta kwasababu all decisions work on their favor.Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema....
Kaa kimya acha kulishwa upuuzi na uongo. Kuna mambo ya kulalamikia lakini sio utapeli wa wanasiasa kama Lema.Kushuhudia kwa macho ndiyo kipimo chako?
Unaelewa kwamba si kila kinachoshuhudiwa kwa macho kipo kweli na si kila kilichopo kweli kinashuhudiwa kwa macho?
Kwani kama watu wanania ya kumuua hata huko Kanada wanashindwa kumfuata,acha ujimga we fala.Nchi inawajinga hii sijawahi ona eti hatutawaliwi kwa mkono wa chuma mpaka usikie lema kachapwa 16 bullets Kama Lissu ndio utaamini au bado utasema kajipiga mwenyewe jana bagonza kasema anahofia usalama wake je nayeye muongo ? Kiufupi tuko chini ya utawala wa kidicteta kumbuka hata wale vijana walionufaika na chama Cha NAZI hawakuamini kwamba Hitler ni dikteta kwasababu all decisions work on their favor.
Hivi huwa mnasema uongo kwa faida ya nani?Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.
Tungesikia UN wametoa ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu hapa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna UN wapo kimya,sisi wenyewe tunaoishi hapa Tz ni mashuhuda.
Jambo la msingi tunatakiwa kufahamu kuwa kuna aina nyingi za wakimbizi. Wakimbizi wa kiuchumi pia wapo. Hawa ni wale hukimbia nchi zao kusaka matonge baada ya line za kuingiza kipato kukata kamba.
Nchi kama Kanada ni nchi ambayo hupokea wageni wa namna mbalimbali,hasa wakimbizi wa kiuchumi,ndio maana ukienda Kanada utakuta Wahindi walioenda kusaka tonge ni wengi tu.
Kwa ujumla tunafanya vibaya sana kuichafua nchi yetu kuwa kuna mkimbizi wa kisiasa ametusua kwenda Kanada wakati tunajua amesoma alama za nyakati na kujua Ubunge umekata hivyo anatakiwa akatafute mkate na siagi Kanada. Nchi hii haitawaliwi kiimla wala kwa mkono wa chuma. Tuache kukurupuka na kuzalisha uongo mchana kweupe.
Wakati ana ubunge mlimfunga miezi minne bila dhamana. Akiwa hana kinga si mtammaliza kabsa? Nani anataka kula christmass jela tena?Najua kabisa umoja wa mataifa wanazo rekodi zao za uhakika kuwa Tanzania ambayo ndio kitovu cha kuhifadhi wakimbizi tangu miaka ya 1960's hajafikia hatua ya kutengeneza wakimbizi wa kisiasa kama Lema.....