Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Wewe unayo documento inayoonyesha kuwa amepewa hadhi ya msaka ukimbizi wa kisiasa?
Hakuna criteria ya kupata ukimbizi wa kiuchumi? Unataka kusema kama kuna ukame Zimbabwe , wazimbabwe hawawezi kwenda SA kutafuta chakula? Vipi hawa watu wanaozamia meli kila siku kwenda ulaya unawaitaje?Sina kwa sababu mimi sio Lema. Nasikiliza tu anachosema.
Ila kwa faida yako, hamna category ya Mkimbizi wa Kiuchumi. Kwa maneno mengine mtu hauwezi kuomba ukimbizi wa kiuchumi.
Amandla...
Wazimbabwe hawawezi kuomba hifadhi ya ukimbizi Afrika ya Kusini kwa kigezo kuwa kuna ukame Zimbabwe. Hao wanaozamia meli kila siku hawawezi kuomba hifadhi ulaya kwa kigezo cha kuwa wanakimbia hali mbaya ya kiuchumi. Ndio maana watanzania wanaojilipua Ulaya wanasema kuwa wanatoka Burundi, Kongo au Somalia ambako hali ya kisiasa ni tete na hivyo kuhatarisha maisha yao. Wasiotaka kuwapokea ndio wanawaita kuwa ni wakambizi wa kiuchumi na hivyo hawastahili kupokewa.Hakuna criteria ya kupata ukimbizi wa kiuchumi? Unataka kusema kama kuna ukame Zimbabwe , wazimbabwe hawawezi kwenda SA kutafuta chakula? Vipi hawa watu wanaozamia meli kila siku kwenda ulaya unawaitaje?
Pole sana mkuu. Maana unaishi kwa kukariri,sio vita tu inayozalisha wakimbizi,hata majanga kama njaa,ukame na mafuriko yanaweza kuzalisha wakimbiziWazimbabwe hawawezi kuomba hifadhi ya ukimbizi Afrika ya Kusini kwa kigezo kuwa kuna ukame Zimbabwe. Hao wanaozamia meli kila siku hawawezi kuomba hifadhi ulaya kwa kigezo cha kuwa wanakimbia hali mbaya ya kiuchumi. Ndio maana watanzania wanaojilipua Ulaya wanasema kuwa wanatoka Burundi, Kongo au Somalia ambako hali ya kisiasa ni tete na hivyo kuhatarisha maisha yao. Wasiotaka kuwapokea ndio wanawaita kuwa ni wakambizi wa kiuchumi na hivyo hawastahili kupokewa.
Amandla...
Tanzania yenu nanani labda Tanzania ya maccmYaani muichafue Tanzania yetu tukae kimya? Nani kawazuia kwenda ughaibuni kwa njia za kawaida? Mnalazimisha ukimbizi.
Kwani wewe sio Mtanzania Kamanda?Tanzania yenu nanani labda Tanzania ya maccm
Pole sana mkuu. Maana unaishi kwa kukariri,sio vita tu inayozalisha wakimbizi,hata majanga kama njaa,ukame na mafuriko yanaweza kuzalisha wakimbizi
Taarifa hiyo ilifika hata humu JF lakini bahati mbaya imeandikwa Kingereza lughà ambayo hajui na huko UN hawajui Kisukuma wala Kitutsi. Lughà gongana!
Asylum seeker anaweza kuwa ni mtu ambaye amekimbia persecution or any danger. Internally displaced persons ni wale wanaohama toka mji mmoja kwenda mji mwingine ndani ya taifa moja. International displaced persons toka nchi moja kwenda mataifa mbalimbali. Green pasture anayotafuta Lema ni moja ya masuala yanagoweza kumpatia mtu asylum,sababu inakubalika.Pole wewe.
Niambie umesikia wapi wakimbizi wamepokelewa Canada ( na nchi nyingine za magharibi) kwa sababu tu nchi yao ina njaa, ukame au mafuriko. Wakimbizi wa masuala haya huwa wanasaidiwa wakiwa nchini mwao. Hawaitwi wakimbizi bali IDPs ( Internally Displaced Persons), hawaitwi Economic Refugees. Na wale wanaokimbilia nchi za jirani kwa sababu ya majanga kama hayo wanarudishwa au huwa wanarudi kwao mara hali inapobadilika ( mvua kunyesha, chakula kupatikana na mafuriko kuondoka).
Amandla...
Kwann unaniuliza uraia wangu?Kwani wewe sio Mtanzania Kamanda?
Kwa nini unaliza ni watanzania gani?Kwann unaniuliza uraia wangu?
Kajifunze kuandika Kwanza maana maccm wote vilazaKwa nini unaliza ni watanzania gani?
Hujaelewa? Au umekosa hoja?Kajifunze kuandika Kwanza maana maccm wote vilaza
wengine ndiyo hivyo wanaPHd za maganda ya korosho ila kuongea kingereza hawawezi,wengine hawawezi kuapa,wengine wanavyeti feki nk
Refer post yako namba 136Hujaelewa? Au umekosa hoja?
Hii ndio mbaya sana,kutaka damu za wapinzani.Anayechafua nchi ni dikiteta magufuli, kapokonya ushindi wapinzani wengi, lkn bado hajaridhika na roho zao pia anataka kuwapokonya.
Acha utoto dogo.
Hujui hata maana ya ukimbizi wewe.Amepewa ukimbizi wa awali kama mtu anayetafuta maisha.
Umenena vema.Mkuu, asante sana kwa maelezo yako yakinifu. Umefafanua vema. Mao hakutaka China ya kuwekewa vikwazo kidogo, uchumi wa nchini unaporomoko kutoka 12% mpaka 2% tena kwa muda mfupi. Na hii inaonyesha unaelewa China historia yake kwa kuangalia mbele tu badala ya kuangalia Historia ya China kwa pande zote, mbele kulia nyuma na kushoto. Usisome historia ya nchi kama herufi a ba che de e.....!
Mkuu, ninaposema Tanzania TUJITEGEMEE kweli kweli ni pamoja na kutojenga uchumi wetu wa nchi kwenye misingi ya 'mpira wa povu la sabuni'. Msingi ambao ukija upepo wa vumbi mpira unapotea. Ni katika mazingira haya Wachina wanalazimika kurejea kiana misingi ya Mao! Na kweli lazima wareje ili watoke hapo walipo kwama.
Mkuu, ni katika muktadha huo tunaitumia historia ya China kwa manufaa; yaani tusirudie makosa waliyofanya.
Mkuu, ninatarajia tutaelewana katika hili.