Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

Ole mushi atoa fact wenye itikadi zenu za siasa njooni mujibu
 
Tuanze na ahadi hewa tuliyopewa na CCM mwaka 2015 ya millioni 50 kila kijiji!!!!!
Yapo mengi sana waliyo tudanganya hasa lile la walimu kupewa laptop.

Hili ni bomu la kutega ambalo litalipuka muda wowote na wana ccm watalia kilio cha ngamia
 
Wewe mwenyewe mlevi
 
Umesurvey physically au kwenye google !?

Somo 1: sio kila kinachoandikwa mtandaoni ni kweli. Huu utafiti wako hauna supporting documents or links ambazo ni credible.

Marekani wakisitisha misaada wanayoitoa kwa mataifa ya Africa na Asia watashindwa kujimudu !?
Somo2: Marekani haijashindwa kujimudu ktk suala la afya, ni just allocation ya funds na resources i.e. military budgets yao ipo juu, wanatoa misaada mingi sana both serikali na raia wake mf: PEPFAR,USAID, Bill Gates etc.

.....
Next time jipange na uje na facts zikiwa na credible supporting documents/links
 
Yapo mengi sana waliyo tudanganya hasa lile la walimu kupewa laptop.

Hili ni bomu la kutega ambalo litalipuka muda wowote na wana ccm watalia kilio cha ngamia
Imeonekana hawajui kuzitumia..hivyo zitaishia kuuzwa tu.
 
Elimu bure iliwezekana vip. Acheni ubinafsi. Angeahidi Magufuli ingewezekana na ungeshangilia...sasa kwa kuwa kasema Lissu, imekuwa nongwa. Nyerere alitoa huduma ya afya bure mpaka mwaka 1985 aliwezaje.

CCM mnashikiwa akili sana na vilaza. Sera za CCM zinaamini katika ujamaa, na uchumi wa nchi kuendeshwa na serikali kuu. Sasa unashindwaje kutoa health care, au free education, free water services, etc

Kwa kauli yako, unapingana na sera ya ujamaa ya CCM anayoihubiri bepari wa kijamaa Magufuli, Bashiru, na Msanii Slow.
 
Put it differently, ni nchi gani hutoa elimu bure kwa wanafunzi wote wa secondary! Sasa kama jpm aliweza basi lisu ataweza. Ni mipango tu
 
Lissu muongo muongo sana huyu mtu,hana sera kabaki kumlaumu Rais Magufuli mwanzomwisho.
 
Navyoo fahamu ahadi ya UCHAGUZI sio lazima itekelezeke kwa mwaka mmoja
Inaweza kuwa mchakato wa muda mrefu ila lengo kuuu likiwa nikuhakikisha Kila mtanza napata BIMA YA AFYA nazani LISU amesema na nimemsikia hapa Arusha kwamba Kila MTANZANIA atapata bima kwa gharama nafuu Tena shaba ikiwa Kila MTANZANIA kupata bima nazani nisera nzuri usikimbilie kuwaza KUSHINDWA na pia naaamini tukichukulia sera za wagombea positive itasaidia ata serekali itakayo ingia madarakani kuanagali Kama nijambo jema ikalichukua na kutekeleza watanzania tukanufaika
Hi nchi niyetu sote wazo lakujenga niletu sote

KAMA ELEIMU BURE ILIKUWA YA UPINZANI LEO INATEKELEZWA NA CCM
NA MAMBO YANENDA VIZURII

KUWA MTANZANIA WEKA TANZANIA MBELE USIBABAIKE NA VYAMA JALI SERA KWA MASILAHI YA TAIFA TUSONGE MBELE
SIASA ZA KUPINGANA KWENYE MAENDELEO ZITATURUDISHA NYUMA BADALA KWENDA MBELE
 
Tuliahidiwa nchi ya ahadi na asali sasa nalamba shubiri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…