mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Umesoma na kuelewa nilichoandika? Tunavyosema bima Ina kuwa na masharti yake. Hakuna bima ya 100%.Huwezi kuwa na kansa ya ubongo ukahitaji upasuaji Basi bima haitakusaidia hata use na bima ya namna gani.ikabili hoja hapo juu inatekelezeka vip bila jaziba bali kisomi zaidi kwa data na uwaledi bila matusi wala dhiaka
Lakini kwa magonjwa haya ya kawaida na kwa ajili ya check up, bima unatumia. Chanzo Ni pesa kutoka hazina, pesa zinazokusanywa na TRA ndizo zitalipa bima.