Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Usimfuatilie hata status zake.Akijua atapata kiburi.Mimi kimya sema status zimefutika muda umeisha ningeuona uzi mapema ningezi screenshot mapema na kuzi attached hapo km hiyo. Noma mm wala simtafuti nasoma tu status zake. Atajijua mwenyewe. Maisha yaendeleee.
Nazi views ila time nae sina namba sijafuta na yeye yangu hajafuta hivyo mm.nasoma tu status zake ila siwezi mtafuta labda ajichanganye napo akijichanganya atapigwa bomu la nuclear afe kwa mawazo kabsa🤓🤓🤓🤓Usimfuatilie hata status zake.Akijua atapata kiburi.
Kwangu bado hali si nzuri kwa kweli[emoji174][emoji29][emoji29]
Duh! Pole sana.
Inasikitisha sana demu unayempenda nae anampenda mwengine.Pole man
tumeumbwa kuteseka
naona umeamua kumlipua kabisa mwamba Leo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.
😩😩😩😩Nishawahiwa [emoji16][emoji16]
Napenda rapMkuu ww ni mshairi?? Maana sio kwa vina hvyo
Oyaaa kwa uandishi umetisha sana.Hatukutafutana, kila mtu kivyake hakuna kujuana.
Japo kupitia whatsap niliziona status, mara nyingine anipige vijembe mpaka basi.
Kuna siku moja alipost nikaona dalili, kuwa tayari kashapata bwana wapili.
Sikutaka kuumiza kichwa, kwani kila siku alikuwa akipost picha.
Status ziliwekwa maneno ya nyodo, eti chini ya mnazi kaokota dodo.
Sikuwa na wivu nilimuacha atambe, alisema ana date na wasomi sio waliokimbia umande.
Mwanzo alianza kumuita class mate, na kuwa wamefaulu na kupata the same grade.
Hajui mi kwake nishafunga gate, hata anitambie vipi haniumizi head.
Akapost eti walokole wakidate, hawapaswi kuitana baby.
Akamtag na jamaa kimafumbo, akampa sifa za mambo lundo.
Siku zikapita, upepo ukabadilika.
Status sa huzuni zikaongezeka, kuonesha kwenye hilo penzi anateseka.
Zile status za kejeli zilikoma, kuonesha hata yeye namba anaisoma.
Endelea kumlia buyuKuna mrembo nilimtokea nilitaka weka kambi mazima akakubali ila mbeleni akaleta ile kujitoa nikaona hapa sina changu. Nikayapokea matokeo maisha yakaendelea akawa ana post status kibao za furaha na mtu mwingine. Kila siku mafuraha yake kwa status mpaka nikaona hii anataka kunivuruga. Naona sahivi ana post status za masononeko yaani zile za Mungu ni simamie kwa magumu haya, mara majuto mara nini hahh mm nasoma tu then napita huyoo hata simjulii hali anashindwa hata kuficha anayopitia
Leo kapost hii [emoji1313][emoji1313]
View attachment 2189130
Wanaboa Sana watu wa hivyo. Kama mtu hauna Cha kucomment, soma then pita kimya kimyaHaijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.
Ni katika kuwaelekeza tu watu sampuli hiyo.Na bila kutafakari,huwa wanadhani umeamua kuwashambulia tu.Wamejaa ubish tu.Nami nilivyo,siwaachi.Mjadala waweza kwenda kwa masihara ya hapa na pale lakini isizidi.Kila siku mtu anaandika;Wanaboa Sana watu wa hivyo. Kama mtu hauna Cha kucomment, soma then pita kimya kimya
Endelea kumlia buyu