Shida ya vijana wetu wa sasa hawazingatii alama za uandishi. Masimulizi Yao ni endless yaani hayana mwisho na hayana hisia Kwa msomajiNakagua alama za uandishi...
Mpaka sasa hali ni mbaya kwa vijana wetu.
pole Sana...Tulimaliza wote 4m four,tukakutana fb tukapeana no,tukawa tunachati Mara moja moja,akanieleza hisia zake by that time nlikua single nkaona nimkubali anicompany,mapenzi yakawa yakuchati tu for two month,nikasafiri one day tukamit.akaniomba mzigo nkagoma,nlivyotoka hapo akawa hanibembelezi tena anachati km anachat n Dada ake, alafu m ndo nikawa naanza kumtafuta daily nkimtafuta story hazinogi nakuwa km na mlazmisha,n mm hisia zkakata nkamwambia tuachane akakubali .nlichukulia pow but nliumia maumivu yalivyozidi after a weak turudiane akagoma.basi maisha yakasonga hadi sasa ni 4 month hatunamawasiliano yeyote
hivi viumbe vina drama nyingi,Hatukutafutana, kila mtu kivyake hakuna kujuana.
Japo kupitia whatsap niliziona status, mara nyingine anipige vijembe mpaka basi.
Kuna siku moja alipost nikaona dalili, kuwa tayari kashapata bwana wapili.
Sikutaka kuumiza kichwa, kwani kila siku alikuwa akipost picha.
Status ziliwekwa maneno ya nyodo, eti chini ya mnazi kaokota dodo.
Sikuwa na wivu nilimuacha atambe, alisema ana date na wasomi sio waliokimbia umande.
Mwanzo alianza kumuita class mate, na kuwa wamefaulu na kupata the same grade.
Hajui mi kwake nishafunga gate, hata anitambie vipi haniumizi head.
Akapost eti walokole wakidate, hawapaswi kuitana baby.
Akamtag na jamaa kimafumbo, akampa sifa za mambo lundo.
Siku zikapita, upepo ukabadilika.
Status sa huzuni zikaongezeka, kuonesha kwenye hilo penzi anateseka.
Zile status za kejeli zilikoma, kuonesha hata yeye namba anaisoma.
AsanteHongereni sana.
Sasa kwa nini ulikuwa unaleta stori za sitaki nataka?Tulimaliza wote 4m four,tukakutana fb tukapeana no,tukawa tunachati Mara moja moja,akanieleza hisia zake by that time nlikua single nkaona nimkubali anicompany,mapenzi yakawa yakuchati tu for two month,nikasafiri one day tukamit.akaniomba mzigo nkagoma,nlivyotoka hapo akawa hanibembelezi tena anachati km anachat n Dada ake, alafu m ndo nikawa naanza kumtafuta daily nkimtafuta story hazinogi nakuwa km na mlazmisha,n mm hisia zkakata nkamwambia tuachane akakubali .nlichukulia pow but nliumia maumivu yalivyozidi after a weak turudiane akagoma.basi maisha yakasonga hadi sasa ni 4 month hatunamawasiliano yeyote
🤣🤣🤣🤣Atiiii njiwa msumbufu..Nampenda ila hanikubali kivile
But nitaendelea kumpenda hivyohivyo till end of time..../
Daily mimi ndiyo wa kwanza kumtxt,
Daily mimi ndiyo wa kwanza kumcall,
Daily mimi ndiyo wa kwanza to apologize to her
But I still love her...../
Sometimes anakuwa kama vile ananielewa,
Ila sometimes kama vile kalogwa ama kavurugwa....
Sometimes analeta longolongo kuhusu familia Yao na life la kwao kiujumla and a lot of stories about herself....
But I still love her...../
Namwomba game anarefuse ,
Namwomba meeting at park anakataa,
Namwomba nimtumie hata hela ya soda or water anakataa,
But Bado naendelea kumpenda tu..../
Mapenzi mapenzi mapenzi kwann unanifanyia hivi .....
Napendwa na wadada wacute yaani wakali kinoma ila Kwa bahati mbaya sikuwahi Wala sijawahi kuwa na hisia nao...../
.ILA HUYU NJIWA MSUMBUFU AMBAYE HATAKI KUTUA KIOTANI MWANGU NDIYO AMBAYE ANAUSUMBUA MOYO NA AKILI YANGU...../
daaaaaaaah....mommy njoo bc .....
Au nikufanyie nini , mbona nikikutumia hela unakataa, vizawadi ndiyo usiseme kbs....vipi mamaa!!!
Anyway SIKOMI , SIKOMI NITAENDELEA KUKUPENDA HADI SIKU AMBAYO UPENDO WANGU KWAKO UTAISHA NA KUHAMIA KWA BINTI MWINGINE....../
Siku za nyuma, kuna Binti (Pisi kali) pale mtaani kwetu alisifika sana kwa kukataa wanaume. Basi nilivyoambiwa tu nikapata shauku ya kumfuatilia. Niligundua anaimba kwaya Kanisani pia ameokoka. Basi na mimi nikaanza kuwa mtu wa Church. Kila jumapili alikuwa ananiona Church, nikawa nimezoeana nae mwisho wa siku nikaomba mzigo. Alikataa na akasema yeye hapendi hayo mambo pia ni yeye bado Bikra.
Baada ya kunijuza kuwa yeye bado Bikra nikaongeza sana juhudi za kumsumbua, kuna siku alielewa somo akaniambia atakuja Gheto mchana. Nilimsubiri hadi saa Kumi ndio akaja. Sasa sikuile aliyokuja ilikuwa ni Jumamosi na kulikuwa na Mechi ya ligi na mimi nilikuwa mchezaji tegemezi kwenye timu ya pale mtaani. Muda ambao Dem amekuja ndio muda huohuo kuna kiongozi wa Timu akanipitia ili tuwahi mechi. Ikabidi nimuache Dem ili niende Mpirani. Dem alionyesha kuchukizwa yani kumbe mimi napenda sana mpira kuliko yeye.
Siku iliyofuata nilienda Church kwa lengo nionane nae ili nije nimuombe samahani. ili mchakato uendelee. Sasa kule Kanisani sikuile muda wa Maombezi yule Binti si alidondoka akaanza kupandisha mashetani!. Niliona yale mapepo yanasema hatutoki, tupo saba kuanzia Kichwani, Tumboni hadi sehemu za siri hapa tutamsubiri nje. Aliombewa saa nzima yakawa yametoka.
Aisee!, Hamu ya kula papuchi ikaniishia.
we jamaa mung anakuona!Love story yangu ilianzia bafuni miaka ya 1990's wakati naoga ile kujisafisha sehemu za siri nikasikia utaaam flani hv,
basi nikagusa mara imooooooooo
siku inayofuata hata sikuwa na mambo mengi nikaanza kupiga punyeto rasmi na mpaka sasa nina furaha tele kuishi na punyeto wangu mana hajawahi kuni-let me down
Miaka mitatu unasex kwa punyeto?Miaka mi3 iliyopita! Kama kawaida mida ya jioni hua naenda mazoezi (basketball), nikiwa narudi getto njiani nilijenga mazoea ya kua nampa Hi binti fulani.
Cha ajabu! I always found her in the same place & time kila siku.
Siku moja akanifuata na kunieleza kwamba ananipenda na angetamani niwe mtu wake na hata pengine mume wake. Nilishangaa sana!! ( KE kumtongoza ME!!!![emoji44])
Nilijaribu kumweleza kwamba sina hisia nae lakini hakunielewa (pengine kwa sababu mimi si mtu muongeaji). Kila nafasi aliyopata aliendelea kuniambia the same thing.
Nikaona nimkubalie tu ili pengine akigundua kwamba sina hisia nae kiivyo basi ataamua kuniacha. Baada ya hapo a lot happened mengine hua sitaki kuyakumbuka kabisa.
- Alikua ni mwanamke wa kwanza kulala nae (and it wasn't such a great experience). Baada ya kuona naathirika kisaikolojia ikabidi niamue kumwacha bila kujali hisia zake ( tokea hapo sikuwahi muona tena).
- Na tokea tumeachana 3yrs ago sijawahi kua na KE mwingine, wengi ninaokutana nao hua nawapotezea mwanzoni kabisa kabla ya mahusiano kuanza.
- Bado nina matumaini kwamba siku moja nitampata aliye sahihi zaidi, hata kama ni uzeeni.
Aisee utakuja ujutie vibayaNampenda ila hanikubali kivile
But nitaendelea kumpenda hivyohivyo till end of time..../
Daily mimi ndiyo wa kwanza kumtxt,
Daily mimi ndiyo wa kwanza kumcall,
Daily mimi ndiyo wa kwanza to apologize to her
But I still love her...../
Sometimes anakuwa kama vile ananielewa,
Ila sometimes kama vile kalogwa ama kavurugwa....
Sometimes analeta longolongo kuhusu familia Yao na life la kwao kiujumla and a lot of stories about herself....
But I still love her...../
Namwomba game anarefuse ,
Namwomba meeting at park anakataa,
Namwomba nimtumie hata hela ya soda or water anakataa,
But Bado naendelea kumpenda tu..../
Mapenzi mapenzi mapenzi kwann unanifanyia hivi .....
Napendwa na wadada wacute yaani wakali kinoma ila Kwa bahati mbaya sikuwahi Wala sijawahi kuwa na hisia nao...../
.ILA HUYU NJIWA MSUMBUFU AMBAYE HATAKI KUTUA KIOTANI MWANGU NDIYO AMBAYE ANAUSUMBUA MOYO NA AKILI YANGU...../
daaaaaaaah....mommy njoo bc .....
Au nikufanyie nini , mbona nikikutumia hela unakataa, vizawadi ndiyo usiseme kbs....vipi mamaa!!!
Anyway SIKOMI , SIKOMI NITAENDELEA KUKUPENDA HADI SIKU AMBAYO UPENDO WANGU KWAKO UTAISHA NA KUHAMIA KWA BINTI MWINGINE....../
Ushauri niliopewaga na mama yangu mkubwa ni kwamba hakikisha ata side chick ni mzuri maana hawa side chicks ndio wanaishia kuwa wakeAlikua side chick tu na hamna hata mshkaji nilokua nimemtambulisha...tukapotezana mazima baada ya kuhamishwa afu na namba yake sikuwaga nayo tena...dem nilojua ntaoa sikuoa nikajikuta nimekuja kumuoa yeye. Sijuitii ni miaka 13 sasa tangu tuonane first time na tuna 3 kids sasa. Namshukuru Mungu daily, What a right choice amenifanyia
Hamna ni moyo tu na akili vilikuwa vuikishindanaSasa kwa nini ulikuwa unaleta stori za sitaki nataka?
Hiyo ndio dawa yaoNimemlia buyu kinoma. Wala siweki hata status ya kumpondea maana nilisha move on. Ila akijichanganya anakutana na bomu la NUCLEAR lingine