Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

Pole Sana mrembo. Njoo nikufariji [emoji8]
 
Yapo hadi sehem za Siri Tena? That's why ukakimbia, yangekuingia na ww
 
Aloooh
 
Umepanga kwa vina kabisa.
 
Hamna ni moyo tu na akili vilikuwa vuikishindana
Nyie wanawake sijui mna shida gani kwenye ubongo. Yaani mtu unampenda ila unajifanya humpendi, akiondoka unaanza kuumia tena. Sasa sijui mnataka mwanaume aendelee kuteseka kukubembeleza tu wakati unamwonyesha humtaki?
 
una ubilionea ulionao mkuu

[emoji848][emoji848][emoji848] tatizo kwangu mapenzi nimeyaweka priority ndogo sana, niko zaid kutafuta hela bcoz historia yangu, ya mapenzi ni worst kwaiyo nikukumbuka ni maumivu tu[emoji174][emoji29]! so
I don’t need love i need more money kwa sasa .!
 
Umewahi kuumia na hujui wapi panauma??
Hayo ndio mapenzi sasa.

Nikifika afterlife nitaomba kuonyeshwa source code zake. Kha!
 
Mapenzi ni kitu kizuri kama ukiwa na mwanamke mwelewa otherwise ni matatizo tupu.
 

Mwana hivi hii nyimbo inaitwaje?
 

Mwana hivi hii nyimbo inaitwaje?
 
Scars kwenye vina ni dizasta vina kalapina..
KWA usafiri wa uma siti ya Nyuma tulikaa mimi I'ma na amina..
 

[emoji445][emoji445][emoji445]
Nasema hivi huyo demu ni wangu
Eeeeh
Na hapo alipo tayari ana mimba yangu
Eeh[emoji445][emoji445]
 
Nyie wanawake sijui mna shida gani kwenye ubongo. Yaani mtu unampenda ila unajifanya humpendi, akiondoka unaanza kuumia tena. Sasa sijui mnataka mwanaume aendelee kuteseka kukubembeleza tu wakati unamwonyesha humtaki?
Inatokea unampenda yy hakupendi .coz ukiendelea kumganda utaumia tu,na utakua unapoteza mda bora uondoke maumivu hayadum milele
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atiiii njiwa msumbufu..
Kweliii mamy...toto nalipenda afu yeye ndo kwanza hata HAELEWI......ila no way nikisema ni move on, nitajidanganya tu ....

BoRA NIWE SINA COUPLE tu, KULIKO kumkosa huyu NJIWA....

SO MUCH PAIN, SO SAD KUWEKEZA SHM AMBAYO HUELEWEKI [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji117]Nukuu: you know whom you love but you do no who loves you [emoji457]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…