Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Najua kuna watu huwaambii kitu kuhusu Magufuli lakini ngoja niwaambie hata kwa ubabe.
Tatizo la ajira ni global issue lakini kwa Tanzania halikupaswa kutokea sasa, lilipaswa lianze angalau 2030.
Baada ya kuingia Magufuli Ikulu na kuwa Rais cha kwanza kabisa akaenda kupambana na matajiri, aliamini kuwa matajiri ni wezi. Kila mwenye mentality ya kimaskini huamini kuwa matajiri ni wezi
Matajiri wakachakazwa haswa, watu wakapoteza ajira sekta binafsi. Serikalini nako hakuajiri. Ndani ya miaka 7 ya utawala wake ajira alizotoa ni kama zile za Kikwete ndani ya miezi 6 au mwaka.
Kwahiyo wahitimu kuanzia kidato cha 4 mpaka chuo kikuu wakajaa mtaani. Rais Samia kajitahidi kumwaga ajira kila mtu shahidi. Ushahidi uko wazi PSRS, kwenye tovuti za mashirika ya umma na wakala za serikali ambazo zimeajiri zenyewe vijana wengi. Lakini tatizo lingali bado.
Kipindi cha Magufuli hatukuona shule mpya za binafsi zikijengwa.
Kipindi cha Magufuli hatukuona vituo vya afya na zahanati za binafsi vikijengwa.
Kipindi cha Magufuli vilijengwa viwanda hewa ambavyo viliajiri vijana milioni ngapi sijui ambao ni hewa.
Enzi za Kikwete 2015 Januari nimeacha kazi ya serikali, Juni mwaka huohuo nikapata sehemu nyingine.
Enzi za Kikwete watu wengine walikuwa hawaendi kuripoti kwenye vituo na wanaomba mwaka unaofuata wanapata tena.
Najua kuna watu huwaambii kitu kuhusu Magufuli lakini ngoja niwaambie hata kwa ubabe.
Tatizo la ajira ni global issue lakini kwa Tanzania halikupaswa kutokea sasa, lilipaswa lianze angalau 2030.
Baada ya kuingia Magufuli Ikulu na kuwa Rais cha kwanza kabisa akaenda kupambana na matajiri, aliamini kuwa matajiri ni wezi. Kila mwenye mentality ya kimaskini huamini kuwa matajiri ni wezi
Matajiri wakachakazwa haswa, watu wakapoteza ajira sekta binafsi. Serikalini nako hakuajiri. Ndani ya miaka 7 ya utawala wake ajira alizotoa ni kama zile za Kikwete ndani ya miezi 6 au mwaka.
Kwahiyo wahitimu kuanzia kidato cha 4 mpaka chuo kikuu wakajaa mtaani. Rais Samia kajitahidi kumwaga ajira kila mtu shahidi. Ushahidi uko wazi PSRS, kwenye tovuti za mashirika ya umma na wakala za serikali ambazo zimeajiri zenyewe vijana wengi. Lakini tatizo lingali bado.
Kipindi cha Magufuli hatukuona shule mpya za binafsi zikijengwa.
Kipindi cha Magufuli hatukuona vituo vya afya na zahanati za binafsi vikijengwa.
Kipindi cha Magufuli vilijengwa viwanda hewa ambavyo viliajiri vijana milioni ngapi sijui ambao ni hewa.
Enzi za Kikwete 2015 Januari nimeacha kazi ya serikali, Juni mwaka huohuo nikapata sehemu nyingine.
Enzi za Kikwete watu wengine walikuwa hawaendi kuripoti kwenye vituo na wanaomba mwaka unaofuata wanapata tena.