Tusimung'unye maneno, tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini Tanzania ni matokeo ya utawala wa Magufuli

Tusimung'unye maneno, tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini Tanzania ni matokeo ya utawala wa Magufuli

Hello!
Najua kuna watu huwaambii kitu kuhusu Magufuli lakini ngoja niwaambie hata kwa ubabe.
Tatizo la ajira ni global issue lakini kwa Tanzania halikupaswa kutokea sasa, lilipaswa lianze angalau 2030.
Baada ya kuingia Magufuli Ikulu na kuwa Rais cha kwanza kabisa akaenda kupambana na matajiri, aliamini kuwa matajiri ni wezi. Kila mwenye mentality ya kimaskini huamini kuwa matajiri ni wezi .
Matajiri wakachakazwa haswa, watu wakapoteza ajira sekta binafsi. Serikalini nako hakuajiri. Ndani ya miaka 7 ya utawala wake ajira alizotoa ni kama zile za Kikwete ndani ya miezi 6 au mwaka.
Kwahiyo wahitimu kuanzia kidato cha 4 mpaka chuo kikuu wakajaa mtaani. Rais Samia kajitahidi kumwaga ajira kila mtu shahidi. Ushahidi uko wazi PSRS, kwenye tovuti za mashirika ya umma na wakala za serikali ambazo zimeajiri zenyewe vijana wengi. Lakini tatizo lingali bado.
Kipindi cha Magufuli hatukuona shule mpya za binafsi zikijengwa.
Kipindi cha Magufuli hatukuona vituo vya afya na zahanati za binafsi vikijengwa.
Kipindi cha Magufuli vilijengwa viwanda hewa ambavyo viliajiri vijana milioni ngapi sijui ambao ni hewa.
Enzi za Kikwete 2015 Januari nimeacha kazi ya serikali, Juni mwaka huohuo nikapata sehemu nyingine.
Enzi za Kikwete watu wengine walikuwa hawaendi kuripoti kwenye vituo na wanaomba mwaka unaofuata wanapata tena.
Huna akili
 
Mkuu mbona watu wengi sana wamepata ajira kipindi cha Magu?

Wewe na wenzio hamna ajira sababu ya incompetence wala sio Magufuli. Wenzio wanaitwa interview wanafanya vizuri sana wanapata ajira wewe unamlaumu Magufuli mpaka leo wewe ulienda interview gani ukafaulu? Alikuzuia Magufuli?

Jamani tuwe wakweli watu walio smart wanapata ajira na wanabadilsha kama chupi. Kuna watu toka yupo JK wanaangaika na ajira kazi kulaumu tu mbona wengine wanapata jamani mjifunze kuandika cv na cover letter, muwe mahiri kwenye masomo yenu mjifunze ujuzi English pia inawaangusha sana wala sio Magufuli anauzia wewe kuongea English nzuri ukaeleweka kwenye interview.

Sasa Magufuli amekufa lini mpaka leo huna ajira na Samia ataondoka atakuacha unalalmika
Wewe ni mgeni hapa Tanganyika
 
Nchi hii ina vilaza wengi, mtu hayupo bado mnamjadili! Kama unafikiri kuajili ni rahisi Kwa nini usiwambie waliohai wawaajiri? Kama unaumiza kichwa ukijua kuna ajira unakosea Sana! Nchi hii masikini haina hela ya kuajiri malfu ya watu wanaomaliza vyuo. Hebu fikiria vyuo vikuu 50, vyuo vya diploma 320, vyeti 470 Kwa Mchumi gani?
Acheni kudanganyana!
 
Mkuu mbona watu wengi sana wamepata ajira kipindi cha Magu?

Wewe na wenzio hamna ajira sababu ya incompetence wala sio Magufuli. Wenzio wanaitwa interview wanafanya vizuri sana wanapata ajira wewe unamlaumu Magufuli mpaka leo wewe ulienda interview gani ukafaulu? Alikuzuia Magufuli?

Jamani tuwe wakweli watu walio smart wanapata ajira na wanabadilsha kama chupi. Kuna watu toka yupo JK wanaangaika na ajira kazi kulaumu tu mbona wengine wanapata jamani mjifunze kuandika cv na cover letter, muwe mahiri kwenye masomo yenu mjifunze ujuzi English pia inawaangusha sana wala sio Magufuli anauzia wewe kuongea English nzuri ukaeleweka kwenye interview.

Sasa Magufuli amekufa lini mpaka leo huna ajira na Samia ataondoka atakuacha unalalmika
Magufuli alitengeneza kazi nyingi sana kwenye miradi ya ujenzi wa miundo mbinu. Malamikaji hakutaka kufanya kazi hizo za kwenye makampuni ya ujenzi bali alitegemea kazi zimfuate hapo hapo alipo badala ya yeye kufuata kazi huko ziliko.
 
Hello!

Najua kuna watu huwaambii kitu kuhusu Magufuli lakini ngoja niwaambie hata kwa ubabe.

Tatizo la ajira ni global issue lakini kwa Tanzania halikupaswa kutokea sasa, lilipaswa lianze angalau 2030.

Baada ya kuingia Magufuli Ikulu na kuwa Rais cha kwanza kabisa akaenda kupambana na matajiri, aliamini kuwa matajiri ni wezi. Kila mwenye mentality ya kimaskini huamini kuwa matajiri ni wezi

Matajiri wakachakazwa haswa, watu wakapoteza ajira sekta binafsi. Serikalini nako hakuajiri. Ndani ya miaka 7 ya utawala wake ajira alizotoa ni kama zile za Kikwete ndani ya miezi 6 au mwaka.

Kwahiyo wahitimu kuanzia kidato cha 4 mpaka chuo kikuu wakajaa mtaani. Rais Samia kajitahidi kumwaga ajira kila mtu shahidi. Ushahidi uko wazi PSRS, kwenye tovuti za mashirika ya umma na wakala za serikali ambazo zimeajiri zenyewe vijana wengi. Lakini tatizo lingali bado.

Kipindi cha Magufuli hatukuona shule mpya za binafsi zikijengwa.

Kipindi cha Magufuli hatukuona vituo vya afya na zahanati za binafsi vikijengwa.

Kipindi cha Magufuli vilijengwa viwanda hewa ambavyo viliajiri vijana milioni ngapi sijui ambao ni hewa.

Enzi za Kikwete 2015 Januari nimeacha kazi ya serikali, Juni mwaka huohuo nikapata sehemu nyingine.

Enzi za Kikwete watu wengine walikuwa hawaendi kuripoti kwenye vituo na wanaomba mwaka unaofuata wanapata tena.
True
 
Mleta uzi fanya uchambuzi wako vizuri. Swala la ajira ni la dunia nzima na Magu kalikuta na litaendelea kuwepo kama mtafuta ajira mwenyewe asipobadili mbinu za kukabiliana nalo. Ukweli ni kwamba kazi ziko nyingi ila ajira ni chache sana. Sasa chagua unatafuta ajira au unatafuta kazi.
 
Nenda Chato
Watu hufuata kazi ziliko siyo kazi zikufuate wewe. Ujenzi wa SGR uliajiri watu competent, Ujenzi wa Bwawa la Nyerere Uliajiri watu competent, ujenzi wa Daraja la Tanzanite Uliajiri watu competent, Ujenzi wa barabara mbalimbali ulikuwa unaajiri watu competent, ATCL ilipofufuliwa nayo ikaajiri watu competent. Kama wewe hukuwa mmoja wa walioajriwa basi ama hukuwa competent au hukuomba kazi hizo kwa kutozipenda (mchagua jembe siyo mkulima)
 
Watu hufuata kazi ziliko siyo kazi zikufuate wewe. Ujenzi wa SGR uliajiri watu competenet, Ujenzi wa Bwawa la Nyerere Uliajiri watu competent, ujenzi wa Daraja la Tanzanite Uliajiri watu competent, Ujenzi wa barabara mbalimbali ulikuwa unaajiri watu competent, ATCL ilipofufuliwa nayo ikaajiri watu competent. Kama wewe hukuwa mmoja wa walioajriwa basi ama hukuwa competenet au hukuomba kazi hizo kwa kutozipenda (mchagua jembe siyo mkulima)
Kalilie Chato sasa
 
Kalilie Chato sasa
Wewe ndiye unayelia kuwa huna kazi, nenda ukalilie Chato kutoa laana zako. Mimi niko niko fiti sina matatizo kama yako ya kutokuwa na kazi na huenda hata mlo wako ni wa shida shida ndiyo maana unalamika kupunguza stress zako. Ukitaka nikusaidie pesa kidogo ya kupunguzia matatizo basi wasiliana nami kule PM nitakutumia dola kadhaa kwenye mpesa yako upunguze stress.
 
Wewe ndiye unayelia kuwa huna kazi, nenda ukalilie Chato kutoa laana zako. Mimi niko niko fiti sina matatizo kama yako ya kutokuwa na kazi na huenda hata mlo wako ni wa shida shida ndiyo maana unalamika kupunguza stress zako. Ukitaka nikusaidie pesa kidogo ya kupunguzia matatizo basi wasiliana nami kule PM nitakutumia dola kadhaa kwenye mpesa yako upunguze stress.
Hatutaki kelele mjini
Wahi chato ulie machozi ya uchungu
 
Back
Top Bottom