Tusimung'unye maneno, tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini Tanzania ni matokeo ya utawala wa Magufuli

Pole sana.
Ungekuwa mbali sana mpaka sasa.
Yule Mzee mungu wa maskini, wajinga na wapumbavu aliboa sana
 
Asante sana kiongozi,hakika Mungu wetu ni mwema sana hakuacha kunishika mkono ameniinua tena na ananiongoza vizuri sana japokua sipo kama nilivyokua ila mwanga nauona.
Wale wafuasi wa mungu wa masikini bado hawajashtuka wamebaki kulalamika angekuwepo mungu wetu tungekua mbali sana hawajui haya ndio matunda aliyotuachia. Hakika mungu wa maskini achomwe kwenye moto usiozima ili wenyeufahamu tuendelee kuamini umaskini sio sifa umaskini ni laana.
Pole sana.
Ungekuwa mbali sana mpaka sasa.
Yule Mzee mungu wa maskini, wajinga na wapumbavu aliboa sana
 
Wewe ni muuza madawa mbona unajulikana! Na bado kama hutaacha kuumiza vijana kwa madawa yako hayo.
 
Na bado mpaka ukome!
 
Akili za kimaskini hizi ndio nyie mnaamini kila mwenyehela ni freemason shtuka wewe usijefia kwa dada yako.
 
Na bado mpaka ukome!
🤣🤣🤣🤣aliejaribu kunikomesha kakomeshwa yeye Mungu wetu ni mwema sanaaa hakunuacha aliniinua liliyumba kwa miaka mi wili nikauona mwanga tena. Watu wenye roho mbaya na wivu kama mungu wenu aliyekufa huwa wanakufa wakitapatapa,jichunge na wewe usijekufa na 💩💩matraaakoni.
 
Kufa ni baraka ya Mungu kama kuzaliwa tu au hujui wewe nyumbu? Ila kunyooshwa hapa duniani kama ulivyonyooshwa wewe na Magu ndio mateso yenyewe. Wewe umeteseka na bado unateseka hapa duniani wakati Magu yuko mbinguni anaendelea kuwanyoosha Malaika wakorofi kama wewe!! 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…