Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #201
Hata waki toa huo ushuru, hatu wezi kupataππ€£Serikali yetu ndiyo imesababisha watanzania tusiwe na magari.kodi lukuki na zisizo na tija yeyote.Mtu ananunua gari nje Kwa shilingi milioni kumi ikifika hapa nyumbani unalupishwa Tena na TRA milioni kumi nyingine.Kwa maisha ya Sasa gari ni sehemu ya mahitaji muhimu ya binadamu
Bro wewe usi kute una kunywa chai, halafu una taka kulingana na sisi??hili swala la kukataana sisi mafukara limetokea wapi?
Ko una tupa moyo kimtindoπ€£πWaliopiga kura hapo wengi nipo nao kundi moja
Ndo ukweli mkuu, Passo , vitz, ist ndo gari zetu hizo wanajf ππKo una tupa moyo kimtindoπ€£π
gentleman,Mkuu hivi hilo shati la kijani, una livuaga kweliππ
Umekosea kidogo mkuu nipo hapa kwa sister ndio namalizia kunywa mtindi hapa dada na shemeji bado awajaamkaBro wewe usi kute una kunywa chai, halafu una taka kulingana na sisi??
Hizo zenu ma don, sisi tupo tuπ€£Ndo ukweli mkuu, Passo , vitz, ist ndo gari zetu hizo wanajf ππ
Dah we kweli wa kishua, yaani una kunywa mtindi asubui.Umekosea kidogo mkuu nipo hapa kwa sister ndio namalizia kunywa mtindi hapa dada na shemeji bado awajaamka
Wewe kafue hilo shati la kijani, Kama vipi kaimbe taarab hukoπgentleman,
maombi yangu ya kinabii kwenu ndugu zangu wadau wa JF, yako pale pale,
mwaka huu 2025 ni kuhakikisha tunaitokomeza kabisa hiyo habara ya eti Sina gari na hiyo nyingine ya eti Bora uhai!
No,
hilo ni pepo, na lazima tulikemee. Lazima kila mtu awe na uhai, lakini pia ni lazima amiliki gari bila ushirikina π
Umeenda mbali sana mimi hata kumilika baiskeli tu nikipengele kikubwa uhaiNdo ukweli mkuu, Passo , vitz, ist ndo gari zetu hizo wanajf ππ
Ni kweli mkuu upo sahihi kabisa ila sasa tukianza kufuatilia huo mtindi umenunuliwa na nani kwakweli ni aibu hata kusemaDah we kweli wa kishua, yaani una kunywa mtindi asubui.
akati Mimi Nina miaka 4 sijanywa, maana ni anasa.
na tafadhali sana ndugu mwenyekiti wa wadau wasio na magari JF,Wewe kafue hilo shati la kijani, Kama vipi kaimbe taarab hukoπ
Una.na tafadhali sana ndugu mwenyekiti wa wadau wasio na magari JF,
katika majumuisho ya kikao hiki,
lazima mtoke na azimio kwamba by January next year 2026, mkutane pale kebys hotel bamaga, sikuizi imeborshwa na kubalilishwa jina na ina huduma nzuri zaidi, kila moja wenu akiwa na muujiza wa gari lake alilopokea baada ya kumuombea humu jukwaani pale juu,
Sadaka si muhimu sana,
ila anaweza kuja nayo kama shukran.
Apostle nitakuwepo kwa njia ya zoom na namba ya kutuma sadaka zenu za shukran nitaviweka wazi wakati muafaka.
sawa mwenyekiti?
waeleze na wadau π
chukua hiyo point gentleman,
Punguza upuuzi πchukua hiyo point gentleman,
itasaidia kupunguza kundi kubwa sana za wadau wa JF wasio na magari pamoja na wale wa bora uhai.
ni jambo la maana na la heshima sana ukawa na uhai lakini pia una gari.
mmeomba sana lift ndrugo zangu dah, muwage na aibu π
sasa gentleman,Punguza upuuzi π
Ni mwiko kusema humiliki gari jf, utakula ban. Hii ni platform ya matajiri.Umeenda mbali sana mimi hata kumilika baiskeli tu nikipengele kikubwa uhai
Unatuchora mzee, wewe unamiliki mikwaju mikali kabisa.Hizo zenu ma don, sisi tupo tuπ€£
Basi wani kimbize tuππ€£Ni mwiko kusema humiliki gari jf, utakula ban. Hii ni platform ya matajiri.
Hata godoro Sina, una dhani kuwa raisi wa ma jobless mchezoππ€£Unatuchora mzee, wewe unamiliki mikwaju mikali kabisa.
Kwa tetesi ni kua wewe na Poor Brain ndo wenye ndinga kali jf
Vincenzo Jr nilimshauri asiuze gari yake, ila ndo ivo kamuuzia jamaa wa Dubai, imagine used inatoka bongo kwenda Dubenga oya sio poa