Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #141
Buda Wacha maneno, Kama ume kula nyanya chungu za mbuziš¤£Umeanza!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buda Wacha maneno, Kama ume kula nyanya chungu za mbuziš¤£Umeanza!!!!
Shukraan.Karibu ewe jobless, raisi wako nime kupokea
Doh pole...upo salama?majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali.
Kwa Sasa niko poa, japo nili mpoteza a good friend & bro of mine.Doh pole...upo salama?
š¤£š¤£š¤£ naomba uninunulie VIEITEENilikuwa na gari ila utamu wa BRAZA CHOGO ulinifanya niiuze.
Jamani chini ni kutamu asikuambie binadamu.
Ndugu zangu Rais ni mtoto wa kishua. Apigwe chini, hiko cheo kinanifaa mimi.sema kaka umasikini mbaya kudadadeki, sometimes huwa nashukuru kimya kimya.
Imagine mtu una muona kapigana kufikia uzeeni, ana Jenga chumba na sebule.
Halafu mi dogo tu, nina mjengo ambao sidhani Kama ata upata.
Oya, kwani we mchokozi kweli?š¤£š¤£š¤£ naomba uninunulie VIEITEE
Swali la kihuniOya, kwani we mchokozi kweli?
Jibu kihuniSwali la kihuni
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.
Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.
Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma donšš.
I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
hoja yako ni nyepesi na ya kishamba Sana, raisi wa ma jobless ni jobless kweli kweli.Ndugu zangu Rais ni mtoto wa kishua. Apigwe chini, hiko cheo kinanifaa mimi.
Sawa, ila sisi tume itana ma jobless pro max hapa.
Sina ndinga ila nitajamiliki bonge moja ya mkoko ukipita lazima ugeuke kuitizama, acha niendelee kupambania kombe.Wewe Half american nusu albino a.k.a kubwa la manusu usije hapa, maana wewe una fisiš
naam, ila kwa Sasa huna, so Ina maanisha nawe jobless pro max šSina ndinga ila nitajamiliki bonge moja ya mkoko ukipita lazima ugeuke kuitizama, acha niendelee kupambania kombe.
Sina mkuunaam, ila kwa Sasa huna, so Ina maanisha nawe jobless pro max š
Una zifahamu sifa za kuwa raisi wa ma jobless pro max??.Ndugu zangu Rais ni mtoto wa kishua. Apigwe chini, hiko cheo kinanifaa mimi.
Vipi wale fisi wenu, bado wapo mjuba!Sina mkuu
Ngoja kwanza niitishe maandamano. Katiba inasemajehoja yako ni nyepesi na ya kishamba Sana, raisi wa ma jobless ni jobless kweli kweli.
Yaani u jobless ni trait yangu
Wapo ukihitaji njoo na mtoto mchangaVipi wale fisi wenu, bado wapo mjuba!