Tusio na Magari tukutane hapa

Tusio na Magari tukutane hapa

Je una gari au hauna??


  • Total voters
    116
Nikumbushe jina lake !!! Yule binti mrembo mwenye rangi ya kiafrika



Ila nusu ujinyonge maana sio kwa kuumia moyo vile.
Wachana na yeye, yule ni nyanya vya watu.

Ila 2:0 our song must be done🤣

Kuendelea kupiga subliminal shots,
tuta onekana hatuna mambo za kufanya 😅 Zulu man
 
Naaaaam, nimecheza kwa kifaa kupitia youtube kwa yale majina uliyonipa imenibidi nishangae na kuna mtu amenikuta nimefungua ameshangaa kwa kicheko.

Nyimbo gani hizo za kupandiana kwenye maungo ya mwili?
Nime jaribu kusikiliza, eti choo Cha bukoba siendi, kwani kina maji mengi .
Nika sema ufala gani huu😂😂.
 
Back
Top Bottom