Tusioe wanawake vilaza; Hakuna kitu kinauma kwa mzazi kama mtoto wako kuwa wa mwisho darasani

Shule ilitumia alama kutuita wajinga na kutugawa mafungu. Hizi alama amabazo Ni mtaji mkuu kwa Mwalimu ili aonekane anajua kufundisha.. zile alama Bado zinatuathiri namna ya kumtathmini mtu Hadi leo.... Kila mtu Ni Genius 😎
 


Elimu ya darasani na Elimu dunia!!!, vipi Elimu akhera nayo??!!
 
Yana ukweli. Na ukute ni mama wa misele. Mguu hautulii sehemu moja.
 
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3577]
 
Hatuoi wenye akil nying ni wasumbufu. Tunaoa vilaza ili tuwacontrol.. hyo kutojua kusoma tutavumilia
 
Patern vs Heredity
me siamini katika kurithi hata kidogo
 
Mmoja akiwa kasoma mwengine hajasoma ndio naona combo nzuri japo sio pendeleo langu
 
[emoji1787][emoji1787] mbona matusi.... Mwanamke kama hana akili ya darasani basi ana akili ya kupika.... Ndo upambane usizae wakiume tena
 
Wanaposema mtoto huchukua akili za mama yake hawamaanishi intelligence. Wanamaanisha tabia sababu mtoto hukaa muda mwingi na mama yake so vitu vingi hujifunza kwa mama yake ila anavyobadili mazingira ndipo naye hujiongeza.

Kimsingi akili ni product ya mazingira na utimamu wa ubongo. Mtoto mwenye afya ya ubongo akiwekwa mazingira yoyote anakuwa bomba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…