Tusiombe tuwe na viongozi wenye roho ngumu kama Sudan. Papa anawapigia magoti na kuwasujudia waache vita lakini wao hawaelewi

Kanisa katoliki lina kashfa ya kushiriki vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Nigeria kwenye jimbo la Biafra, 1967 - 1970.. Papa hana uhalali wowote wa kuonekana mtakatifu mbele ya watu.
 
Dah!

Mkuu, hata hujui tofauti kati ya nchi za Sudan na Sudan Kusini?

Naungana nawe kuhusu hao viongozi wa Sudan Kusini.

Hilo la kuwalinganisha, kama ulivyofanya na hawa hapa kwetu, sioni uhusiano wake. Ni mazingira tofauti kabisa, lakini naona hukuweza kujizuia kuonyesha mapenzi yako kwa hao viongozi yanayokufanya usahau ubovu wao; hata kama ni ubovu uliotofauti na wa hao wa Sudan Kusini.
 
Kanisa katoliki lina kashfa ya kushiriki vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Nigeria kwenye jimbo la Biafra, 1967 - 1970.. Papa hana uhalali wowote wa kuonekana mtakatifu mbele ya watu.
Bila shaka wewe utakuwa mtakatifu kumzidi yeye!

Sasa nenda Sudan Kusini ukamalize huo mzozo, mtakatifu 'Mama Samia2025'.
 
Kama huyo Mungu ana sikia mpaka sasa kama taifa tusinge kuwa bado tuna tawaliwa kimabavu na wanyang'anyi, wauaji na mafisadi [ CCM ]
Tupate viongozi wa upinzani wenye roho kama Jonas Savimbi ndio tutaheshimina
 
Yaani Sudani upige magoti alafu Ukraine uchochee!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…