Tusipo badili aina ya uongozi Tanzania inaenda kufilisika na kuwa ombaomba {fallen empires}

Tusipo badili aina ya uongozi Tanzania inaenda kufilisika na kuwa ombaomba {fallen empires}

Kuna kikundi cha watu wachache sana wanaofaidi raslimali za hii nchi. Majority kila siku tunaongezewa tu kodi na tozo.

Mimi nadhani wananchi tunatakiwa kuamua wote kwa pamoja kuwaondoa hawa kupe.
Kweli aisee ila nchi itakapo Baki mashimo matupu na jangwa wataikimbia nchi watatuacha na shida zetu...!
 
Usipende kujiumiza na kuwazia mambo ya mda mfupi yasiyodumu milele, wachopaswa kujua ni umeumbwa na MUNGU na kuletwa duniani (Tanzania) kwa lengo lipi! Hiki ndio wapaswa kuumiza akili yako, mengine nikujitafutia stress tu na kufa mapema.
 
Nyinyi usongo wenu ni Muislam tu kuwa Rais, hakuna cha mkataba wala nini. Na Waislam tunasema mama haondoki.

Na mkataba ukifikia wa kazi bana ya DRW na TPA utafanyika.
 
Wanasema,,Etii!!si wote Lazima tuwe walamba Asali,,,Wengine waendelee kubakia kuwa Wachonga Mizinga,,,"Na si Dhambi pia ukiwa kundi moja kati ya hayo ni Swala la Nyakati tu katika maisha ya kawaida ya ulimwengu na walimwengu,,, Jitahidi kuheshimu Nyakati katika maisha ya kila siku ukibahatika kuamka na pumzi na afya!!
 
DP World waje wachukue na Barabara, Tanroad wameshindwa. Sisi waafrika hatuweezi kuufanya jamb bila kuongozwa.
 
Nyinyi usongo wenu ni Muislam tu kuwa Rais, hakuna cha mkataba wala nini. Na Waislam tunasema mama haondoki.

Na mkataba ukifikia wa kazi bana ya DRW na TPA utafanyika.
Watu wajinga wameamuwa kuunganisha hoja ya mkataba mbovu na dini ili kuficha ubovu wa mkataba.watu wengi wanasheria na wasomi wameonesha ubovu wa mkataba ila watu wajinga wameingiza hoja ya Udini kwenye hoja kuu ya ubovu wa mkataba ili kuficha uovu wa walioridhia huo mkataba.hoja hapa ni ubovu wa mkataba na rais atake asitake hata utekeleza huo mkataba kwa sababu watanzania wengi wameukataa isipokuwa machawa wachache wasiojitambua.mtafeli mtake msitake kwa sababu watanzania wengi wameungana.
 
Ndugu zangu Huwa nakaa nakuwaza hivi kweli hii nchi sisi Watanzania ni yetu kweli au Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia, kwani Kwa yanayoendelea ni kama vile nchi yetu inaongozwa na watu wasiokuwa na huruma hata kidogo.

Kiongozi atakacho kiamua yeye hata kama akina baraka za Wananchi kinafanyika hata kikiwa Cha haramu, Huwa nawaza pengine Kuna kiongozi mkubwa Zaidi ya Rais ambaye anamshinikiza Rais kufanya lolote analolitaka Yani huyo KIONGOZI anaogopewa na Rais kuliko kitu chochote[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Lakini kibaya Zaidi ni kama viongozi wetu wanaamua kuongoza nchi Kwa kumkomoa huyo KIONGOZI wao mwenye mamlaka makubwa juu ya Rais....maana sielewi pengine huyo KIONGOZI ni MAMA wa KAMBO wa Taifa hili Ambae watoto {viongozi} wanaamua kimakusudi kumfadhaisha,

Nasema kuwa tunaongozwa na kiongozi alie juu ya Rais Kwa sababu waliopo madarakani ni kama awamuogopi kabisa Rais na ni kama wanayoyatenda yana baraka za Rais...

Nimebahatika kutembelea mikoa mbali mbali ambayo jitihada za ujenzi wa barabara zilionekana kufanyika na Kwa asilimia kubwa ujenzi umekamilika na barabara nyingi ni mpya kimatumizi lakini kimuonekano zimeisha chakaa hata miaka miwili hazina.​

View attachment 2674798
Hivi sasa hakuna kitu hatari kama barabara zetu hizi, unakutana na shimo kubwa katikati ya barabara huku tukiwa tunalipa Kodi. Kila kitu kimepanda bei.

Mimi nashauri tungetaifisha Kila kitu na tukiona haitoshi tuwaite wakoloni waje watutawale tena maana kujitawala sisi wenyewe hatuwezi...

Imagine sisi ni matajiri wakubwa tuna Kila kitu...lakini hatuna tunachofaidika na huo utajiri tulio nao... Tuna mbuga za wanyama, tumezungukwa na Maziwa makubwa makubwa, tumezungukwa na bahari...tuna madini na mengine hayapatikani popote isipokuwa hapa Tanzania. Lakini hapa hapa nyumbani asilimia 45 ya wakazi wake wanashindwa kabisa kupata Milo mitatu Kwa siku... Kwa kifupi asilimia 75 ya Wananchi wa Tanzania Wanaishi chini ya Dola Moja[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134]

Viongozi mnapo mkomoa kiongozi wenu mkubwa juu ya Rais {mama wa kambo} mkumbuke kuwa tunaopata tabu ni sisi Wananchi wa kawaida ambao asilimia 65 hatuna sehemu za kulala... tunahifadhiwa Kwa ndugu jamaa na marafiki[emoji24][emoji24] tunaelekea Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini...

✓Barabara mbovu na Kila siku zinatengenezwa....mpya huku zile za mwanzo zikizidi kuchakaa.

✓hospitali hakuna dawa na Kila siku zinajengwa mpya.

✓wanafunzi wanafeli wengi kiufupi elimu imeharibiwa na kuvurugwa kisiasa Bado tunajenga madarasa na shule mpya. Huku shule za mwanzo zikiwa hazina walimu Wala vifaa vya kufundushia.

✓umeme ni janga kubwa Bado unatusumbua licha ya kukua Kwa sayansi na technology Bado tunategemea umeme wa maji hii ni AIBU kubwa sana.

✓bado ujinga haujaisha watu wanabambikiwa kesi huku mafisadi wanaopaswa kuwa jela wakidunda TU mtaani [emoji24][emoji24][emoji24]

Tuna Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini Bado tumeshindwa kupambana na Adui watatu ambao ni 1. UJINGA 2. UMASIKINI NA 3. MARADHI....

Na bado tunao wimbo wetu wa Taifa ambao Kila kiongozi akipanda jukwaani kuomba kura lazima aanze na beti hizi ambazo ni ELIMU, BARABARA, MAJI, NA AFYA.

Kuna sauti inaniambia kuwa TUSIPO BADILI AINA ya UONGOZI miaka 20 mbele Tanzania INAENDA KUFILISIKA kabisa na kuwa OMBA OMBA[emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24]
{Mimi siamini katika dini maana kama maombi tumefanya sana na mabadiliko hakuna hivyo naona maombi bila vitendo ni sawa na makelele TU...}

Hiki kikundi Cha watu wachache wanaoifaidi ASALI ya nchi yetu Kwa kuilamba hivyo hivyo na kuitawanya tawanya bila mpangilio....siku nchi hii itakapo Baki mapango matupu, pori yatakapo isha na kubaki jangwa...hapo ndipo walamba asali watakapo ikimbia nchi na kuhamia mafichoni....walalahoi tutajifia wenyewe na shida zetu[emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134]​
Kuna mda unajiuliza, hawa watawala wanachofanya ni ubinafsishaji au utaifishaji.., mwenye akili timam huwezi elewa kabisa. Ila wenye akili kama wale wazee wa sifa, wanaojiita wazee wa minyama wanawaelewa sana hawa watawala.
 
Watu weusi msha ambiwa na kaburu Botha "hamuwezi kujitawala" ndio maana miaka 61 ya uhuru bado mnatupa lawama kwa wazungu kwamba ndo chanzo Cha matatizo kumbe ni akili zetu fupi kuanzia wananchi mpaka viongozi
 
Ndugu zangu Huwa nakaa nakuwaza hivi kweli hii nchi sisi Watanzania ni yetu kweli au Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia, kwani Kwa yanayoendelea ni kama vile nchi yetu inaongozwa na watu wasiokuwa na huruma hata kidogo.

Kiongozi atakacho kiamua yeye hata kama akina baraka za Wananchi kinafanyika hata kikiwa Cha haramu, Huwa nawaza pengine Kuna kiongozi mkubwa Zaidi ya Rais ambaye anamshinikiza Rais kufanya lolote analolitaka Yani huyo KIONGOZI anaogopewa na Rais kuliko kitu chochote[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Lakini kibaya Zaidi ni kama viongozi wetu wanaamua kuongoza nchi Kwa kumkomoa huyo KIONGOZI wao mwenye mamlaka makubwa juu ya Rais....maana sielewi pengine huyo KIONGOZI ni MAMA wa KAMBO wa Taifa hili Ambae watoto {viongozi} wanaamua kimakusudi kumfadhaisha,

Nasema kuwa tunaongozwa na kiongozi alie juu ya Rais Kwa sababu waliopo madarakani ni kama awamuogopi kabisa Rais na ni kama wanayoyatenda yana baraka za Rais...

Nimebahatika kutembelea mikoa mbali mbali ambayo jitihada za ujenzi wa barabara zilionekana kufanyika na Kwa asilimia kubwa ujenzi umekamilika na barabara nyingi ni mpya kimatumizi lakini kimuonekano zimeisha chakaa hata miaka miwili hazina.​

View attachment 2674798
Hivi sasa hakuna kitu hatari kama barabara zetu hizi, unakutana na shimo kubwa katikati ya barabara huku tukiwa tunalipa Kodi. Kila kitu kimepanda bei.

Mimi nashauri tungetaifisha Kila kitu na tukiona haitoshi tuwaite wakoloni waje watutawale tena maana kujitawala sisi wenyewe hatuwezi...

Imagine sisi ni matajiri wakubwa tuna Kila kitu...lakini hatuna tunachofaidika na huo utajiri tulio nao... Tuna mbuga za wanyama, tumezungukwa na Maziwa makubwa makubwa, tumezungukwa na bahari...tuna madini na mengine hayapatikani popote isipokuwa hapa Tanzania. Lakini hapa hapa nyumbani asilimia 45 ya wakazi wake wanashindwa kabisa kupata Milo mitatu Kwa siku... Kwa kifupi asilimia 75 ya Wananchi wa Tanzania Wanaishi chini ya Dola Moja[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134]

Viongozi mnapo mkomoa kiongozi wenu mkubwa juu ya Rais {mama wa kambo} mkumbuke kuwa tunaopata tabu ni sisi Wananchi wa kawaida ambao asilimia 65 hatuna sehemu za kulala... tunahifadhiwa Kwa ndugu jamaa na marafiki[emoji24][emoji24] tunaelekea Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini...

✓Barabara mbovu na Kila siku zinatengenezwa....mpya huku zile za mwanzo zikizidi kuchakaa.

✓hospitali hakuna dawa na Kila siku zinajengwa mpya.

✓wanafunzi wanafeli wengi kiufupi elimu imeharibiwa na kuvurugwa kisiasa Bado tunajenga madarasa na shule mpya. Huku shule za mwanzo zikiwa hazina walimu Wala vifaa vya kufundushia.

✓umeme ni janga kubwa Bado unatusumbua licha ya kukua Kwa sayansi na technology Bado tunategemea umeme wa maji hii ni AIBU kubwa sana.

✓bado ujinga haujaisha watu wanabambikiwa kesi huku mafisadi wanaopaswa kuwa jela wakidunda TU mtaani [emoji24][emoji24][emoji24]

Tuna Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini Bado tumeshindwa kupambana na Adui watatu ambao ni 1. UJINGA 2. UMASIKINI NA 3. MARADHI....

Na bado tunao wimbo wetu wa Taifa ambao Kila kiongozi akipanda jukwaani kuomba kura lazima aanze na beti hizi ambazo ni ELIMU, BARABARA, MAJI, NA AFYA.

Kuna sauti inaniambia kuwa TUSIPO BADILI AINA ya UONGOZI miaka 20 mbele Tanzania INAENDA KUFILISIKA kabisa na kuwa OMBA OMBA[emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24]
{Mimi siamini katika dini maana kama maombi tumefanya sana na mabadiliko hakuna hivyo naona maombi bila vitendo ni sawa na makelele TU...}

Hiki kikundi Cha watu wachache wanaoifaidi ASALI ya nchi yetu Kwa kuilamba hivyo hivyo na kuitawanya tawanya bila mpangilio....siku nchi hii itakapo Baki mapango matupu, pori yatakapo isha na kubaki jangwa...hapo ndipo walamba asali watakapo ikimbia nchi na kuhamia mafichoni....walalahoi tutajifia wenyewe na shida zetu[emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134]​
TANZANIA NCHI TAJIRI VIONGOZI MATAJIRI WANANCHI MASIKINI
 
Nyinyi usongo wenu ni Muislam tu kuwa Rais, hakuna cha mkataba wala nini. Na Waislam tunasema mama haondoki.

Na mkataba ukifikia wa kazi bana ya DRW na TPA utafanyika.
Mama Mimi ni muislam siwezi kumkataa muislam mwenzangu Kwa vyovyote. Kwani najua sisi wote ni WA mwenyezi Mungu na kupitia shahada sisi ni ndugu.

kinacho nichukiza ni aina ya UONGOZI ambao hauna malengo ya muda mrefu wa muda mfupi...

Tokea uhuru wimbo ni ule ule MAJI, UMEME, BARABARA, ELIMU & AFYA...? huionei huruma nchi Yako badala ya kusonga mbele inazidi kurudi nyuma. Ka Nchi kama Rwanda hapo TU ambayo Kwa ukubwa sidhani kama inaweza kuzidi mikoa mitatu ya hapa kwetu...

Nchi ndogo Ina maendelo makubwa kutuzidi😭😭😭😭
Sisi tunaongozwa na majambazi, haki vile ni mateso sana kuishi Tanzania 😭😭😭​
 
Ndugu zangu Huwa nakaa nakuwaza hivi kweli hii nchi sisi Watanzania ni yetu kweli au Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia, kwani Kwa yanayoendelea ni kama vile nchi yetu inaongozwa na watu wasiokuwa na huruma hata kidogo.

Kiongozi atakacho kiamua yeye hata kama akina baraka za Wananchi kinafanyika hata kikiwa Cha haramu, Huwa nawaza pengine Kuna kiongozi mkubwa Zaidi ya Rais ambaye anamshinikiza Rais kufanya lolote analolitaka Yani huyo KIONGOZI anaogopewa na Rais kuliko kitu chochote😭😭😭😭

Lakini kibaya Zaidi ni kama viongozi wetu wanaamua kuongoza nchi Kwa kumkomoa huyo KIONGOZI wao mwenye mamlaka makubwa juu ya Rais....maana sielewi pengine huyo KIONGOZI ni MAMA wa KAMBO wa Taifa hili Ambae watoto {viongozi} wanaamua kimakusudi kumfadhaisha,

Nasema kuwa tunaongozwa na kiongozi alie juu ya Rais Kwa sababu waliopo madarakani ni kama awamuogopi kabisa Rais na ni kama wanayoyatenda yana baraka za Rais...

Nimebahatika kutembelea mikoa mbali mbali ambayo jitihada za ujenzi wa barabara zilionekana kufanyika na Kwa asilimia kubwa ujenzi umekamilika na barabara nyingi ni mpya kimatumizi lakini kimuonekano zimeisha chakaa hata miaka miwili hazina.​

View attachment 2674798
Hivi sasa hakuna kitu hatari kama barabara zetu hizi, unakutana na shimo kubwa katikati ya barabara huku tukiwa tunalipa Kodi. Kila kitu kimepanda bei.

Mimi nashauri tungetaifisha Kila kitu na tukiona haitoshi tuwaite wakoloni waje watutawale tena maana kujitawala sisi wenyewe hatuwezi...

Imagine sisi ni matajiri wakubwa tuna Kila kitu...lakini hatuna tunachofaidika na huo utajiri tulio nao... Tuna mbuga za wanyama, tumezungukwa na Maziwa makubwa makubwa, tumezungukwa na bahari...tuna madini na mengine hayapatikani popote isipokuwa hapa Tanzania. Lakini hapa hapa nyumbani asilimia 45 ya wakazi wake wanashindwa kabisa kupata Milo mitatu Kwa siku... Kwa kifupi asilimia 75 ya Wananchi wa Tanzania Wanaishi chini ya Dola Moja😭😭😭😭🙆🙆🙆

Viongozi mnapo mkomoa kiongozi wenu mkubwa juu ya Rais {mama wa kambo} mkumbuke kuwa tunaopata tabu ni sisi Wananchi wa kawaida ambao asilimia 65 hatuna sehemu za kulala... tunahifadhiwa Kwa ndugu jamaa na marafiki😭😭 tunaelekea Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini...

✓Barabara mbovu na Kila siku zinatengenezwa....mpya huku zile za mwanzo zikizidi kuchakaa.

✓hospitali hakuna dawa na Kila siku zinajengwa mpya.

✓wanafunzi wanafeli wengi kiufupi elimu imeharibiwa na kuvurugwa kisiasa Bado tunajenga madarasa na shule mpya. Huku shule za mwanzo zikiwa hazina walimu Wala vifaa vya kufundushia.

✓umeme ni janga kubwa Bado unatusumbua licha ya kukua Kwa sayansi na technology Bado tunategemea umeme wa maji hii ni AIBU kubwa sana.

✓bado ujinga haujaisha watu wanabambikiwa kesi huku mafisadi wanaopaswa kuwa jela wakidunda TU mtaani 😭😭😭

Tuna Zaidi ya miaka 60 sasa tokea tupate uhuru lakini Bado tumeshindwa kupambana na Adui watatu ambao ni 1. UJINGA 2. UMASIKINI NA 3. MARADHI....

Na bado tunao wimbo wetu wa Taifa ambao Kila kiongozi akipanda jukwaani kuomba kura lazima aanze na beti hizi ambazo ni ELIMU, BARABARA, MAJI, NA AFYA.

Kuna sauti inaniambia kuwa TUSIPO BADILI AINA ya UONGOZI miaka 20 mbele Tanzania INAENDA KUFILISIKA kabisa na kuwa OMBA OMBA🙆🙆🙆😭😭😭
{Mimi siamini katika dini maana kama maombi tumefanya sana na mabadiliko hakuna hivyo naona maombi bila vitendo ni sawa na makelele TU...}
Hiki kikundi Cha watu wachache wanaoifaidi ASALI ya nchi yetu Kwa kuilamba hivyo hivyo na kuitawanya tawanya bila mpangilio....siku nchi hii itakapo Baki mapango matupu, pori yatakapo isha na kubaki jangwa...hapo​
Mkuu hata Mimi nahisi bado tupo chini ya mkooroni kuanzia Akina nyelele mpaka Akina Samia niviranja tu hawana maamzi yoyote

Fikilia maji yapo lakini mitaani hakuna maji, gesi ipo lakini gesi Bei juu,magari Japan Bei chini ndiyo lakini yakifika hapa ushuru wake achaa,afu ukiuliza y utaskia wanasema bara bara zetu ndogo magari yatakuwa mengi"

T.R.A inamtegemea mfanya biashara kusudi ipate mapato lakini Cha ajabu T.R.A yetu ndiyo kiongozi mkuu wa kuuwa wafanya biashara kibiashara

Kwakifupi hii inchi bado hatupo huru,hatujitawali nahata wanao tutawara huenda sio watanzania wenzetu.
Kwani hawana uchungu na Bibi na Babu zao vijijini,wanyama na hata aldhi ilivyo walea wakakua
ndipo walamba asali watakapo ikimbia nchi na kuhamia mafichoni....walalahoi tutajifia wenyewe na shida zetu🙆​
 
Ukiacha kwamba unasumbuliwa na chuki ila ujinga umezidi maarifa Yako..

Rais sio tuu kafaulu Bali kafaulu karibu sekta zote ikiwamo hata Hilo la Mitaala,next January tuanzaana na Mitaala mipya ya Elimu.
Hivi kwànini viongozi wetu wanapenda kutumia Sana maneno next week, next year, after few or several days or years next y hawananaga now y?
 
Afadhali ya Marehemu alionesha Kuna sehemu anatupeleka....sasaiv nchi ipo auto pailot
Mlikuwa mnaelekea wapi? Sio kwamba wewe ndio huelewi unakoelekea unaamka na kulala kama kuku harafu unasingizia Rais 😁😁
 
Back
Top Bottom