Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi ha,zitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili wakati endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Sabubu za kijinga kumbadili kamishna mwenye msimamo mkali .

Ametuuliwa huyu ili wahuni wapige hela pia ili kutorosha hela kwenda znz

Haya bana wajanja nyie
 
Sabubu za kijinga kumbadili kamishna mwenye msimamo mkali .

Ametuuliwa huyu ili wahuni wapige hela pia ili kutorosha hela kwenda znz

Haya bana wajanja nyie
Kwa kweli jana Mhe. Rais kaniangusha. Kwa alivyomsifia kidata vile basi hakukuwa na sababu ya kumuondoa.

Hata hivyo hata awekwe malaika pale TRA hatuwezi kufikia katika kiwango tunachopaswa kufikia katika makusanyo ya kikodi.

Wizi utaendelea na wafanyakazi wa TRA wataendelea kuwa na ukwasi unaotokana na ufisadi.

Tufanye mfumo wetu wa ununuzi na uuzaji wa bidhaa kuwa wa kiektroniki na hapo ndipo tutaweza kukata mzizi wa fitna.
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi ha,zitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Ni mfumo mzuri wa utahibiti mapato lakini
Wapigaji wengi ni matycoon wa chama na mabadiliko ya mfumo yayahatribu ulaji wao.


Mfano. Niliwahi fanyanyia kazi mstaafu mkuu wa serikali, ilipofika wakati wa malipo alikataa nisimpe risiti ya efd akalipa kwa cash akakwepa Kodi

Nilimshangaa sana
 
“toa maelekezo BoT” nani amekwambia kuwa ana mamlaka juu ya central bank hadi atoe maelekezo? BoT ni sehemu ya central banking system, bosi wao yuko mbele huko …
 
Ni mfumo mzuri wa utahibiti mapato lakini
Wapigaji wengi ni matycoon wa chama na mabadiliko ya mfumo yayahatribu ulaji wao.


Mfano. Niliwahi fanyanyia kazi mstaafu mkuu wa serikali, ilipofika wakati wa malipo alikataa nisimpe risiti ya efd akalipa kwa cash akakwepa Kodi

Nilimshangaa sana
Africa needs strong institutions and strong systems not strong people.

Tukifanya haya yanayopendekezwa haya yote yataondoka.

Tunahitaji mifumo thabiti kudhibiti wizi sio watu. Watu wanapita na watu hawako consistent.
 
“toa maelekezo BoT” nani amekwambia kuwa ana mamlaka juu ya central bank hadi atoe maelekezo? BoT ni sehemu ya central banking system, bosi wao yuko mbele huko …
Kwa hiyo kwa nini nchini zingine zimekuwa na mfumo wa cashless kufanya malipo na manunuzi na zingine hazina huo mfumo? Kwa nini tunaziona zingine zikienda kwenye mfumo wa cashless kwa maamuzi tu ya viongozi wao na sera za nchi?

Kwa nini sie tushindwe?
 
Hii itakuwa safi sana ila usishangae pia kodi ikishuka japo ni very unlikely.

Siku zote tunaamini wafanyabiashara ni wezi wa kodi, mfumo wa mauzo na manunuzi ukiwa kama unavyopendekeza kazi ya TRA itakuwa ni kuhakiki matumizi tu maana mauzo na manunuzi yapo wazi, fursa zote za TRA za faini na kubambika kodi zitayeyuka na ukweli ni kuwa kuna kodi zinakusanywa sababu tu mfanyabiashara kashindwa kujieleza.

Mfano: kwa mfumo huu iwapo utafanikiwa, hoja zote za kwanini bank ina mzunguko wa pesa nyingi kuliko mashine ya Efd haitakuwa na maana tena au itajibika kiwepesi na hapo zile kodi zinazokusanywa kila mwaka kwa kushindwa kutoa maelezo ya fedha ulizowekewa bank nazo zitapotea.
 
Hii itakuwa safi sana ila usishangae pia kodi ikishuka japo ni very unlikely.

Siku zote tunaamini wafanyabiashara ni wezi wa kodi, mfumo wa mauzo na manunuzi ukiwa kama unavyopendekeza kazi ya TRA itakuwa ni kuhakiki matumizi tu maana mauzo na manunuzi yapo wazi, fursa zote za TRA za faini na kubambika kodi zitayeyuka na ukweli ni kuwa kuna kodi zinakusanywa sababu tu mfanyabiashara kashindwa kujieleza.

Mfano: kwa mfumo huu iwapo utafanikiwa, hoja zote za kwanini bank ina mzunguko wa pesa nyingi kuliko mashine ya Efd haitakuwa na maana tena au itajibika kiwepesi na hapo zile kodi zinazokusanywa kila mwaka kwa kushindwa kutoa maelezo ya fedha ulizowekewa bank nazo zitapotea.
Ni ngumu sana kwa kodi kushuka kwenye mfumo huu. Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi kubwa sana la Wafanyabiashara hawalipi kodi stahiki. Mfumo huu utahakikisha kila mtu analipa kodi stahiki na hatimaye tutakuwa na mapato makubwa sana ya kikodi.

Changamoto pekee tuliyonayo tukikamilisha haya ni nidhamu kwenye matumizi ya kodi za wananchi
 
Kwamba bandari kupewa sekta binafsi lilikua pendekezo lako na likafanyiwa kazi?
Huu ni zaidi ya uongo. Ukiandika kitu kikatokea baada ya muda haimaanishi ushauri wako wewe umefanyiwa kazi, bali mipango hiyo ilikuwepo kabla. Mfano Kuna mtu humu aliandika kidata aondolewe TRA, nae leo atajisifia huo ulikua ni ushauri wake na umefanyiwa kazi?

Lakini pia ushauri uliotoa kuhusu TRA ni ushauri wa hovyo kulingana na nchi yetu ilivyo na namna watu wanavyopata vipato vyao
 
Kwamba bandari kupewa sekta binafsi lilikua pendekezo lako na likafanyiwa kazi?
Huu ni zaidi ya uongo. Ukiandika kitu kikatokea baada ya muda haimaanishi ushauri wako wewe umefanyiwa kazi, bali mipango hiyo ilikuwepo kabla. Mfano Kuna mtu humu aliandika kidata aondolewe TRA, nae leo atajisifia huo ulikua ni ushauri wake na umefanyiwa kazi?

Lakini pia ushauri uliotoa kuhusu TRA ni ushauri wa hovyo kulingana na nchi yetu ilivyo na namna watu wanavyopata vipato vyao
Jamaa anapenda sifa kama wahaya .
 
Ni ngumu sana kwa kodi kushuka kwenye mfumo huu. Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi kubwa sana la Wafanyabiashara hawalipi kodi stahiki. Mfumo huu utahakikisha kila mtu analipa kodi stahiki na hatimaye tutakuwa na mapato makubwa sana ya kikodi.

Changamoto pekee tuliyonayo tukikamilisha haya ni nidhamu kwenye matumizi ya kodi za wananchi
Ila pia tusiishie kwa wafanyabiasara tu, tuunganishe mifumo ya malipo na tin.
Account namba, mpesa, tigo pesa ziwe attached na tin.

Kusiwe na miamala yoyote ambayo ni ghost kwenye jicho la kodi, then urasimishaji ufanyike.

Haiwezekani upo mjini hapa na kodi unayolipa ni indirect tax tu ilihali wewe ni mc na kila weekend una sherehe.

Kila mtu ambaye hajaajiriwa tin yake isome business tin ili alipe direct tax pale anapotengeneza faida katika mihangaiko yake na asiwepo raia mtu mzima ambaye hana tin otherwise asiwe na access ya miamala.

Madalali na watoto wote wa mjini walipe kodi. Mtu kadalalia uuzwaji wa ghorofa M900 na kapewa M90 ya udalali halipi kodi ila mfanyabiashara ambaye mpaka atoboe kutengeneneza faida ya M10 keshahangaika na mamikopo wee na riba ndo kalundikiwa makodi yote.
 
Back
Top Bottom