Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Daaah hakika unaona mbali.....
 
Ila pia tusiishie kwa wafanyabiasara tu, tuunganishe mifumo ya malipo na tin.
Account namba, mpesa, tigo pesa ziwe attached na tin.

Kusiwe na miamala yoyote ambayo ni ghost kwenye jicho la kodi, then urasimishaji ufanyike.

Haiwezekani upo mjini hapa na kodi unayolipa ni indirect tax tu ilihali wewe ni mc na kila weekend una sherehe.

Kila mtu ambaye hajaajiriwa tin yake isome business tin ili alipe direct tax pale anapotengeneza faida katika mihangaiko yake na asiwepo raia mtu mzima ambaye hana tin otherwise asiwe na access ya miamala.

Madalali na watoto wote wa mjini walipe kodi. Mtu kadalalia uuzwaji wa ghorofa M900 na kapewa M90 ya udalali halipi kodi ila mfanyabiashara ambaye mpaka atoboe kutengeneneza faida ya M10 keshahangaika na mamikopo wee na riba ndo kalundikiwa makodi yote.
Kumbe Kuna vitu nilikuwa sivijui.....lakini Kwa wazo hili tutaomba poo.
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Niseme kitu.
Nisubiri mada inayokuja
 
Ni mfumo mzuri wa utahibiti mapato lakini
Wapigaji wengi ni matycoon wa chama na mabadiliko ya mfumo yayahatribu ulaji wao.


Mfano. Niliwahi fanyanyia kazi mstaafu mkuu wa serikali, ilipofika wakati wa malipo alikataa nisimpe risiti ya efd akalipa kwa cash akakwepa Kodi

Nilimshangaa sana
Changamoto mda mwingine kodi sio rafiki. Ndio mana tunaona wafanya biashara wanakwepa
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Hilo la cashless payment ndiyo nimekuelewa! Yamenikuta hapa India nina account ya uanafunzi wiki iliyopita nikaenda na cash bank kudeposit walichoniuliza hiyo pesa umeitoa wapi?? Nikajibu kwa rafiki yangu, wakasema tunakata trasaction online ili kumonitor transaction kwenye account. Narudi kwenye point hii hata wafanyabiashara wasiruhusiwe kwenda kuweka pesa cash, wafanye transaction online ili kumonitor, akija na cash aje na kitabu cha mauzo, kihakikiwe kama malipo yanatally na cash anayodepost.
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Hiyo itasaidia kwa kiwango kidogo sana. haitomaliza tatizo.

Solution ni sheria ya kifo tu kwa wabachirifu wa mali za serikali. Kama China.

Hakuna nchi duniani ilikuwa corrupted kama israel, hhawamsahau Waziri wao mkuu wa kike alilimaliza hilo tatizo ndani mwezi mmoja tu. Alifanya nini?

Aliunda kikosi kazi cha wasiojulikana. Wakawa wakijuwa fulani anafanya ufisadi, anaandikiwa hukumu kabisa na yote aliyoyafanya, anauliwa kimya kimya, nakalainapelekwa kwa watu wake,nakala inapelekwa vyuombo vya habari na nakala inapelekwa mahakamani ya kwanini kauliwa.

Waliuliwa namba hihyo kama watu saba tu, baada ya mwezi tu nchi ikawa haian rushwa na kila mtu hataki mchezo wa kodi wala ubadhirifu, maana walichomolewa kila ufisadi mmoja mmoja wakauliwa. Mpaka leo mama anakufa mama yule anakataa kuwa yeye alikuwa hajuwi nani wanaofanya hayo, hakuna aliyetiwa siri mpaka leo na hawajulikani kina nani lakini watu wanaamini ni siri ya mama na ukosi kazi chake alichokiamini.
 
Hilo la cashless payment ndiyo nimekuelewa! Yamenikuta hapa India nina account ya uanafunzi wiki iliyopita nikaenda na cash bank kudeposit walichoniuliza hiyo pesa umeitoa wapi?? Nikajibu kwa rafiki yangu, wakasema tunakata trasaction online ili kumonitor transaction kwenye account. Narudi kwenye point hii hata wafanyabiashara wasiruhusiwe kwenda kuweka pesa cash, wafanye transaction online ili kumonitor, akija na cash aje na kitabu cha mauzo, kihakikiwe kama malipo yanatally na cash anayodepost.
Sahihi kabisa. Nchi za wenzetu ndo mana ni ngumu sana kusikia Wafanyabiashara wanakwepa kodi sijui wanalalamika kutozwa zaidi maana kila unachouza na kununua kinarekodiwa na kodi inakatwa huko huko juu kwa juu
 
Hiyo itasaidia kwa kiwango kidogo sana. haitomaliza tatizo.

Solution ni sheria ya kifo tu kwa wabachirifu wa mali za serikali. Kama China.

Hakuna nchi duniani ilikuwa corrupted kama israel, hhawamsahau Waziri wao mkuu wa kike alilimaliza hilo tatizo ndani mwezi mmoja tu. Alifanya nini?

Aliunda kikosi kazi cha wasiojulikana. Wakawa wakijuwa fulani anafanya ufisadi, anaandikiwa hukumu kabisa na yote aliyoyafanya, anauliwa kimya kimya, nakalainapelekwa kwa watu wake,nakala inapelekwa vyuombo vya habari na nakala inapelekwa mahakamani ya kwanini kauliwa.

Waliuliwa namba hihyo kama watu saba tu, baada ya mwezi tu nchi ikawa haian rushwa na kila mtu hataki mchezo wa kodi wala ubadhirifu, maana walichomolewa kila ufisadi mmoja mmoja wakauliwa. Mpaka leo mama anakufa mama yule anakataa kuwa yeye alikuwa hajuwi nani wanaofanya hayo, hakuna aliyetiwa siri mpaka leo na hawajulikani kina nani lakini watu wanaamini ni siri ya mama na ukosi kazi chake alichokiamini.
Nakubaliana na wewe!
Tuanzie hapa alafu twende kwenye Katiba na Sheria kali dhidi ya Wizi na Ubadhirifu
 
Mwaka 2022/23 niliandika mada nzito sana kuhusu mambo yanayopaswa kufanywa bandarini kufuatia suala la kubadilishwa kila mara wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari.

Nashukuru pendekezo langu nililolitoa la kufanya bandari zetu kuendeshwa kwa sehemu kubwa kwa mfumo wa PPP (Serikali na sekta binafsi) limefanyiwa kazi na sasa tutaanza kuona matunda yake.

Leo naomba kuishauri kwa mara nyingine Serikali ya Tanzania baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Samia jana akimpa maelekezo kamishna mpya wa TRA baada ya kumuapisha.

Rais wa Tanzania, kama una nia ya kweli kufanya mapinduzi makubwa katika makusanyo ya kikodi na kuhakikisha nchi inapata makusanyo yake ya kikodi inayostahili wala usihangaike kubadili Makamishna Wakuu wa TRA, we fanya hili tu

**Toa maelekezo kwa BOT ndani ya miaka 2 wahakikishe nchi inaondoka katika mfumo wa kutumia pesa taslimu kufanya malipo yote( cash economy). Malipo yote ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa yafanyike kwa njia ya kielektroniki. Wenye maduka wawe na mashine tu. Mtu akinunua bidhaa halipi kwa pesa taslimu. Anaswap kadi au analipa kwa simu au kwa ku scan barcode. Hili linaweza kuanza mikoa michache michache yenye uhakika wa mtandao na umeme na baadae kufanyika nchi nzima.


Hili likifanyika mamlaka za kodi hazitakuwa na haja ya kumfanyia mfanyabiashara makadilio ya kodi. Kila kinacholipwa kitakuwa kinaonekana na kodi inayopaswa kulipwa itaonekana na mfanyabiashara anailipa moja kwa moja TRA.

Ni wakati sasa tuambiane ukweli! Kwa hulka ya binadamu( Wizi, Ubinafsi na Ufisadi) kamwe tusitegemee kupata mapato tunayostahili endapo tutaendelea kutumia mfumo wa pesa taslimu( cash economy) kwenye uchumi wetu.

Lord denning,
Qatar

**Mada inayokuja itahusu nidhamu katika matumizi ya kodi za wananchi kwa Serikali na Viongozi wake
Umenena vyema sana mkuu. Lakini hiyo mianya ya upigaji imewekwa na kuachwa makusudi na viongozi wenyewe. Sio rahisi wakubali kujizibia mirija ya ulaji, Kwa hiyo ushauri wako hawatauzingatia. Na kama watauzingatia itakuwa ni Bahati Kwa nchi yetu maana ni ushauri unaofaa sana.
 
Back
Top Bottom