Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Acha wivu. Huo ndo ukweli

Mipango inaweza kuwepo ila unaweza kutoa ushauri leo ikaonekana ndo wakati sahihi wa kufanya jambo hilo na ikatekelezwa.

Usione wivu. Kikubwa ushauri unachukuliwa na kufanyiwa kazi
 
Sahihi kabisa
 
Acha wivu. Huo ndo ukweli

Mipango inaweza kuwepo ila unaweza kutoa ushauri leo ikaonekana ndo wakati sahihi wa kufanya jambo hilo na ikatekelezwa.

Usione wivu. Kikubwa ushauri unachukuliwa na kufanyiwa kazi
Hadi hapa nimeijua tayari akili yako ilivyo
 
Africa needs strong institutions and strong systems not strong people.

Tukifanya haya yanayopendekezwa haya yote yataondoka.

Tunahitaji mifumo thabiti kudhibiti wizi sio watu. Watu wanapita na watu hawako consistent.
Wewe ni mzalendo. Hata wenzetu walioendelea wamewekeza Sana kwenye Technology ktk taasisi zao. Haya yote ni kutokana na maswala hayo.
Lakini pia tusisahahu kuwa tinahitaji mabadiliko makubwa Sana ya kiutamaduni, hasa kwenye eneo la ukweli na uwajibikaji. Mifuko nayo Kama itakuwa inaendeshwa na watu ambao ni corrupt haliwezi kutatua tatizo.
Ukiangalia kwa mawanda mapana unaweza kugundua hata kwenye sector binafsi Watanzania wengi hawafanyi vizuri, kitu kinachopelekea wenye taasisi zao kutafuta watu wa nje.
Unakuta mtu amepewa kazi ya kuhesabu bati kiwandani, mteja Ana order ya bati 100 bosi anapewa hesabu ya bati 60. Tatizo ni kubwa. Mtu anajiibia mpaka pesa yake mwenyewe ali mradi tu mkewe asijue katumizi yake yapoje. Eneo la ukweli na uwajibikaji ni tatizo.
 

kawaulize nigeria walijaribu cashless society imewashinda, fanya utafiti kidogo khs cashless ya Nigeria na changamoto zake …
 
Suala la uwajibikaji dawa yake ni katiba inayoweka misingi ya kuwawajibisha viongozi wa kisiasa pale wanapoikiuka au kufanya lolote kinyume chake
 
Hapo Upo sawa
 
usijali cashless inakuja post samia, nina uhakika P.Mpango (PhD) 2025/35 ataintroduce cash less kwa maana ndivyo globalist walivyopanga …
Suala sio mtu, bali ni ni kuanzisha mfumo na kuhakikisha unafanya kazi.

Hiyo post Samia umesema wewe!! Ushauri wangu usiweke mategemeo sana kwa mwanadamu. Utakuja kuwa dissapointed vibaya sana.

Chama kimeshasema 2025-30 ni Samia, hayo mategemeo yako yanaweza kukufanya uzimie isipokuwa hivyo!
 
Lord Denning ni jina kubwa sana katika tasnia ya sheria, nilitarajia ntakuta "mawe" ya sheria
 
Naona kama pendekezo hili halitekelezeki, labda nmeshindwa kufikiri vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…