Tusipofanya haya kila siku tutabadili Kamishna wa TRA

Kwakifupi Hakuna haja ya TRA tutaokoa fedha nyingi kuwalipa wafanyakazi wa tra pia tutapanua wigo wa makusanyo ya Kodi
 
kwani wenzetu wanatumia digital/online pekee au mkazo ni electronic na cash transaction ipo pia. kwa uchumi wetu wa- rural economy ni vigumu kutegemea uchumi wa online payment pekee.
 
kwani wenzetu wanatumia digital/online pekee au mkazo ni electronic na cash transaction ipo pia. kwa uchumi wetu wa- rural economy ni vigumu kutegemea uchumi wa online payment pekee.
Tukiamua tunaweza!

Ni kukomaa tu hakuna lisilowezekana!

Internet inapatikana hadi vijijini saivi. Bibi yangu ana hadi WhatsApp saivi. Umeme upo sehemu nyingi kwa sasa Tanzania almost vijiji vyote. Kwa hiyo inawezekana!
 
Mfumo wa fedha nchi hii ni bado wa kizamani ndg!
Mfano ndogo tu, dunia ina miongo mitatu tangu mageuzi ya internet, Ila kuna maeneo mengi tu hata kupiga simu ni tabu; maeneo mengine ndani tu ya nyumba kuna sehemu moja tu internet inashika; ...
Bado sijagusia black market. Kuna tofauti kubwa baina ya ndoto na uhalisia
 
Mbona malipo ya Serikali imewezakana?

Mbona saivi tunalipa malipo ya Serikali kwa control No?

Hakuna lisilowekezana. Ni kuamua na kufanya tu! Akili ya mtu mweusi ndo uchawi wake wa kwanza kwake kutoendelea!
 
Systems za kizamani za miaka ya 60 ndizo zinazozorotesha na kudumaza maendeleo ya kiuchumi ya taifa hili.
Dunia ina evolve kwa kasi kila kukicha while nchi yetu bado ipo na inaendeshwa kama ilipata uhuru jana.

Ufisadi na rushwa unadhibitika kwa asilimia 90+ kama nchi itaamua kuswutch to full Technology.

Huu utakuwa mwanzo mzuri. Only kama atatokea mtu mwenye uwezo wa kuona kitu obvious kama hicho. Kwa viongozi waliopo sasa usitegemee chochote cha maana.

Badala ya kudeal na mambo crucial na ya uzito kama hayo, wapo bize kupeleka pesa kwenye timu za mpira na campaign za vyoo.

It's an optimistic dream.
 
Ni unafiki kumtoa kamishina TRA na kuipongeza serikali kwa kuongeza ukusanyaji kodi hypocrisy 😑
 
You nailed it
 
Pamoja na ushauri mzuri unaotolewa humu. Bado viongozi wetu wa kisiasa wanaendelea kuunda Tume badala ya kuchukua hatua.
 
Tume zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia
Tunapoteza muda na rasilimali tu kuunda matume kila siku wakati matatizo hanajulikana na hata suluhisho kwa hayo matatizo lipo na linajulikana.

Badala ya kuchukua hatua wanapoteza muda tu!
 
Tunapoteza muda na rasilimali tu kuunda matume kila siku wakati matatizo hanajulikana na hata suluhisho kwa hayo matatizo lipo na linajulikana.

Badala ya kuchukua hatua wanapoteza muda tu!
Hiyo inaitwa zuga fala kwa jamu, kitaalamu, (expecting results from what you know), kutegemea matokea chanya kumbe unafahamu hayawezi kuwa chanya ama unayajua
 
Siasa ni sanaa yaani unatengeneza tatizo kisha unajiweka kando unaunda tume ichunguze tatzo ulilotengeneza kisha ije iripoti kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…