Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Sasa tunazungumzia kuwaondoa kisheriamna ropoka ropoka tuu vitu msivyo vijuaa eti wamasaai waondolewe Ngorongoro, hivi mnajua hata kabla ya kupata uhuru na baada ya uhuru wamasaai waliruhusiwa tena kisheria kuishi ndani ya hifadhi ya ngorongoro na loliondo?