Beatrice Morice
Senior Member
- Jul 12, 2017
- 125
- 234
Aio kawaida kana kwamba mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro hamna ushoga mpk kuita kitovu cha ushoga amaikija time ya Dar tutajadili Dar...sasa hiv tunajadili kilimanjaro maana sio kawaida...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aio kawaida kana kwamba mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro hamna ushoga mpk kuita kitovu cha ushoga amaikija time ya Dar tutajadili Dar...sasa hiv tunajadili kilimanjaro maana sio kawaida...
[emoji2][emoji2][emoji2] mkuu kuna shoga hadi anavaa shanga? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849]shoga mpaka unavaa shanga asee huyo angeuwawa tu.
Alafu hizi familia za kichaga wazazi wanatafuta sana pesa mpaka wanashidwa angalia watoto ndo mambo yakiduanzi yanaanzia hapo..
Daaaah,hilo ni janga kubwa sana Mkuu.Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.
Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.
Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?
Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.
Nasema kweli hapa kuna shida.
unaweza ukafanya mazuri kwa zaidi ya 98% na watu wote wakaona unafanya vizuri na ukasifiwa.Shindwa kwa jina la Yesu mashoga walojaa Dar ni wachaga sio embu acha kulaumu kitu kwa kuangalia ukabila mtu yeyote anaweza kuwa shoga haijalishi ni kabila au taifa gani
Kunywa maji punguza hasira rudia kusoma uzi, utamuelewa mleta Uzi.Shindwa kwa jina la Yesu mashoga walojaa Dar ni wachaga sio embu acha kulaumu kitu kwa kuangalia ukabila mtu yeyote anaweza kuwa shoga haijalishi ni kabila au taifa gani
Shule gani mkuu?Kuna shule Moja (jina kapuni) ya bweni, mtoto wako akipita pale ni lazima atoke na elimu ya ushoja na fundi mzuri. Kilimanjaro kulikoni?
Embu kwendraaKunywa maji punguza hasira rudia kusoma uzi, utamuelewa mleta Uzi.
Utakuwa shoga wewe sio bureEmbu kwendraa
😂😂😂😂mi ndo nashangaa daah asee kweli nikiona mwanaume amevaa shanga naweza nikafa kwa mshtuko...[emoji2][emoji2][emoji2] mkuu kuna shoga hadi anavaa shanga? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni yule actress kwenye Movie ya Girlfriend ? Ya kina Monalisa, jina hiliShindwa kwa jina la Yesu mashoga walojaa Dar ni wachaga sio embu acha kulaumu kitu kwa kuangalia ukabila mtu yeyote anaweza kuwa shoga haijalishi ni kabila au taifa gani
Sio poa.Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.
Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.
Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?
Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.
Nasema kweli hapa kuna shida.
Dar ndio chuo kikuuikija time ya Dar tutajadili Dar...sasa hiv tunajadili kilimanjaro maana sio kawaida...
Mikoa mingine ikitokea matukio kadhaa itaongelewa....Aio kawaida kana kwamba mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro hamna ushoga mpk kuita kitovu cha ushoga ama