Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.

Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?

Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.

Nasema kweli hapa kuna shida.
Nikiwa chuo 2nd Year nilipangiwa room na dogo mmoja wa 1st year akiwa ni asili ya mkoa huo, dogo akawa anaomba kama nina nguo chafu afue....lkn kila nikimtazama simwelewi yule dogo, nikaomba nibadilishwe room...baada ya Muda kama mwezi dogo aligundulika kuwa analiwa kiboga na akafurukushwa chuo na kuna jamaa alikuwa anamgonga wote wakaondolewa chuo.

Sijui sasa watasingizia ni kwa kuwa wapo krb na Tanga...?
 
Ila me nahis maish n magum sn ndo mana haya mambo yanaongezeka n ngumu sn mtu una kazi yako ya maana halaf mtu aje akutoe marinda from no where ingekuwa ivo zaman watu wangevuliwa sn uongoz
Kuna dogo mmoja alikuwa anatafuta kazi....amezunguka na Bahasha sana.....akaja lengeshwa kwa Boss mmoja hapo maeneo ya Mwenge...dogo akaenda kufika baada ya maongezi juu ya kazi...Boss akamwambia kazi ipo na Mshahara mnono.... Boss akaomba dogo amchape...dogo akagoma kwamba anakwemda kufikiria...akaambiwa hatoki hadi amfanyie hiyo mambo..dogo akaingia woga akamfanya yule don

Ninachotaka kukwambia ni kwamba shida siyo sababu pekee ya ushoga... tutafiti zaidi hata haya matumzi ya P2 na vidonge vingine vya uzazi huenda vina mchango mkubwa kwenye hili...Imagine kizazi hiki cha 90's na 2000 ndicho hasa kimekutwa na hili balaa.
 
Kuna dogo mmoja alikuwa anatafuta kazi....amezunguka na Bahasha sana.....akaja lengeshwa kwa Boss mmoja hapo maeneo ya Mwenge...dogo akaenda kufika baada ya maongezi juu ya kazi...Boss akamwambia kazi ipo na Mshahara mnono.... Boss akaomba dogo amchape...dogo akagoma kwamba anakwemda kufikiria...akaambiwa hatoki hadi amfanyie hiyo mambo..dogo akaingia woga akamfanya yuw don

Ninachotaka kukwambia ni kwamba shida siyo sababu pekee ya ushoga... tutafiti zaidi hata haya matumzi ya P2 na vidonge vingine vya uzazi huenda vina mchango mkubwa kwenye hili...Imagine kizazi hiki cha 90's na 2000 ndicho hasa kimekutwa na hili balaa.
Duh ina maana dogo alipigwa miti
 
Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.

Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?

Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.

Nasema kweli hapa kuna shida.
Inauma sana.
Eneo lile ambalo katika mkoa wa kilimanjaro liliyaongoza mengene katika suala zima la kujitambua na maendeleo endelevu katika nyanja zote limerudi kuwa zezeta na masikini wa kutupwa.
Nilikuwa huko marangu mwisho mwa mwezi nilichoka sana nilipotizama vijana jinsi walivyochoka kimwili na kiroho.
Katika vijuwe vyote vya waendesha boda boda kulikuwa na vijana wasioridhisha kiafya kila mmoja akiwa na shavu lililovimbishwa na mirungi wanayotafuna.
Baadhi yao walikuwa na vichupa vya pombe hizi za bei poa kuliko chang'aa zinazotengenezwa na wasaka utajiri, mifukoni mwao.
Hata wanaopanda piki piki zao sijui imani ya kuwa watafika wanakokwenda wataipata wapi.
Nyumba nyingi kule marangu zineachwa na vibibi na vibabu kwa usaidizi wa vijana wafanyakazi kutoka mikoa mingine.
Ninachoona katika maeneo haya ni kama miaka 30 ijayo umiliki wa maeneo haya hautakuwa tena wa wachaga bali wahamiaji maana ukitizama vijana huoni dalili ya muendelezo wa uzazi kwao.
Ngachoka!!
 
Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.

Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?

Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.

Nasema kweli hapa kuna shida.
inasikitisha sana aisee!!
 
Huko utasikia na kushudia mambo ya Hovyo kama Baba amezaa na Binti yake, mjomba amembaka Mpwa wake na wamezaa, Kaka na daa wamezaa, Babu amlawiti mjukuu nk. Kiukweli inasikitisha sana. Kiwango cha Elimu kinaporomoka siku mpaka siku. Hio Tume iliyoundwa na Waziri Mkenda isiishie kwenye shule lengwa tu, Izunguke Kilimanjaro nzima hasa Rombo.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Huko inafaa akapelekwe mchungaji Kimaro, watoto hao na vijana wataacha hio michezo ya kupakuana kisamvu mara moja maana watakua wanajaa kanisani kwake tu,

Ova

Cc: mrangi
 
Huko utasikia na kushudia mambo ya Hovyo kama Baba amezaa na Binti yake, mjomba amembaka Mpwa wake na wamezaa, Kaka na daa wamezaa, Babu amlawiti mjukuu nk. Kiukweli inasikitisha sana. Kiwango cha Elimu kinaporomoka siku mpaka siku. Hio Tume iliyoundwa na Waziri Mkenda isiishie kwenye shule lengwa tu, Izunguke Kilimanjaro nzima hasa Rombo.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Rombo au Mashati?
 
Aio kawaida kana kwamba mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro hamna ushoga mpk kuita kitovu cha ushoga ama
Imekuuma mwanao amekua chakula cha vijana washenzi huko Kilimanjaro wanapakua kisamvu kinguvu, vijana wanapakuana kweli kamwamishe mwanao kwa bibi yake uko utamkuta na hali mbaya, kwanza mara ya mwisho kumuona ilikua lini?
 
Ushoga upo sana Pwani wachaga mnawasingizia tu mshindwe pepobawa ninyi
Imeuma saana nenda kamchukue mwanao atakua mchele ukienda kumuona ndio itakua too late njoo uishi nae huku mwamishe kule kwa bibi yake wanampakua,
 
Wachaga sasahivi ndyo kazi iliyobaki baada ya kusifiwa kuwa wao ni wataftaji na wamesoma. Utaftaji sasahivi wamebakia waha,elimu wahaya tupo palepale kwasababu hua tunajisifia lakini hatubweteki.
Ego is the enemy
 
Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.

Kama haitoshi uwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?

Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.

Nasema kweli hapa kuna shida.
Wewe binafsi hiyo tabia umeshaiacha
 
Ila me nahis maish n magum sn ndo mana haya mambo yanaongezeka n ngumu sn mtu una kazi yako ya maana halaf mtu aje akutoe marinda from no where ingekuwa ivo zaman watu wangevuliwa sn uongoz
Na yule jamaa walieenda kumtoa Malinda kule mabwepande juzi juzi tu hapo, tena kajieleza mwenyewe mbele ya camera na habari iliruka on TV anasema jamaa walikuja wakanichukua na mapanga usiku wakanipeleka msituni wakanila kisamvu walikua watatu, jamaa kathibitisha wamempakua binadamu hawana maana kisa Mambo ya Ardhi wanagombea Ardhi wamempakua mwenzao
 
Kuna haja ya kuongea na vijana.watanzania ni wepesi sana wakucopy na kupaste ushoga utatamalaki kwa sehemu kubwa.
 
Back
Top Bottom