Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

Uchaga na ushoga ni Pete na kidole mi nimekutana na vijana kibao Zenji ni mashoga ukiwauliza wanatoka wapi wanakwambia kilimanjaro.
 
Inauma sana.
Eneo lile ambalo katika mkoa wa kilimanjaro liliyaongoza mengene katika suala zima la kujitambua na maendeleo endelevu katika nyanja zote limerudi kuwa zezeta na masikini wa kutupwa.
Nilikuwa huko marangu mwisho mwa mwezi nilichoka sana nilipotizama vijana jinsi walivyochoka kimwili na kiroho.
Katika vijuwe vyote vya waendesha boda boda kulikuwa na vijana wasioridhisha kiafya kila mmoja akiwa na shavu lililovimbishwa na mirungi wanayotafuna.
Baadhi yao walikuwa na vichupa vya pombe hizi za bei poa kuliko chang'aa zinazotengenezwa na wasaka utajiri, mifukoni mwao.
Hata wanaopanda piki piki zao sijui imani ya kuwa watafika wanakokwenda wataipata wapi.
Nyumba nyingi kule marangu zineachwa na vibibi na vibabu kwa usaidizi wa vijana wafanyakazi kutoka mikoa mingine.
Ninachoona katika maeneo haya ni kama miaka 30 ijayo umiliki wa maeneo haya hautakuwa tena wa wachaga bali wahamiaji maana ukitizama vijana huoni dalili ya muendelezo wa uzazi kwao.
Ngachoka!!
Katika lila jamii kuna grade,
Ile grade A&B&C wako mijini wanatafuta mali,Grade D wako hapo hapo wanapambana grade F ndio hiyo inayoiona imechanganyikana na vijana wanaokuja kufanya kazi majumbani

Ukitaka kuwaona vizr nenda mwezi wa 12,halafu ndio useme,
 
Sidhani kama nitaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madereva bodaboda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa.

Kama haitoshi huwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe, kesi iliishia Himo kituoni, walitandikwa bakora. Je, waliochapwa wataacha?

Kama haitoshi wilayani nimegundua mama wa kichaga wanalea watoto wao wa kiume vibaya, mitoto haitaki kazi iko tu. Wazazi wakifa hasa mama zao, yanaishia kula mirungi inayokata nguvu za kiume baada ya muda yanaanza kuepelekewa moto.

Nasema kweli hapa kuna shida.
Hawa wa ukanda huo wanaendekeza mambo ya ukanda wa wakina MK254
 
Wachaga wanapenda sana pesa .Kipindi Cha nyuma walitatuliwa marindq sana kule Mombasa.Walikuwa wanabadilisha Tigo na coaster Mombasa wasengerema kabisa.Inawezekana kipindi hicho hawa wazee ndio walikuwa vijana kule mombasa wakaona wazazi wao wanavyochapwa mbupu.
 
Subiri muda wa Dar ukifika tutajadili ila Kwa sasa hivi tunajadili Mabwabwa ya Himo,tarakea,holili,kiboroloni,Sanya juu,na viunga vyake.
Kuna kipindi wakina Mama Rombo walikalamika inawabidi waende Kenya Kwa wakenya kutafuta 'rombo' maana vijana walikuwa walevi kupindukia na kukosa nguvu za kuwachakata wamama wakichaga.
Muungwana akivuliwa nguo huchutana.
Dar ndio chuo kikuu
 
Hapo Napo munasingiziwa
Screenshot_20230419-152657~2.jpg
 
Back
Top Bottom