Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

Kuna dogo mmoja alikuwa anatafuta kazi....amezunguka na Bahasha sana.....akaja lengeshwa kwa Boss mmoja hapo maeneo ya Mwenge...dogo akaenda...
Kweli tufanye tafiti.unajua hata haya mazoezi wanayofanya gym unaweza kuta ukifanya kwa muda fulani unaanza kupata hisia za kugongwa.

Ndio maana watu watu waliojazia jazia wengi sio riziki kutokana na ufanyaji mazoezi.wazungu ni washenzi sana.hata sabuni hizi za kuogea ni za kuchunga sana better utumie mbuni tu.
 
Ushoga ni ishu ya spirit zaidi viboko havitibu spirit
 
Sidhani kama ntaeleweka ila naomba ikae hivyo.

Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madreva boda boda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa...
Ngoja tundu lissu akusikie ...utashitakiwa miga
 
Kuna mwingine school alikuwa wa kishua kutoka mkoa huo alikuwa akiishiwa pocket money kuna mwamba anambandua na kumnunulia samaki wa kulia ugali wa shule enzi
 
Usikute wazungu walishapasua bomu la ushoga uchagani kwangu 🤔
 
Huko Rombo vijana wanaokunywa mpaka wanashindwa majukumu ya nyumbani nao watupiwe jicho.
 
Sijui kuhusu Kilimanjaro ila kipindi flan nikiwa Arusha niliona dalili mbaya...kuna bar inaitwa Bills, kule ngarenaro ya kishua, machoko walikuwa wanajaa pale ( Ila walikuja kufukuzwa ).. sema wanasindikizanaga na mademu pisi hatari..
nafikiri ni changamoto zinazoambatana na utalii/uzungu mwingi
 
Nadhani life style ya ukanda huo inachangia sana hayo matukio,, bangi, pombe na mirungi huko ni km chakula, Moshi, Arusha na Manyara ni balaa,, wanapenda hela kwahiyo wanaitafuta kwa kila njia iwe halali au haramu
 
Bills River, wapo sana tu mkuu
 
Huko kwenu hakuna viongozi wa dini wanaoweza kukemea Hivyo vitendo
 
Huu sio Uzi wa kwanza kuongelea Mapenzi ya jinsia Moja (Kinyume na Asili )-katika kanda hio. Huko Kuna nini kinasababisha hayo ?

Nilihisi hivyo pia mpaka nilipokuja gundua zote zimepakiwa na ID moja




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…