Tusipokuwa Makini, Kauli ya Nyerere ya Wabara na wale Wazanzibar inaanza kidogo kidogo

Tusipokuwa Makini, Kauli ya Nyerere ya Wabara na wale Wazanzibar inaanza kidogo kidogo

Kwahiyo tuogope kusimamia Mali za Tanganyika kisa kauli ya Nyerere?, Afu binafs sijawahi kunufaika na Zanzibar kuwa sehem ya Tanzania... Zaidi ya wao kunufaika vya Tanganyika. Muungano Sasa basi kila Nchi ipambane kivyake.
hako kababu kalikua katapeli tu
 
Kwahiyo tuogope kusimamia Mali za Tanganyika kisa kauli ya Nyerere?, Afu binafs sijawahi kunufaika na Zanzibar kuwa sehem ya Tanzania... Zaidi ya wao kunufaika vya Tanganyika. Muungano Sasa basi kila Nchi ipambane kivyake.
Hakuna watu wabaguzi kama wazanzibar waondoke haraka
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.

Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa, watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo cha Maisha.

Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.
Wanaipalilia Ubaguzi si mnawajua,endeleeni kuwachekea Machadomo
 
Samia alipoingia watu humu Jf watu walipiga na vigelegele ssa saihiz mnaleta ubaguzi eti zanzibar na Tanganyika hapana tulieni tu hivyo hivyo jamani
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.

Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa, watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo cha Maisha.

Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.
Nyie wazanzibara hamuwezi kuuza bandari zetu halafu mkaanza kulialia tuwe pamoja.

kauzeni na Paje kwani nyinyi hamna vya kuuza ?
 
Bado ukweli unabaki wao ni wazanzibar sisi ni wabara...😂😂


Ajabu ni kuwa nyie mnajiita wazanzibar badala ya kujiita watanzania na hatulalami wakati sisi tunajiita watanzania.
 
Bado ukweli unabaki wao ni wazanzibar sisi ni wabara...😂😂


Ajabu ni kuwa nyie mnajiita wazanzibar bafalanya kujiita watanzania na hatulalami wakati sisi tunajiita watanzania.

Bado ukweli unabaki wao ni wazanzibar sisi ni wabara...😂😂


Ajabu ni kuwa nyie mnajiita wazanzibar bafalanya kujiita watanzania na hatulalami wakati sisi tunajiita watanzania.
Halafu wanataka tuwe pamoja kwa lipi wakati wanajitenga wao wenyewe ?

Wakauze na Nungwi kwao huko wasianze kutuletea uswahili wao.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.

Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa, watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo cha Maisha.

Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.
Ni rais wako koz wewe ndiyo unamuona hivyo na unapaswa huandike rais wako mpendwa na siyo wetu mpendwa...
 
CCM wapuuzi sana...Tanganyika lazima irudi hatuwezi kuamliwa mambo yetu na Mzanzibar lakini kule kwao hataki tukafanyekazi kwenye serikali yao.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.

Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa, watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo cha Maisha.

Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.
Kama kuna Mzanzibari lazima pawe na Mtanganyika. Ni common sense tu.
N.B: Hamna Nchi inaitwa Tanzania Bara.
 
Back
Top Bottom